Kwako Single Mother, naomba nafasi tulee huyo mtoto, nitakuwa baba bora mwenye upendo hutoamini

Kwako Single Mother, naomba nafasi tulee huyo mtoto, nitakuwa baba bora mwenye upendo hutoamini

Ngoja ni ku PM namba za masingle mama wa mtaani kwetu, kuna kadada fulani hivi kana mtoto mmoja wa miaka minne, mdada bado mbichi kabisa, asipokwambia kuwa na mtoto unaweza fikiri bado ni mwana mwali, nyonyo bado imesimama powa tu, mambo ya sita anayajua kiasi si saaana, tundu linabada vizuri sana kama hajashusha vile( nimemtumia mara mbili tu)
duh haha
 
Na Mungu akubariki katika nia yako.akupe tumain la Moyo wako akupe WA kuendana Na wewe...
 
Fulsa hizi adimu sana watakuja mkuu kila kheri
 
Kama unalifanya hili kwa nia njema na iwe kheri kwako na kwenye mipango yako.......!!

Ila kama unafanya hili kwa malengo mabaya au kudhihaki....laana ya kila chozi la atakayelia kwa ajili yako ikuandame wewe na kizazi chako......

Amen......
Yuko serious kabisa si kwamba anafanya maskhara na nina hakika atatuletea mrejesho hapa akifanikiwa
 
Kilichonileta humu ni kutoa langu la moyoni kwa yeyote ambae nafsi yake itaguswa na hitaji langu. Natumaini ninayo haki kikatiba, kidini na kijamii kuchagua aina ya mwenza ambaye nafsi na moyo wangu havitakuja kupungukiwa na upendo juu yake pamoja na wote anaowaheshimu na kuwathamini katika maisha yake.

Natafuta Single Mother (mwanamke aliyezaa mtoto/watoto lakini hajaolewa: Yamkini aliolewa akatoka kweye ndoa au alizaa kabla ya kuingia kwenye ndoa.

Ieleweke kuwa mimi sina matatizo yoyote ya kiuzazi na ni mwanaume rijali mwenye heshima ndani ya jamii inayonizunguka, najitegemea na ni mlipa kodi serikalini.

Pia ieleweke kuwa ninatambua kuna sehemu za ibada, mtaani na hata kazini ambapo ningeweza kutafuta mwenza ninayemtaka, lakini JamiiForums binafsi nina iheshimu kwasababu wanachama sio maroboti, ni watu hao hao walio kwenye jamii nilizozitaja hapo juu. Kwahiyo nina imani 100% kuwa nitampata mwenza wa sifa niliyoitaja.

Mwanamke huyo nitampenda kabisa kwa hali zote bila kujali amekubali tuoane au tubaki kwenye uhusiano wa kawaida. Pia mtoto/watoto wake nitawapenda hatoamini, na wala sitakuwa na kinyongo juu ya mwenza wangu kuwasiliana na baba wa watoto (wa damu), na tutamkaribisha kuwa anakuja kuwasalimia (kama mwenzangu akitaka).

Akili yangu imejawa na mawazo safi na chanya, hivyo siamini kuhusu baba wa damu kuendeleza uhusiano wa kimapenzi wakati halei watoto, au hata kama analea (ina maana tutakuwa sasa tunasaidiana kulea), nadhani ataniheshimu mimi kama mume halali wa huyu mwanamke.

Kama ni wewe ndio mke wangu mtarajiwa (Single Mother) au kuna Single Mother unamfahamu, tafadhari njoo inbox kwa maongezi zaidi.

Asante JamiiForums.

N.B. Nadhani nimejieleza vyema na sitarajii Interview (maswali yasio na mwelekeo wa swala langu au kejeli). Ni vizuri ukaja inbox kama una hoja, unless you are a potential Single Mother unaehitaji nikufafanulie zaidi.

Asanteni.
Ushauri wangu kwenye hili...
Kwakuwa uko serious na hili replies zote zenye mwelekeo wa kebehi dhihaka na mabezo jitahidi kuzipotezea...jitahidi sana ili ufanikiwe
 
Ngoja ni ku PM namba za masingle mama wa mtaani kwetu, kuna kadada fulani hivi kana mtoto mmoja wa miaka minne, mdada bado mbichi kabisa, asipokwambia kuwa na mtoto unaweza fikiri bado ni mwana mwali, nyonyo bado imesimama powa tu, mambo ya sita anayajua kiasi si saaana, tundu linabada vizuri sana kama hajashusha vile( nimemtumia mara mbili tu)
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Mungu anakuona
 
Back
Top Bottom