Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

Tofauti kati ya Magufuli na Samia ni kubwa tu. Mama Samia alianza vizuri na hana yale mauhayawani ya Magufuli kama:-
1. Kuteka na kuua
2. Kunyang'anya fedha za wafanyabiashara
3. Kutolipa nyongeza za mishahara
4. Kuwafukuza kazi wenye vyeti feki huku yeye mwenye akiwa na PhD feki
5. Kuabudiwa kama mungu na akina Kabudi
6. Kujenga miundombinu mikubwa wilayani kwake
Kama hiyo ndio tofauti inayofanya umpende mama Abdul basi wewe ni takataka.
 
View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Wewe JF nani Huwa ANAKULIPA????🤔🤔🚴🤔🚴 Nakuuliza wewe KENGEMAJI!!!🤣🤣🤣
 
January 12, 2025
Nairobi, Kenya

Tanzanian activist Tsehai kidnapped in Kenya: Amnesty

Tanzanian rights activist Maria Sarungi Tsehai was reportedly abducted in Nairobi. Kenya has a record of allowing foreign governments to abduct their citizens on its soil.


View: https://m.youtube.com/watch?v=MP76X_sC_vU
President of Tanzania Samia Suluhu Hassan (Video) in previous official engagement . Source: TBC Online

Maria Sarungi Tsehai is a critic of Tanzania's President Samia Suluhu Hassan.

Tanzanian rights activist Maria Sarungi Tsehai was abducted in Kenya's capital, Nairobi, on Sunday, Amnesty International and her organization reported.

Tsehai was grabbed by three armed men in a black Toyota Noah in Nairobi's Kilimani area, according to Amnesty Kenya.

What do we know about Tsehai's disappearance?
Tsehai, who has 1.3 million followers on X, advocates for political reform, freedom of expression, and women's rights in her country.

She is also a fierce critic of Tanzania's President Samia Suluhu Hassan.

Change Tanzania, Tsehai's social movement, wrote on X that they believe her "abductors" are Tanzanian security agents, "operating beyond Tanzania borders to silence... legitimate criticism."

It said that her "courage in standing up for justice has made her a target, but we won't let this moment silence her voice."

Tsehai has been living in "exile" in Kenya since 2020, Tundu Antiphas Lissu, a leader of Tanzania's opposition Chadema party, said.

"We must call upon the Kenyan government and all people of goodwill from around the world to intervene in whatever capacity they can to help secure Maria's safe return to her family," he said.

Stephen Jackson, the UN Resident Coordinator in Kenya said he was "very concerned" about Tsehai"s reported abduction.

'Worrying trend of transnational repression'
There have been previous reports of foreigners in Kenya being captured and deported without proper legal procedures.

In October 2024, the UN's refugee agency (UNHCR) said it was "deeply concerned" over reports that four Turkish refugees had been abducted in the capital Nairobi, and forcibly returned to Turkey.

Kenya's Foreign Ministry said the four people were repatriated at the request of the Turkish government.

'Kidnapped' Ugandan opposition figure put on trial

02:55
In November, Uganda said it worked with Kenyan authorities to arrest Ugandan opposition politician Kizza Besigye in Nairobi. They brought him back to Kinshasa to face a military trial.

It is "part of a growing and worrying trend of transnational repression with governments violating human rights beyond their borders," Tigere Chagutah, Amnesty International's Regional Director for East and Southern Africa, said in a statement.


Tanzania's crackdown on dissent
Tanzania's opposition is accusing the government of cracking down on criticism.

When President Samia Suluhu Hassan took office in 2021, she was initially praised for enhancing democratic freedoms after succeeding her autocratic predecessor, John Magufuli.

But she now faces growing domestic and international criticism over her government's human rights record.

Rights groups and Western governments have condemned what they perceive as a resurgence of repression, with opposition politicians facing frequent arrests, abductions, and even killings.

Tanzanian authorities have not yet commented on Tsehai's disappearance.

ess/lo (AFP, DW sources)
 
View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Tito Magoti mbona yupo bongo daily????
Na juzi hapo ametoka ku-graduate masters nyingine.
 
Stuxnet wa leo na yule wa Enzi za Magufuli ni Mbingu na Ardhi.

Huwa najiuliza ulikuwa unamkandia Magufuli kwa sababu gani? Au ulikuwa na chuki binafsi?
Hawa ndo kama akina "muda wote "
Enzi za JPM alikuwa........kaja Samia yupo...
 
View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Fikra za kijinga sana hizi.

Kwa taarifa yako kazi ambayo Sarungi alikuwa anafanya akiwa TZ ndio hiyo hiyo anafanya akiwa Nairobi.

Wewe endelea kuamini fursa ni TZ tu
 
Hahaha watu wanajipa majukumu wasiyo yaweza, eti TUNAENDELEA KUFUATILIA. Unafuatiliaje sasa na Team Lisu wameshasema ni Mbowe!?
 
Issued on: 12/01/2025 - 20:09
Modified: 12/01/2025 - 20:07

2 min

France 24 - International breaking news, top stories and headlines


Tanzania rights activist latest abduction victim in Kenya


Nairobi (AFP) – A renowned Tanzanian rights activist was kidnapped on the streets of the Kenyan capital Nairobi on Sunday, only to be released after a rapid intervention by rights groups.




Maria Sarungi Tsehai's campaigns for political change and women's rights in Tanzania have earned her a huge following, including 1.3 million followers on X, but she has been forced to live in exile in recent years.

Amnesty International raised the alarm on Sunday, saying she had been "kidnapped by three armed men in a black (Toyota) Noah" in the Kilimani area of central Nairobi.

Her organisation, Change Tanzania, wrote on X that they believed her abductors to be "Tanzania security agents operating beyond Tanzania borders to silence... legitimate criticism".

Several hours later, the Law Society of Kenya president Faith Odhiambo posted on X that they had managed to secure her release.

"Maria Sarungi Tsehai has been released and is safe for now," Odhiambo wrote. "The unfortunate ordeal she endured paints a worrying picture of the state of our country's human rights context."

A video of a deeply shaken Maria Tsehai (below) who thanked those who helped her, saying: "Today I have been saved" :


View: https://m.youtube.com/watch?v=Z3NAR1lXxgM
Video: courtesy of Millard Ayo

Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has been accused by rights groups and Western governments of overseeing a crackdown on opposition forces ahead of elections later this year, including mass arrests and abductions of opponents.

'Transnational repression'
Kenya has a growing reputation for allowing foreign governments to kidnap their citizens and forcibly extradite them in violation of international law.

In October, four Turkish refugees were abducted in Nairobi and forcibly returned to Turkey.

The following month, Uganda said it had worked with Kenyan authorities to seize a Ugandan opposition leader, Kizza Besigye, in Nairobi and take him back to Kampala for a widely condemned military trial.

Amnesty International warned it was part of a "growing and worrying trend of transnational repression" in Kenya.

Kenya has also been hit by a wave of abductions of its own citizens, targeting critics of President William Ruto in the wake of massive youth-led protests last June.

Earlier Sunday, a member of Ruto's cabinet became the first to speak out over the kidnappings, saying his own son had been a victim.

Justin Muturi, attorney general under Ruto from October 2022 to July 2024 and now head of the public service ministry, said his son "was abducted and disappeared and I was not sure if he was alive or dead."

Local media reports from the time said Muturi's son Leslie had been bundled into a car after leaving a bar in central Nairobi in June. Friends told Citizen TV he was released the following day.

Dozens still missing
The Kenya National Commission on Human Rights says at least 82 people have been abducted since the protests, with dozens still missing.

Kenya's high court has ordered the country's top policeman to appear for questioning on January 27 over a recent series of abductions or be charged with contempt.

Ruto has admitted to excesses by security forces. Speaking on December 27 he even said "we will stop" the abductions, though he also called on parents to better control their children.

The ambassadors of the United States and Britain, close allies of Kenya, have criticised the incidents and called for full investigations
 
Mambo ya utekaji kwa ujumla yana aibisha Taifa, hizi ni siasa mbaya sana. Kuna haja ya kuwa na upelelezi wa kina, sio huu wa polisi ya Tz, ambayo badala ya kufanya kazi za kiuchunguzi wao husifia tu serikali na ccm.
 
12 January 2025
Breaking News:

Tanzanian journalist Maria Sarungi abducted in Nairobi


View: https://m.youtube.com/watch?v=iYm8vzOefog
We've just received word that Marie Tsehai, a prominent Tanzanian journalist and human rights advocate, has been kidnapped in Nairobi, Kenya.
She was taken by armed men earlier today.

Roland Ebole, Regional Researcher in Tanzania and Uganda joins us now.
Source : SABC News
 
12 January 2025
Tanzanian Abducted In Nairobi
Tanzanian Human Rights Defender Abducted In Kilimani


View: https://m.youtube.com/watch?v=JwJz6UbTEzU
Maria Sarungi Reportedly Abducted By 3 Armed Men
Abductors Bundled Maria In A Waiting Car At Chaka Place
Uganda’s Kizza Besigye Was Abducted Last Year In Nairobi
Source : Citizen tv Kenya
 
12 January 2025

Tanzanian Activist Maria Sarungi Reported Abducted By Armed Men In Kenya


View: https://m.youtube.com/watch?v=xjHllCwM18U


Now, yet another foreign national had been kidnapped on Kenyan soil! Maria Sarungi-Tsehai, Tanzania’s media personality as well as a key critic of Samia Suluhu’s government, has been allegedly abducted today Sunday at Chaka area in Kilimani, Nairobi.

The Law Society of Kenya Faith Odhiambo has noted on her X post and I quote “Maria Tsehai has been released and is safe for now. The unfortunate ordeal she has endured paints a worrying picture of the state of our country's human rights context…’’ end of quote.
Source : TV47 Kenya
 
12 January 2025
Nairobi, Kenya

Waziri Wa Utumishi Wa Umma mheshimiwa Justin Muturi Amejitenga Na Kauli ZA mawaziri Wenzake Kuhusiana Na Utekaji Nyara Nchini


View: https://m.youtube.com/watch?v=rlL5AcWyKso

Na Kuitaka Serikali Kutoa Majibu Yanayotosheleza Kwa Taifa Na Familia Za Waathiriwa. Muturi Ameelezea Kutoridhishw Akwake Na Asasi Za Usalama Na Matamshi Ya Viongozi Wakuu Serikalini Kuhusiana Na Visa Hivyo Na Kutaka Vikomeshwe..

Source : Citizen TV Kenya
 
View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Huyu alitakiwa apotee mazima!!!
 
Back
Top Bottom