Kwako Rais Magufuli sasa pasipo na kupepesa maneno: Kwa unavyoshughulika na Corona sasa - NO!

Kwako Rais Magufuli sasa pasipo na kupepesa maneno: Kwa unavyoshughulika na Corona sasa - NO!

Ndugu, labda una akili ndogo hivyo inakuwiya vigumu kuelewa kinachozungumziwa. Tuko katika Vita vya kupambana na korona, amiri Jeshi mkuu Ni lazima aonyeshe njia ya mapambano. Mimi nitaiongoza familia yangu, lakini hiyo haiondoi uongozi wa kitaifa kuchukua hatua madhubuti

Kweli nina akili ndogo lakini naamini mr akili kubwa ulipaswa kujua nilitoa comment kutokana na mada husika. Pia katika muda kama huu ambapo kuna conflict of ideas kuhusu usahihi wa hatua anazochukua rais, ni vyema kuwaacha watu wadeal nalo kifamilia maana kutumia sanitizers, maji ya sabuni ama kujifungia ndani kwa mwenye uwezo. Si lazma asubiri tamko la serikali kuu

MR RIGHT... ukiwa una akili kubwa unatakiwa kujua binadamu ni tofauti na hatuwezi kufikiria sawa. Kuhisi kuna namna moja ya kufikiri tayari ni upungufu wa akili
 
Corona ishafika mtaani hakuna wa kumlaum mpaka muda huu... Fata maelekezo ya wataalam Jikinge wee na familia yako na jamii inayokuzunguka kwa ujumla
 
Tumezembea sana mwanzoni kwa ukaidi ambao hata hauna sababu. Na mbaya sana, hadi sasa tunaendelea kuwa wakaidi. Tunahitaji "lockdown" angalau kwa maeneo yalioathirika zaidi.
Msingi wa "lockdown" ni kuzuia maambukizi pasipo kuwa na uwezo wa kutambua mtandao. Wengine huwa wanakejeli "lockdown" kwa kunyooshea vidole nchi zenye "lockdown" na zinazoendelea kuwa na kesi nyingi. Wanashindwa kujua kuwa kwa nchi iliyotayari na wagonjwa, ukiingia katika "lockdown" ni lazima kesi zitapanda kwa kuwa maambukizi bado yanaendelea hata kwa ngazi ya familia. Lakini baada ya muda hupungua. Usipoingia katika "lockdown" huwezi punguza kesi, maambukizi yataendelea, hadi pale watu wote waweze kujenga "immunity" ya virusi (sitaki kuamini kuwa Serikali yetu inataka tufikie huku)! Tukitaka tufike huko, Tanzania tutakuwa mfano Duniani (mfano mbaya)!
Kwa sasa tumelishwa maneno kuwa nchi yetu ina watu wengi wa tabaka la chini hivyo hata "lockdown" hatuiwezi. Sasa unajiuliza, tunachokitaka ni nini? Kwa kuwa wazi hivi bila hatua, hao tunaowasema ni wa tabaka la chini wataenda na corona (kama tunawalinda kwa njaa). Na hali itakuwa zaidi maana hata wale tunaoaminishwa kuwa walikuwa na uwezo wa kuhimili njaa (wasio tabaka la chini) nao watakufa kwa corona vilevile! Na mwisho "nature" huwa haibaguwi, hata hao tunaojidanganya kuwa ni lazima watoke wakatafute "kula", hii corona ikishika kasi hawatoweza kuipata hiyo "kula" wakitoka nje, labda kwa kuvamia majumba ya watu. Hii ni kwa sababu wanaowapa "kula" hao wa kipato cha chini ni watu tunaowasema leo 'wanauwezo wa kujifungia ndani'. Hawa watu hawatokuwa tayari "kujirisk" ilihali wanao uwezo wa 'kujifungia ndani na kuendeleza kula zao'. Serikali isichukulie hili suala kirahisi, isitake kubana matumizi hata katika kipindi kisichotaka ubanaji matumizi. Tumeambiwa mara kibao kuna "reserve" ya miezi 6, nini kazi ya "reserve"? Serikali itumie sehemu ya "reserve" katika namna ya kutekeleza "lockdown"
 
Acha ugoro. Huwezi kumuweka lock up mtu asiye na hatia. Lock down ni sawa na lockup.
Kwanza kwa uchumi upi tulionao? Kibaya zaidi hujui tatizo litaisha lini, ni uchizi! Je tatizo likikaa mwaka mzima?
Usikariri njia moja ya kusolve tatizo,
UpUnaakiri timamu sio hadi ushikiwe bakora, jitahidi kuepuka maambukizi either kwakuji- lockdown, kunawa kwa usahihi mara kwa mara au kuvaa barakoa. Itapendeza kama utafanya vyote kwapamoja.

Mkuu bandiko lako ka kiugoro ugoro halina mbele wala nyuma. Tafsiri za kuwa lockdown ni lockup unazipata tokea dictionary gani?

Kama haitoshi baada ya kujichanganya huko unapendekeza tena kuepuka maambukizi kwa kujiweka lockdown ukiwa tayari umesahau kuwa hiyo ni lockup kwa tafsiri yako.

Mengine uliyoandika ni kama unatokea sayari nyingine. Huna habari yoyote kuhusiana na muda mgonjwa anaweza kuwa hai na Corona. Huna taarifa zozote hata ni siku ngapi zinatosha kutambua mtu kama ana Corona au la. Huna hata taarifa lockdown ni kwa ajili ya nini.

Kwa kukuhurumia angalau kukupunguzia u mburula, uliwahi kuona haya humu jamvini?

IMG_20200416_173646_378.jpg
 
Mtu unaomba kabisa kuwekwa Karantini na huumwi...duh
.we unafkiri lockdown ni mchezo nini...hata hao unaosema wanataka kuendelea n.a. shughuli zao za kawaida karibuni usidhani wameshatatua tatizo...mfano marekani Trump kaona ni upuuzi kufunga biashara nchi nzima japokua corona bado inatikisa kwao..soo usituombee lockdown mkuu...kajikarantin n.a. familia yako titakuelewa...usiforce nchi nzima kukaa ndani
 
Kweli nina akili ndogo lakini naamini mr akili kubwa ulipaswa kujua nilitoa comment kutokana na mada husika. Pia katika muda kama huu ambapo kuna conflict of ideas kuhusu usahihi wa hatua anazochukua rais, ni vyema kuwaacha watu wadeal nalo kifamilia maana kutumia sanitizers, maji ya sabuni ama kujifungia ndani kwa mwenye uwezo. Si lazma asubiri tamko la serikali kuu

MR RIGHT... ukiwa una akili kubwa unatakiwa kujua binadamu ni tofauti na hatuwezi kufikiria sawa. Kuhisi kuna namna moja ya kufikiri tayari ni upungufu wa akili
Huyu Rais ameonekana kutoelewa ukubwa wa tatizo. Mbaya zaidi hakuweza kuoanisha ukubwa wa tatizo na ukubwa wa mamlaka yake katika nchi. Sasa maji yako shingoni bado hachukui hatua stahiki zaidi ya kuwataka watu wamjaribu Mungu!!!
Yaani mtu aliyedai "haka kaugonjwa kasitutishe!!!" Leo anasema: "Ombeni Mungu atuepushe na hili janga la korona!!"
Hivi huku kama si kumjaribu Mungu ni nini hasa!!? Bwana Yesu anasema: "Usimjaribu Bwana Mungu wako."
Halafu ninyi wapambe wa akili za Nazi kifuu mnakuja na hoja za kumwopoa na wajibu eti mnahamishia wajibu kwenye familia, kweli!!?
Pity on us Tanzanians for the curse of having little brains on the realm of power!!!
 
Mpaka kafikisha malalamiko kwa Mungu ujue yeye yamemshinda.tumepata kiongozi kibwambwaza kabisa.

Warussia Wana kamsemo....."PALE UWEZO WA MTU UNAPOFIKIA MWISHO KUFIKIRI BASI LAZIMA AMWINGIZE MUNGU"
Rais Magufuli amefikia ukomo wa akili yake kufikiri namna ya kudhibiti ugonjwa wa Civid-19!!!Ndiyo maana amekimbilia Kanisani na Msikitini...!!!

Kinachonishangaza kuhusu Rais wetu anashindwa kuelewa kuwa MUNGU ANA PRINCIPLES (Kanuni)zake ili asikie na kujibu maombi ya mwanadamu yoyote. Principle Moja muhimu ni TOBA. Taifa lazima litubu au liombe msamaha kwa dhambi au makosa ambalo limekosa mbele za Mungu lakini pia Rais mwenyewe na watu wake waombe radhi kwa MAOVU,MAKOSA DHAMBI walizowatendea Watz/Raia kwa maksudi au bahati mbaya!
Mifano ya DHAMBI/makosa hayo ni pamoja na UONEVU WA SERIKALI KWA RAIA kwa kutumia vyombo vyake vya ULINZI&USALAMA(Polisi,TISS,Mahakama, Magereza n.k.)
Mifano halisi ni SHAMBULIO LA TUNDU LISSU, KUPOTEA KWA BEN SAANANE,KUPOTEA KWA AZORY GWANDA,KUBAMBIKIA KESI WANASIASA WA CHADEMA NA KUWAFUNGA NA VIPIGO visivo na sababu zaidi ya UONEVU!
Bila ya Rais Magufuli na Serikali yake kuomba msamaha na kuchukua hatua madhubuti kuzuia maambukizi ya Covid-19.

Hatua za kuchukua kwa Sasa nu pamoja na:
  1. DAR na ZANZIBAR ziwe under quarantine na Partial Lockdown kwa siku 30. HAKUNA kutoka wala kuingia Dar au Zanzibar na wakazi wake HAKUNA kutoka na kuingia majumbani mwao.
  2. Serikali igawe mahitaji muhimu kwa wakazi wa miji hii kwa kutumia Fedha ya Maafa, Fedha ya michango toka Raia wema(6B+) na Fedha za Mwenge na Muungano.
  3. Kwa wale Raia wakorofi watakaotoroka kutoka miji hii 2 kwenda mikoani au Bara Basi mikoa husika iwabaini na wawekwe Quarantine ya 14 days kwa gharama zao wenyewe.
Kama hatua hizi 3 zikitekelezwa kwa umakini mkubwa Tanzania bado inaweza kudhibiti maambukizi yasienee nchi nzima. Kwa Sasa Dar na Unguja ni Kama WUHAN ya China ambako mlipuko wa Covid-19 ulianzia!

Mjumbe hauwawi, mie nimeshafikisha ushauri/ujumbe kwa wahusika.

Wasalaam.
 
Mkuu umejikita kwenye lawama nani alikosea wakati mie nakueleza jinsi uhalisia wa hali ilivyo kuhusu huu ugonjwa, kwani huko kote ulaya palipo athirika na corona hakukuwa na washauri kama wewe au ndiyo walishauriwa ila hawakufuata ushauri ndio maana corona ikaingia? Hao warusi walifunga mipaka kama mlivyoshauri kwa Tanzania ila bado hali mbaya sasa huko.

Mkuu unaowatetea hawatakubaliana nawe kwani wanajua wangesikiliza ugonjwa usingeingia. Hata sasa hivi wakisikiliza maambukizi yatapungua hadi kutoweka kabisa.

Mkuu unadhani kama wange:

1. Funga mipaka.
2. Zuia ndege na wasafiri toka nchi zilizo athirika.
3. Weka quarantine wageni wote wanaotaka kuingia nchini toka nje kwa siku 14.

Ugonjwa huu ungeingia nchini?

Kumbuka ugonjwa ulifika ulaya na marekani mapema mno kabla yetu. Ulaya na marekani waliizembea pia kwa kudhani ugonjwa ulikuwa wachina tu. Kama walivyozembea kwetu wakidhani huu ugonjwa si wa mtu mweusi.

Ushahidi wa nini na wapi walizembea upo. Huo ni wa baadaye.

Kwa sasa tafadhali mkuu tujikite kuzuia maambukizi zaidi. Nini cha kufanya kuifanikisha hilo tunakijua tungependa hatua zinazojikita huko maisha zaidi ya watu wasiokuwa na hatia yasipotee kizembe.
 
Warussia Wana kamsemo....."PALE UWEZO WA MTU UNAPOFIKIA MWISHO KUFIKIRISHA BASI LAZIMA AMWINGIZE MUNGU"
Rais Magufuli amefikia ukomo wa akili yake kufikiri namna ya kudhibiti ugonjwa wa Civid-19!!!Ndiyo maana amekimbilia Kanisani na Msikitini...!!!

Kinachonisuangaza kuhusu Rais wetu anashindwa kuelewa kuwa MUNGU ANA PRINCIPLES (Kanuni)zake ili asikie na kujibu maombi ya mwanadamu yoyote. Principle Moja muhimu ni TOBA. Taifa lazima litubu au liombe msamaha kwa dhambi au makosa ambalo limekosa mbele za Mungu lakini pia Rais mwenyewe na watu wake waombe radhi kwa MAOVU,MAKOSA DHAMBI walizowatendea Watz/Raia kwa maksudi au bahati mbaya!
Mifano ya DHAMBI/makosa hayo ni pamoja na UONEVU WA SERIKALI KWA RAIA kwa kutumia vyombo vyake vya ULINZI&USALAMA(Polisi,TISS,Mahakama, Magereza n.k.)
Mifano halisi ni SHAMBULIO LA TUNDU LISSU, KUPOTEA KWA BEN SAANANE,KUPOTEA KWA AZORY GWANDA,KUBAMBIKIA KESI WANASIASA WA CHADEMA NA KUWAFUNGA NA VIPIGO visivo na sababu zaidi ya UONEVU!
Bila ya Rais Magufuli na Serikali yake kuomba msamaha na kuchukua hatua madhubuti kuzuia maambukizi ya Covid-19.

Hatua za kuchukua kwa Sasa nu pamoja na:
  1. DAR na ZANZIBAR ziwe under quarantine na Partial Lockdown kwa siku 30. HAKUNA kutoka wala kuingia Dar au Zanzibar na wakazi wake HAKUNA kutoka na kuingia majumbani mwao.
  2. Serikali igawe mahitaji muhimu kwa wakazi wa miji hii kwa kutumia Fedha ya Maafa, Fedha ya michango toka Raia wema(6B+) na Fedha za Mwenge na Muungano.
  3. Kwa wale Raia wakorofi watakaotoroka kutoka miji hii 2 kwenda mikoani au Bara Basi mikoa husika iwabaini na wawekwe Quarantine ya 14 days kwa gharama zao wenyewe.
Kama hatua hizi 3 zikitekelezwa kwa umakini mkubwa Tanzania bado inaweza kudhibiti maambukizi yasienee nchi nzima. Kwa Sasa Dar na Unguja ni Kama WUHAN ya China ambako mlipuko wa Covid-19 ulianzia!

Mjumbe hauwawi, mie nimeshafikisha ushauri/ujumbe kwa wahusika.

Wasalaam.

Mkuu umemaliza kila kitu. Ninaamini wewe ni mjumbe tu. Hawatakuuwa mkuu kwa kuwafikishia ujumbe huu mrua tu, wenye ufumbuzi kamili uliotukuka.
 
Ni mpaka pale WHO watakapoamua kuuita huu ugonjwa Lissu19 ndipo utakapoona hatua madhubuti zikichukuliwa kuupiga vita hapa bongo

Hiyo mbona Bwana Slowslow alikwishasema alipotamka ya kwamba WAPINZANI WOTE NI SAWA NA CORONA!
 
Hyo hapo.
Lockdown sio dawaa.View attachment 1423602View attachment 1423603

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"

Utakuwa uko ndotoni. Dawa humezwa, kupakwa, huchanjwa, hufukizwa, hunyunyizwa, nk nk.

Tofauti lockdown ilishaelezwa sana ukipenda waweza ona tena hapa:

IMG_20200416_173646_378.jpg


Kwa maelezo ya kina kuhusu hili ambayo yamekuwapo, akisikika mtu anahusianisha lockdown na dawa, mbona atakuwa wa ajabu mno.

Mkuu jitathmini unaweza kuwa na fuse mbili tatu kichwani zina taabu kiasi cha kukufanya dishi liyumbe.
 
Kuna sababu mbili ambazo makanisa hawataki kuyafunga


1. Serikali inapgopa kukosa kura

2. Wachungaji wanaogopa kukaa njaa bila sadaka.

Hivyo serikali wanapo suasua kufunga makanisa , wachungaji wanafurahi sana hwajui hata hizo sadaka wanaweza wasizipate wakikumbwa na corona.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sababu mbili ambazo makanisa hawataki kuyafunga


1. Serikali inapgopa kukosa kura

2. Wachungaji wanaogopa kukaa njaa bila sadaka.

Hivyo serikali wanapo suasua kufunga makanisa , wachungaji wanafurahi sana hwajui hata hizo sadaka wanaweza wasizipate wakikumbwa na corona.




Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo hoja zote 2 mbona hazina mashiko aisee!

1. Kama ni kura ndiyo watazikosa kabisa maana wapiga kura watakuwa wamekufa na Corona!

2. Wachungaji sio lazima wapate sadaka kwa ibada za Kanisani. Bado wanaweza kukusanya sadaka na mafungu ya 10 kupitia Mobile banking(M-PESA,Tigo pesa, Airtel Money etc).
Kuna makanisa yanafanya ibada Online hakuna watu kuonana.....!
Pengine tunaelekea huko soonest!
 
Dar inatakiwa siku nyingi iwe lockdown na Zanzibar lkn hawataki au wanaona wakisema itakuwa aibu kwa sababu walishasema upinzani kabla
Mikusanyiko kama ibada na mambo mengine vilitakiwa visiwepo lkn pia hawataki wanatafuta kura makanisani ugonjwa na wenyewe una wamaliza waumini hii ni vita nyingine
Amebaki Mungu tu kuwatetea na kuwapigania wadanganyika

Wanaita kisebu sebu na kiroho papo. Wameweka mno siasa ndani yake.
 
Back
Top Bottom