Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Mpaka leo Kenya wanaendelea kufanya juhudi za kurudisha umoja na mshikamano wa Taifa miongoni mwa wananchi wa itikandi tofauti.
Rejea BBI
Rejea BBI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh! Mgumu kuelewa wewe. Ili uweze kueleewa inabidi urudishwe kwenye tumbo la mamako halafu uzaliwe na mama mwingine.Kwani rais akiiba kura na ikiwa ni kweli uchaguzi hauwezi kurudiwa?
Ahaaaa,hiki kipigo kimewachanganya sana. Ibara ya 41(4) ya katiba ya JMT inasema wazi uchaguzi unatakiwa ufanyike kwa mujibu wa katiba na sheria. Kama mmeibiwa ni kinyume ya katiba na sheria. Kama ushahidi wenu ni wa ukweli nendeni mahakamani acheni uongo na uzushi.Mmh! Mgumu kuelewa wewe. Ili uweze kueleewa inabidi urudishwe kwenye tumbo la mamako halafu uzaliwe na mama mwingine.
........Kazaliwe upya nishasema.... Huna unachojua wewe.nendeni mahakamani
Acheni kudanganya watanzania........Kazaliwe upya nishasema.... Huna unachojua wewe.
Tatizo maandamo yamekaa kihaini yani mnapingana na maamuzi ya wengi huo ni uhuni na ushenzi kuna watanzania siasa sio ajira yao Sasa huwezi kuwazuia kufanya kazi zao kisa wewe imepoteza ubunge au urais wakoBado tuna safari ndefu sana, tunayaone kwa wenzetu tu sisi katiba imekaa kama kiini macho hakuna kinachofwatwa humo hata kidogo.
nikuburutana tu, kwani wakituruhusu tuandamane na wao wakawatuma Polisi kulisimamia hilo shida iko wapi? wao siwameshinda kihalali?
Basi watuache tuandamane wao waapishane kwisha.
Askari hupaswa kuwalinda waandamaji wasijidhuru / Kudhuriana na siyo wao kuwadhuru waandamanaji.
Cc: mahondaw
[/QUOTE]
Nenda dukani kwa mangi hapo kamata dompo wine 1 nakulipia kwa empesa fastaAskari hupaswa kuwalinda waandamaji wasijidhuru / Kudhuriana na siyo wao kuwadhuru waandamanaji.
Cc: mahondaw
Nisamehe mkuu sijakuelewa kabisa kwa uelewa wangu maandamo yamesharuhusiwa mpaka kwenye katiba ambayo na ww unaiamini na kuitetea, sasa iweje sisi tukitaka kuandamana iwe uhaini? Waliwezaje kusambaza wanausalama kwenye wakati wakupiga kura washindwe kuwatawanya tena kwenye sehemu tutakazo andamana? Mbona mioyo yenu mmeifanya kuwa ni migumu kiasi hicho? Inasikitisha sana na kuumiza ikiwa ya kwamba asie kipenda ccm anaonekana mhani/kibaraka. Mungu tusaidie tuvuke hili.Tatizo maandamo yamekaa kihaini yani mnapingana na maamuzi ya wengi huo ni uhuni na ushenzi kuna watanzania siasa sio ajira yao Sasa huwezi kuwazuia kufanya kazi zao kisa wewe imepoteza ubunge au urais wako