Uchaguzi 2020 Kwani Maandamano yana tatizo gani watu kudai haki na ni halali askari kuyazuia?

Kama ni kweli kwa nini mzichome moto? Kwa nini mliharibu ushahidi?
Wadanganyeni mafala wenzenu
Nani kakudanganya zimechomwa moto zote?[emoji23][emoji23]

Jama kopo hili, hukuona Zitto kabwe Jana amazionesha kwa waandishi wa habari Siku ya Jana?
 


Siyo dharau bali ukweli utabaki kuwa hivyo kama tunajadili bila mihemko!

Mojawapo ya namna nzuri ya kutoka hatua moja kwenda nyingine ni pamoja na kukiri udhaifu uliopo kwa wakati huo !
 
Kura feki mlizotengeneza ili kuwadanya wananchi. Acheni upuuzi wenu. Kama ni za wizi kweli ziwekeni hadharani na majina ya waliofoji.
 
Kama mlikamata kura za wizi kwa nini mlizichoma? Kwanini msifungue kesi kupinga matokeo mahakamani na huo ndio ukawa ushahidi?

Maandamano hayaleti mabadiliko ya uchaguzi ambao CHADEMA wameshindwa kihalali.
Aisee
 
Kama mlikamata kura za wizi kwa nini mlizichoma? Kwanini msifungue kesi kupinga matokeo mahakamani na huo ndio ukawa ushahidi?

Maandamano hayaleti mabadiliko ya uchaguzi ambao CHADEMA wameshindwa kihalali.
na kama walizikamata lazima zilikua na mtu huyo mtu yuko wapi?

kwanini wasimuulize kazitoa wapi na nani kampa? huwezi tu kusema

nimezidaka kura feki ziwe tu zimekaa kama furushi la uchafu barabarani.
 


Fahamu kuwa siyo kila mchambuzi / mchangiaji mada anachangia kwa mlengo wa kiitakadi ya chama fulani.

Tujifunze kudhibiti mihemko yetu na huko ndiyo kuwa matured person!

Nikuulize TZ ina jumla ya watu wangapi?
Wangapi ni wanachama wa vyama vya siasa?

Utagundua kuwa waliowengi siyo wanachama wa vyama vya kisiasa lakini wanayohaki ya msingi ya kutoa maoni yao katika mambo mbali mbali bila kwenda kinyume na sheria!

Tafakali
 
na kama walizikamata lazima zilikua na mtu huyo mtu yuko wapi?

kwanini wasimuulize kazitoa wapi na nani kampa? huwezi tu kusema

nimezidaka kura feki ziwe tu zimekaa kama furushi la uchafu barabarani.
Hapo umemaliza uongo wao kabisa.
 
Huu upumbavu peleka nyumbani kwako. Wanaandamana kudai maslahi ya familia zao au watanzania wote?
 
Polisi haitotoa kibali cha maandamano haya na wanajiandaa kuchapa watu. Akina Mbowe wanajua uchaguzi hautarudiwa lakini angalau ujumbe utakwenda duniani na pressure itakuwa kubwa

Huu ni mwanzo wa Serikali kusalimu amri somehow na kuanzisha mchakato wa kupata Tume Huru ya Uchaguzi.

Yaani Tume isipopatikana ndani ya 2020-2024, CCM wataendelea na mchezo huu huu mwaka 2025 maana wamenogewa sasa
 
Ccm wanatumia mtaji wa ujinga kuwatawala watanzania niliwahi kusema elimu yetu ina shida hasa ya uraia watu hawajui haki zao pia elimu imejenga utii usio na maana hata penye kosa sababu kuu ni neno upinzani limejengewa taswira ni vita, chokochoko,matusi, fujo, ilhali watawala ndio wanaongoza kwa kuivunja katiba ..
 
Hii yote uliyoandika ni UPUUZI.

Hata uwafundishe wawe na PhD kama kura zinaibiwa na NECcm kushirikiana na Policcm hazitavunjwa ni kazi bure


Sasa hayo maswala ya kudai kuandikwa kwa Katiba mpya pamoja na Tume huru na ya Haki ya Uchaguzi yanapaswa kwenda sambamba na utolewaji wa elimu ya Uraia ili kuleta tija zaidi.

Ufumbuzi wa hali iliyopo ni mtambuka kama nilivyoandika hapo juu!
 
Hakuna sheria inayoruhusu maandamano tz


Unashauriwa kurudia kusoma notes zako za Somo la Civis kama ulijaliwa kulisoma au wakati wa topic hiyo inafundishwa ulikuwa na udhuru hukuwepo darasani? Je hukuweza kuwauliza wenzio walichofundishwa wakati ulipokuwa na udhuru?!

Jiwekee mazoea ya kusoma magazeti, sikiliza taarifa za Habari utapata kujifunza na kufahamu mengi ili kusudi kabla ya kuandika au kunena jambo uwe na uhakika usijichoreshe kama hivyo watu wakaanza kupata shaka na kiwango chako cha elimu na ufahamu wako wa mambo ya msingi.

Hata RPCs, IGPs wa Zanzibar na Tanganyika juzi alisema Maandamano ni haki ya wananchi Kikatiba lakini wafuate utaratibu ikiwemo swala la kuomba kibali cha kuandamana.

Ingawa kwenye nchi zilizokomaa kidemokrasia huandamana bila kuomba vibali wala nini.

Kwa huko bongo ni vizuri kufuata utaratibu kwa kuomba kibali kama wanazani kuna unalizima wa kuandamana!
 
Kwanini msifungue kesi kupinga matokeo mahakamani na huo ndio ukawa ushahidi?
Wewe ni mpuuzi na hufai hata kuwa humu JF, nenda Facebook huko. Katiba inasema nn kuhusu kesi za uchaguzi. Unatujazia server tu.

"Wanaoshabikia ccm ni mbumbumbu"..Twaweza
 
Wewe ni mpuuzi na hufai hata kuwa humu JF, nenda Facebook huko. Katiba inasema nn kuhusu kesi za uchaguzi. Unatujazia server tu.

"Wanaoshabikia ccm ni mbumbumbu"..Twaweza
Ahaaaaa, hasira za nini? Halima alitakiwa atunze ushahidi, nyie kwa uongo wenu mkauchoma. Uongo wa kipuuzi kabisa. Kwani rais akiiba kura na ikiwa ni kweli uchaguzi hauwezi kurudiwa?

Nyie ni waongo sana,mnatengeneza uongo ili mpate huruma.
 
Of course iwapo watapewa kibali itasaidia hawa jamaa kupata kupumua maana kilichotokea kwao kiukweli ni mtihani mkubwa sana!

Wasema njia watakazopita na muda ijulikane ili watu wajue kama wanabadilisha njia n..k

Wawaambie wafuasi wao kuwa ni marufuku kufanya fujo wala udokozi wala wizi wowote.

Ilimradi kuwepo amani na utulivu!
 
Nakumbuka uchaguzi wa Kenya ulopita ulikuwa na sintofahamu fulani.

Wapinzani wakaandamana, rais aliyekomadarakani wakati huo Uhuru akayabariki akawaasa polisi wasijewakamgusa mtu yeyote, wao watoe ulinzi tu.

Wakaongea machungu yao, wakatoa nyongo na kuazimia misimamo yao n.k hatimae upepo ukatulia.

Maandamano yale yalifanyika kwa amani na ultulivu na actually yaliwapa kupumua wapinzani na kuondoa attentions kwa watawala na jamii kwa ujumla.

Vivyo hivyo hawa wa bongo nao wanaweza wakalitafakali hili na kuliangalia kwa mapana na marefu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…