Magufuli ametuachia kitu kimoja kikubwa sana nacho ni kujiamini na kuthubutu, Magu alikuwa ni Nyerere wa pili, niliwashangaa wapambe walipoanza kufaya kila hila kumsiliba mwenda zake huku wakifurahi kwa kujikomba bila haya ,hata wale wa upande wa pili wakawa wanaupiga mwingi sana, sasa baada ya mwenyekiti wao kuambiwa ni gaidi wamerudi kwa kasi na kuanza kuchukia mpendwa wao kwa kila aina ya maneno, kwa sisi tunaowajua tulijua ni kwa muda tu huo urafiki wao hautafika mbali, kwani tabia zao hazibadiliki, kwanza ni hao hao walikuwa wanamkejeli mzee wa msoga kwa maneno ya mara dhaifu oh mara Vasco Da Gama, akaja Jiwe naye hawakuchelewa nae lakini Jiwe aliwshawajua hakutaka mzaha nao, sasa amekuja mwenye maneno matamu wakapiga mbinja na kujifariji hasa baada ya kuona mmasai pamoja na wale wengine wakiondolewa kwenye nyadhifa, jamaa ah wakaona sasa ndio wao, mwishowe sasa wanasaga meno, hawa jamaa kila uongozi ni mbaya kwao sijui wanataka malaika ndio awatawale, shida wanaongozwa na hao sijui akina Maria Sarungi na Fatuma, wamesahau kuwa hawa wadada wana msongo...