Kwangu Mzee Kikwete ndiye baba wa Taifa, hao wengine mnaowasifu hawana maajabu

Vipi sheikh!!
Toka mungu wenu anyofolewe roho na Mungu mwenye enzi mmechanganyikiwa mno

Mungu hafi sheikh. Wewe ni Division 5 ?maana unadhani kila anayempinga Kikwete ambaye ni Kilaza atakuwa ni mtu kama wewe? Katika Marais vilaza ambao Tanzania iliwahi pata basi ni Kikwete. Huyu ndo aliwawezesha hata nyie ambao hamna Elimu muajiriwe kwa vyeti fake. Ndo maana mnamwona kama baba yenu. Siwalaumu. Ni uelewa na elimu hamna. Sisi tunapiga kazi na vyeti vinaruhusu.
 

Kuna wakati tunaogopa kusema ukweli maana tutashughulikiwa. Sababu ni uhuru wako kikatiba kutoa maoni bila kumbughuzi mwingine, yes, JK ni baba yako wa Taifa.
Ila Taifa hili, oficially lina baba yake. Hizi nyingine ni mbwembwe tu. Maana haya madhira yote yametengenezwa na watu wawili kwa mfululizo...awamu ya tatu na ya nne.
Mwenyezi Mungu atunusuru waja wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…