Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Unayalipa tu wanakumalizia kazi, wala hata sura hamuonaniKenya makundi ya kihalifu mengi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unayalipa tu wanakumalizia kazi, wala hata sura hamuonaniKenya makundi ya kihalifu mengi sana.
Sio security pekee, hawajali hata usalama wa raia wake, ukitekwa, ukinyongwa haiwahusu...Third world country hazina security
Amepatikana?Ashapatikana tayari
Muulize Lissu!View attachment 3199909
Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?
2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?
3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Shauri yake. Atajijua mwenyewe😁Ni non gov. org.
Unaweza Piga Ramli kama mtani wangu Mshana Jr ukaishiMkuu unauliza kazi ya mtu Karne hii?
Unaweza kubet ukaishi bila kazi rasmi.
Unaweza kuwa influencer ukapiga domo ukaishi
Unaweza kuwa dalali na bado ukaishi.
Unaweza kuwa software developer.
Unaweza ukawa programmer.
Unaweza ukawa umewekeza bitcoins.
Unaweza ukawa online consultant.
Mambo ni mengi Sana karne hii sio lazima utumie miguvu miingi na kazi unayofanya lazima watu waione.
Nchi za Africa wanakudaka tena asbh tu.Kama alikuwa anaishi Kenya na anakuwa mkosoaji vile basi hajui tu kuwa nchi za Africa zote ni sawa tu
Hawa madogo wa FB wamekuwa wengi humu. Wanaamini kuwa mwanaharakati basi huwezi kuwa na ajira nyingine. Hawamfahamu Maria Sarungi. Maria ana conmections na anafanya kazi nyingi sana na amefanya pia na NGOs kadhaa. But pia anafanya sana consultations na analipwa in terms of Dollar. Sema tu alichemka kwenda kuishi Kenya. Harakati fanya ukiwa nchi za watu. Siyo hizi.Kwamba mtu hawezi kuwa mwanaharakati huku ana shughuli nyingine za kumuingizia kipato?
Unachokitafuta ni nini hasa? Unataka kusikia nini ili upate uhakika wa unachofikiri?
Maria Sarungi bila ya shaka ni jasusi wa nchi fulani ya magharibi. Amekua adui wa sera za kitaifa za maslahi kwa umma wa wananchi. Bila shaka ni wakala anayepewa hela na kuwasajili wengine kupinga siasa na sera za kitaifa sisizokua na maslahi kwa nchi za kibeberu. Ni sawa na yule kabendara tu. Wote ni watu hatari kwa nchi yetu ya Tanzania.View attachment 3199909
Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?
2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?
3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Hatari kweli.Unayalipa tu wanakumalizia kazi, wala hata sura hamuonani
Unataka nikuingilie kinyume na maumbile?Yule ni mwanamke asili yake ni "kutunzwa"
Mleta mada kama nawe unapenda kuolewa na kutunzwa chagua nchi na jiji unalopenda kuhamia nipo tayari kukuhudumia nawe unipe Ile huduma muhimu si uinajua..??!?
Huna uwezo huo.Unataka nikuingilie kinyume na maumbile?
Akikujibu unitag!Unataka nikuingilie kinyume na maumbile?
kazi yake kubwa kule ni nafasi na uhuru wa kuitukana ardhi ya Tanzania na nchi ya uzao wake.View attachment 3199909
Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?
2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?
3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?

Jinga lingine hili..Akikujibu unitag!
NdiyoAmepatikana?