Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Time is telling......CCM ni mfumo sio mtu mmoja, msijisumbue kuelekeza nguvu zenu kwa mtu mmoja mkadhani ndo mnaikomesha CCM
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo na wewe ni miongoni mwa wapumbavu waliojaa pale ufipa walokuwa wanafikiri Magu alikuwa anatawala nchi kwa utashi wake?
 
Mimi natamani waingie barabarani[emoji1787]
Nitakaa na popcorn zangu kushuhudia yanayotokea.

Yalishangilia sana msiba ,,Mimi niliwashusha vyeo vyote tangu zile siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Space kwenyewe main speakers ni wale wale tunaojua misimamo yao sijui kwanini hawatoi mwaliko kwa wenye mawazo tofauti.

Hawapendi challenge ndio maana hao ndio mabingwa wa kutembeza blocks [emoji724] . Imagine Kigwangalla ameomba ashiriki lakini hawamkaribishi! Zamani Maccm hata kujiunga JF yalikuwa yanaogopa lakini siku hizi wanawakimbia. Wawaalike akina January Makamba, Nape n.k maana mada zipo wazi na ni mjadala tu.
 
Mimi nimebaki ninaungalia huu mchezo wa kisiasa mpaka mwisho!
Mkuu nakuunga mkono, nami bado nauchungulia mchezo kwa mbali. Ni ukweli kuwa timu moja inatumia $ na ingine CITIZENS, na mchezo ndio unaanza. Mtanange una matokeo ya aina tatu; timu moja KUSHINDA, au SARE au MPIRA KUVUJIKA. Bado nauangalia.
 
Aisee! Kumbe kweli “Sukuma Gang” aka “MATAGA” ni real persons? Nilifikiri ni acronyms za mizaha ya kisiasa tu. Thanks Msemajiukweli for the insight.

Anyways, JPM alipambanua kikubwa maadui wa nje (kina Mbowe + mabeberu) na wa ndani (Msoga Gang?, I presume) na kudhamiria kusambaratisha wote ili kujisafishia njia yake kuelekea kwenye ufalme (uzima?) wa milele! Akatuachia “MATAGA/Sukuma Gang” as a byproduct.

Wakuu sahauni kitu nafuu kwa yeyote. Ajidhaniye amesimama aangalie asianguke, 1 Wakorintho 10:12. Siasa za Tz ndio zimeshatiwa sumu kuvu hivyo. Hakutakuwa na raha tena si kwa MATAGA wala makamanda. It’s a no joy situation. Hizi ni enzi za tribal/family matters, thanks to JPM. Mlioamua kuendelea kumuomboleza, endeleeni kumlilia. Lakini muwe na uhakika Mama SSH atakuwa anashusha mkong’oto kwa zamu: leo kwa makamanda, kesho kwa MATAGA hadi akili ziwakae sawa.

Ndio matunda ya kukataa katiba makini, strong institutions na utawala wa sheria in favor of entrenched personality cults and shtl politics!
 
Sijui wataanzaje tena kwenda upande wa JPM wakati walishangilia humu meno yote nje..halafu wanajidai kumtaja MUNGU,sijui Mungu gani anakubali huo uhuni wao.
 
Mimi sijawahi hata kuwafwatilia waropokaji wale.
 
...kwamba nendeni Chato kwa Mungu wenu...Mungu wenu ameshakufa...mama ameponya majeraha...furaha imerejea...futa legasi...Sabaya tupa ndani...sasa Leo ni kilio kwao. Katekenywa kidogo tu mwenyekiti wa Maisha wa saccos... kelele kama nchi inafutika
Huwa wanaongea utadhani wao hawatakufa,wakati Kila mtu atakufa,,jamaa wana akili za ajabu sana wale.
 
Kumi tena kwa mama.

Tulia mama akomeshe mataga.
 
Sikuwahi kujuta kuitwa Sukuma gang bali jina hilo lilinikumbusha umuhimu wa ujasiri ninaposimamia kile ninachokifahamu. Yanayoendelea yanastaajabisha lakini hakuna namna, kulia kupokezana. Wacha wanyolewe kwa chupa bila maji.
Roho ya Hayati Dr JPM ipate Rehema kwa Mungu na apumzike kwa Amani. Amina.
 
 
Hawa ndio waliolikoroga hata sasa limekorogeka,imebakia kulinywa tu,atalinywa nani no jambo la kusubiri na kuona kama sii kushuhudia.
 
mama anaonyesha kisasi chake juu yamagufuli kwa kupeleka tako lake lichomwe sindano ya covid hii mother ni kituko kwa kweli[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
 
CHADEMA Walifikiri Rais ni "dhaifu" atafanya chochote wanachotaka wakimshinikiza... ila sukuma gengi bado mpo mama hajawasahau anawalia timing tu[emoji1787]
haaa wapi [emoji23]mama anajua kuna kuvuliwa madaraka nakuvuliwa pichu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…