Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni non gov. org.Kama ni hivyo sasa mbona Ruto anateka kwa raha zake?
Mbona umemjibu kwa hasira sanaKwamba mtu hawezi kuwa mwanaharakati huku ana shughuli nyingine za kumuingizia kipato?
Unachokitafuta ni nini hasa? Unataka kusikia nini ili upate uhakika wa unachofikiri?
Kenya makundi ya kihalifu mengi sana.Wamle halafu wamrekodi live watutumie mitandaoni
Naona kama maswali yako tayari majibu unayo...? Kukubali ujinga siyo ujinga, ni upumbavuuuu...View attachment 3199909
Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?
2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?
3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Lakini miaka yote yuko huko au makundi ya wahuni tu wanatafuta helaHakufanya mahesabu yake vizuri, ameenda Kenya(rafiki wa TZ) na kuanza harakati za kuivua nguo serikali yako unatafuta matatizo tu. Serikali za Afrika zinalindana, zina itikadi sawa, wote ni madikteta tu. Unategemea Ruto akulinde kweli?
😡Wamle halafu wamrekodi live watutumie mitandaoni
alikua akishirikiana na lisu kutukana tanzania na serikali yakeView attachment 3199909
Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?
2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?
3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Acha kumchafua Rais wa nchi jirani .Ila nina imani atapatikana tu.
Japo watamharibu sana kisaikolojia..
Kuikosoa Tz na kuishi Nairobi ilikuwa ni wrong move, Kenya yenyewe haina sera zozote madhubuti kulinda raia wake, pale viongozi ni vibaka tu, kuanzia rais wao ni kibaka na muuaji...
Aione nani kwa majibu?View attachment 3199909
Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?
2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?
3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Siyo mwanao bali mama yako kwa vile alizaa bozongwa au popomaMwanangu hapa mana anaingiaje au ndiyo huo upumbavu na kuishiwa?
Roho mbaya kama wewe always wanaishia kuwa losersWamle halafu wamrekodi live watutumie mitandaoni
Ni kibaka tu...Acha kumchafua Rais wa nchi jirani .
tutawakamata wote,Mungu amlinde huko alipo mabaya yasimfike.
Third world country hazina securityIla nina imani atapatikana tu.
Japo watamharibu sana kisaikolojia..
Kuikosoa Tz na kuishi Nairobi ilikuwa ni wrong move, Kenya yenyewe haina sera zozote madhubuti kulinda raia wake, pale viongozi ni vibaka tu, kuanzia rais wao ni kibaka na muuaji...
Absolutely correct!! Gen Z wa Kenya kama 400 hawajulikani walipo, halafu eti naye Maria Sarungi akajifanya ni STAR wa kurusha makombora kutokea NairobiKenya wanaharakat wanapotea yeye kaenda tena pale pale.. kuna yule wa Rwanda aliye uwawa S. Africa hakujifunza kitu.. Hao walio mteka wakiwa na silaha watakuwa na baraka kutoka kwa ruto.. Huyu hawez kupatikana tena
Sikujua nimewasiliana na mbususu chafu yaani wewe.Siyo mwanao bali mama yako kwa vile alizaa bozongwa au popoma