Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Tuliokuwa tunaitwa MATAGA na Sukuma gang tuliambiwa kwa sasa ''mama'' analeta furaha kwa Watanzania!
Jamaa vigeugeu sana hao, tangu waanze kumsafisha Lowasa 2015, wamekwishapoteana hao, mama kazia hapohapo
 
Daah siasa za bongo ni hatari...

Kuna watu walijipa utaalamu wa siasa humu, huku hawajui lelote kuhusu siasa

Naamini kuna kitu wamejifunza,sisi yetu macho

NB: natamani hili jina la sukuma gang waendelee kulitaja hadi 2025, waje tuwaoneshe nguvu yake.
Jina la ''Sukuma gang'' linayeyuka haraka kama barafu kwenye moto mkali!
 
Hii ni awamu ya sita.

Tuiache itimize majukumu yake kwa amani kama wanavyoongozwa na Ilani ya CCM.

Mbona Friends of Lowassa walikubali yaishe Laigwan alipokatwa?

Team mwendazake tuwe waungwana!
 
Hii ni awamu ya sita.

Tuiache itimize majukumu yake kwa amani kama wanavyoongozwa na Ilani ya CCM.

Mbona Friends of Lowassa walikubali yaishe Laigwan alipokatwa?

Team mwendazake tuwe waungwana!
Poleni CCM

IMG-20211204-WA0204.jpg
 
Hii ni awamu ya sita.

Tuiache itimize majukumu yake kwa amani kama wanavyoongozwa na Ilani ya CCM.

Mbona Friends of Lowassa walikubali yaishe Laigwan alipokatwa?

Team mwendazake tuwe waungwana!
[/QUOTE.
Washauri wenzio wakubali yeishwee, mchezo wa kuangushiana jumba bovu watichelewesha.
 
Hilo neno Sukuma gang ni la kibaguzi na halifai .. Moderator sijui kwa nini wanaruhusu hili
 
Waueni Sukuma gang Ili muibe KWA amani KWA Sasa,Mimi naamini kama hao wanaoitwa Sukuma gang wangekua wezi na KWA sifa za team Msoga Basi huenda mpaka Sasa wangekua jela,ila Sasa kila mkitafuta hata KWA tochi hamuoni huo wizi.


Lakini pia mbona tumeelewa ni mwendazake ndo alileta Tozo,vifurushi KUPANDA,bidhaa KUPANDA kila kona,nchi gizani,Dawasco na mgao plus kuwaachia mafisadi TOKA jela waje waendeleze ufisadi.

In short tu chunguzeni hata Maisha ya kawaida makabila yenye tuhuma za wizi,uchapakazi,uvivu na ujinga ulotamalaki.


Kamwe siwezi tegemea maendeleo TOKA KWA makabila ya pwani/ZNZ wala siwezi Acha kuongea wachaga gang kwa asilimia kubwa ni watu wamesoma lakini wanamkono wa udokozi
 
Back
Top Bottom