- Thread starter
- #141
Dar..the upcoming Wuhan
This is very sad indeed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar..the upcoming Wuhan
comment yako inaonesha hukerwi na lolote katika dunia hii zaidi ya kuvimbisha tumbo lako. Njaa mbaya sana na huondoa utu wa mtu!Km unataka lockdown kaa Ndani Wewe na familia
Hivi vitumishi vyenye uhakika wa mwisho wa mwezi kero kweli
Kumbuka kuna watu lazima watoke Ndio wale
Sent using Jamii Forums mobile app
unataka takwimu za ummy au za babu mzanzibar ?Hivi mbaka sasa hiv, wameshakufa wangapi? Hapa Tz
Sent from my iPhone using JamiiForums
Duh! Kumbe naonekana kuna watu nawatetea?Mkuu unaowatetea hawatakubaliana nawe kwani wanajua wangesikiliza ugonjwa usingeingia. Hata sasa hivi wakisikiliza maambukizi yatapungua hadi kutoweka kabisa.
Mkuu unadhani kama wange:
1. Funga mipaka.
2. Zuia ndege na wasafiri toka nchi zilizo athirika.
3. Weka quarantine wageni wote wanaotaka kuingia nchini toka nje kwa siku 14.
Ugonjwa huu ungeingia nchini?
Kumbuka ugonjwa ulifika ulaya na marekani mapema mno kabla yetu. Ulaya na marekani waliizembea pia kwa kudhani ugonjwa ulikuwa wachina tu. Kama walivyozembea kwetu wakidhani huu ugonjwa si wa mtu mweusi.
Ushahidi wa nini na wapi walizembea upo. Huo ni wa baadaye.
Kwa sasa tafadhali mkuu tujikite kuzuia maambukizi zaidi. Nini cha kufanya kuifanikisha hilo tunakijua tungependa hatua zinazojikita huko maisha zaidi ya watu wasiokuwa na hatia yasipotee kizembe.
Ulaya na China walikuwa hawana hivi vitu tena vyenye quality ya juu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Kumbe naonekana kuna watu nawatetea?
Basi sawa mkuu hakuna nchi yenye corona ambayo haijafanya uzembe zote zimefanya uzembe kwa kutofanya kama ulivyoshauri na ndiyo maana corona imeingia nchi hizo.
Wenzetu wanamaliza, sisi tunaanza!MODs tafadhalini msiufute huu uzi kama mlivyofuta ule wa siku tatu za sala ambao pia ulikuwa wa nia njema mno. Ni wazi kuwa wenye ujasiri wa kuandika nyuzi kama hizi kwa maslahi ya taifa ndani ya vitisho vilivyopo si wengi, hivyo tafadhalini msiwe sehemu ya kuwanyamazisha.
Wanasema nani mwenye kumfunga paka kengele? Ni muhimu sasa bila ya kupoteza muda zaidi wala kumung'unya maneno, tumfunge paka huyu kengele vinginevyo twafa tukijiona.
Wenye ujasiri wamejitahidi kuweka jitihada binafsi kuwahami wananchi.
Heko baba askofu Niwemugizi. Pongezi anazoendelea kuzipata baba askofu huyu ni wazi kuwa hatua za namna hii ndizo zilizokuwa zikihitajika kwa muda sasa.
Mh. Rais tafadhali tuachane na mambo ya uchumi na siasa. Ugonjwa huu utamaliza watu kwa uzembe wenu.
Gharama za kuwaweka watu manyumbani salama wasife kwa njaa (peke yake) tu ni ndogo mno na zitazidi kupanda kadri siku zinavyopita.
Kwa jinsi ambavyo umekuwa ukishughulikia suala hili tangia mwanzoni wewe kama mtendaji mkuu imetugharimu kweli kweli. Hatukuweza kuuzuia ugonjwa
huu kuingia nchini, na wala hatukumwona hata mmoja katika safu zako aliyewajibishwa au kuwajibika.
Umekuwa ukilishughulikia suala hili kuuzuia ugonjwa huu kusambaa na bado ugonjwa unasambaa. Hatujamwona hata mmoja katika safu yenu aliyewajibishwa au hata kuwajibika.
Kwa mwendelezo huu ni wazi kuwa hatunayo nia ya dhati (seriousness) wala hatuchukulii umuhimu wowote mafanikio
au kushindwa katika vita hivi nyeti ambavyo hakuna taifa hata moja duniani lenye watu makini waliojaribu kuidunisha.
Kwa sababu ugonjwa huu unaenda kutuathiri kimaisha moja kwa moja (sisi na wapendwa wetu), kwa vile wawakilishi wetu labda hawakufikishii maoni yetu vilivyo, na kwamba eti wewe huyaoni haya, tunaomba kutumia maneno yako wewe mwenyewe:
"Kwa jinsi ambavyo umekuwa ukiendesha vita vya ugonjwa huu, tafadhali sasa NO!
Tunakupenda sana mheshimiwa. Lakini mheshimiwa kwenye hili la Corona, big No!
Kwa nini angalau Dar na Zanzibar haziko locked down? Mh. rais, Big No! Tumevumilia kweli kweli hadi tumelazimika kukupa ukweli huu. Mkuu big No!"
Cha kufanya kinafahamika. Kenya Rwanda na Uganda walio kama sisi wamefanya nini na sasa wanaudhibiti juu ya ugonjwa huu na karibu wanaanza kurejea kwenye shughuli zao za kawaida?
Please, Big NO!
😂😂😂...!naiona lockdown inakuja muda siyo mrefu kulingana na idadi ya corona kati ya leo au kesho, maana kwa zanzibar ni 23 maambukizi mapya sijui kwa bara itakuwaje?
au ndo tuseme corona imeisha
Wenzetu wanamaliza, sisi tunaanza!
unataka takwimu za ummy au za babu mzanzibar ?
hali ikizidi kuwa mbaya itatuhusu sisi wote hiyo
Tatizo wabongo siasa imewaathiri sana na ndiyo maana hata suala hili mnalijadili kwa misukumo ya kisiasa, huu upuuzi wenu wa siasa mnauwezaga wenyewe maana kila jambo lina wataalamu wake na ndiyo maana tuna viongozi wenye kuleta siasa hadi penye kuhitajika utaalamu. Unafikiri mtu kama wewe ukipewa uongozi unaachaje kutanguliza siasa kwenye kuhitajika utaalamu.Vipi mkuu ulikuwa mmoja wa mliopewa majukumu kuuzuia ugonjwa huu kuingia nchini?
Unadhani hamkuzembea mahali mkuu?
Au mkuu unadhani kipengele hiki kinaweza kusababisha unga wako kumwagika?
Si lengo la uzi huu kutia kitumbua chake mchango. Ndiyo maana muda wote nimekusihi sana, kuganga yajayo.
Kweli wewe zwazwa. Hivi unajua kwa mujibu wa WHO kuwa binadamu zaidi ya 150,000 hufa Kila siku kwasababu mbalimbali?Mkuu bandiko lako ka kiugoro ugoro halina mbele wala nyuma. Tafsiri za kuwa lockdown ni lockup unazipata tokea dictionary gani?
Kama haitoshi baada ya kujichanganya huko unapendekeza tena kuepuka maambukizi kwa kujiweka lockdown ukiwa tayari umesahau kuwa hiyo ni lockup kwa tafsiri yako.
Mengine uliyoandika ni kama unatokea sayari nyingine. Huna habari yoyote kuhusiana na muda mgonjwa anaweza kuwa hai na Corona. Huna taarifa zozote hata ni siku ngapi zinatosha kutambua mtu kama ana Corona au la. Huna hata taarifa lockdown ni kwa ajili ya nini.
Kwa kukuhurumia angalau kukupunguzia u mburula, uliwahi kuona haya humu jamvini?
View attachment 1424095
Tusubiri dada ummy afunge mahesabu.. kesho j3 mapeeemanaiona lockdown inakuja muda siyo mrefu kulingana na idadi ya corona kati ya leo au kesho, maana kwa zanzibar ni 23 maambukizi mapya sijui kwa bara itakuwaje?
au ndo tuseme corona imeisha
Kenge kweli kweli huyo msengerema
Naomba kuulizà swali hizi barakoa zinavaliwa kwa muda gani haraf unazifuaTukijikita kwenye matumizi ya barakoa, hata hizi za vitambaa tunaweza kukinga kuenea kwa korona kwa kiasi kikubwa, ni swala la enforcement tu kama alivyoanza kuagiza Makonda kwa wakazi wa Dar.
Hii issue kheri upambane wewe na familia yako tu. Kama una uwezo wa chakula na vitu vingine fanya hivyo, protect your family tu.
Wengine washaelimishwa na bado wanasubiri masia atakaeiponya nchi baada ya siku tatu za maombi, then waache waamini hivyo.