Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Screenshot_20250112_184211_Parallel Space.jpg


Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
 
Mkuu unauliza kazi ya mtu Karne hii?

Unaweza kubet ukaishi bila kazi rasmi.
Unaweza kuwa influencer ukapiga domo ukaishi
Unaweza kuwa dalali na bado ukaishi.
Unaweza kuwa software developer.
Unaweza ukawa programmer.
Unaweza ukawa umewekeza bitcoins.
Unaweza ukawa online consultant.

Mambo ni mengi Sana karne hii sio lazima utumie miguvu miingi na kazi unayofanya lazima watu waione.
 
View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Tueleze kwanza alikuwa anashambulia vipi?
 
Hakufanya mahesabu yake vizuri, ameenda Kenya(rafiki wa TZ) na kuanza harakati za kuivua nguo serikali yako unatafuta matatizo tu. Serikali za Afrika zinalindana, zina itikadi sawa, wote ni madikteta tu. Unategemea Ruto akulinde kweli?
 
Angefuatilia historia ya yaliyotokea kwa Mcghee na Uncle Thom (Lugangira) 1983 walivyobadilishwa kirahisi na akina Ochuka😀
Nashukuru umelikumbusha hili la akina Ochuka/ Lugangira la miaka ya mwanzoni mwa 1980s.

To me bila kujali haki yake ya kikatiba ya maoni/ kukosoa, namuona hakuwa smart kufanya hizo harakati zake Nairobi
 
Kama alikuwa anaishi Kenya na anakuwa mkosoaji vile basi hajui tu kuwa nchi za Africa zote ni sawa tu
Kenya wanaharakat wanapotea yeye kaenda tena pale pale.. kuna yule wa Rwanda aliye uwawa S. Africa hakujifunza kitu.. Hao walio mteka wakiwa na silaha watakuwa na baraka kutoka kwa ruto.. Huyu hawez kupatikana tena
 
Stuxnet wa leo na yule wa Enzi za Magufuli ni Mbingu na Ardhi.

Huwa najiuliza ulikuwa unamkandia Magufuli kwa sababu gani? Au ulikuwa na chuki binafsi?
Tofauti kati ya Magufuli na Samia ni kubwa tu. Mama Samia alianza vizuri na hana yale mauhayawani ya Magufuli kama:-
1. Kuteka na kuua
2. Kunyang'anya fedha za wafanyabiashara
3. Kutolipa nyongeza za mishahara
4. Kuwafukuza kazi wenye vyeti feki huku yeye mwenye akiwa na PhD feki
5. Kuabudiwa kama mungu na akina Kabudi
6. Kujenga miundombinu mikubwa wilayani kwake
 
Back
Top Bottom