Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Naona kama maswali yako tayari majibu unayo...? Kukubali ujinga siyo ujinga, ni upumbavuuuu...
 
Hakufanya mahesabu yake vizuri, ameenda Kenya(rafiki wa TZ) na kuanza harakati za kuivua nguo serikali yako unatafuta matatizo tu. Serikali za Afrika zinalindana, zina itikadi sawa, wote ni madikteta tu. Unategemea Ruto akulinde kweli?
Lakini miaka yote yuko huko au makundi ya wahuni tu wanatafuta hela
 
Ila nina imani atapatikana tu.
Japo watamharibu sana kisaikolojia..
Kuikosoa Tz na kuishi Nairobi ilikuwa ni wrong move, Kenya yenyewe haina sera zozote madhubuti kulinda raia wake, pale viongozi ni vibaka tu, kuanzia rais wao ni kibaka na muuaji...
 
View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
alikua akishirikiana na lisu kutukana tanzania na serikali yake
 
Ila nina imani atapatikana tu.
Japo watamharibu sana kisaikolojia..
Kuikosoa Tz na kuishi Nairobi ilikuwa ni wrong move, Kenya yenyewe haina sera zozote madhubuti kulinda raia wake, pale viongozi ni vibaka tu, kuanzia rais wao ni kibaka na muuaji...
Acha kumchafua Rais wa nchi jirani .
 
View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Aione nani kwa majibu?
 
Kenya wanaharakat wanapotea yeye kaenda tena pale pale.. kuna yule wa Rwanda aliye uwawa S. Africa hakujifunza kitu.. Hao walio mteka wakiwa na silaha watakuwa na baraka kutoka kwa ruto.. Huyu hawez kupatikana tena
Absolutely correct!! Gen Z wa Kenya kama 400 hawajulikani walipo, halafu eti naye Maria Sarungi akajifanya ni STAR wa kurusha makombora kutokea Nairobi
 
Back
Top Bottom