Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Mkuu Shocker, neno SUKUMA GANG is very divisive and dangerous kwasababu unawaweka wasukuma wote kwenye kundi moja, na hili ni jambo hatari sana. Nimekutana na wasukuma ambao walikuwa hawakubaliani kabisa na sera za Magufuli na hata CCM: Pia nimekutana na watu ambao ni Wahaya, Wachagga, Wanyakyusa na makabila mengine ambao wanaamini kabisa Raisi Magufuli alikuwa ni masihi.

Hivyo do not treat an entire group of people as a monolith for the sake of political expediency.
kama kuna Stupid ni wewe....

Wasukuma ni 25% ya Watanzania.... kama unatafuta civil war, utaipata.
Wewe nawe una matatizo makubwa sana, nani amezungumzia Civil War sasa ???
Haipati hiyo civil war maana tumeishamsitukia na Tunamjua!
Mkuu TUJITEGEMEE, you are a fanatic worshiper of state power. It's not healthy because it subjects your reason and intellectual faculties under fetters of everlasting nonage. Wake up!
 
Wakuu wa vyombo vya usalama wote ni kuondoa maana ni lile genge la Mwendazake.

Mama alifanya mistake kubwa sana kuwabakiza

Huu uhuru tulionao humu JF inapelekea baadhi yenu kuandika pumba na mashudu tupu

Msihangaike na kupambana na legacy ya Magufuli, huyu mtu katokea kukubalika sana kwa Watanzania walio wengi,,, aliyoyafanya kwa miaka yake michache yameonesha kiwango cha juu cha upendo, uzalendo kwa kupigania maslahi ya Taifa hili ili kila mmoja anufaike

Mfano mdogo tu kaondolewa Kalemani na kuwekwa January Watanzania walio wengi wameonekana kutokufurahishwa na hili ukizingatia miezi michache tu mbele tumeanza kupata shida ya umeme

Mwisho kabisa, Mamá Samia na Makamu wake Dr Mpango ni zao la Magufuli
 
kama kuna Stupid ni wewe....

Wasukuma ni 25% ya Watanzania.... kama unatafuta civil war, utaipata.
Sifurahii fikra za kufanya chochote kwa kuegemea ukabila.

Lakini nawe umekuwa miongoni mwa wajinga kiasi cha kushindwa kujua hata takwimu. Hiyo 25% kuwa ni wasukuma, unaota au umedanganywa na wajinga wenzako, na wewe kwa ujinga ukainuka nayo hivyo hivyo bila ya kuhakikisha.

WIKIPEDIA
The Sukuma are a Bantu ethnic group from the southeastern African Great Lakes region. They are the largest ethnic group in Tanzania, with an estimated 10 million members or 16 percent of the country's total population. Sukuma means "north" and refers to "people of the north." The Sukuma refer to themselves as Wasukuma (plural) and Msukuma (singular).
 
Hii ya kusema Magufuli alikubalika na Watanzania wengi, ni kauli ya kipuuzi isuyokuwa na uthibitisho wowote. Yawezekana alikubalika na watu wengi hapo kwenye jamii yako, siyo kwa Watanzania wengi. Yapo maeneo mengi na wapo watu wengi ambao wanamwona Magufuli ilikuwa ni laana kwa Taifa.
 
Wafunguliwe mashtaka kwa makosa gani? Kikwete alikuwa na "Wanamtandao" enzi za Njomba Che Nkapa. Walikamatwagwa? Acheni siasa za Ushamba.
 
Kumekuwa na vita Kali sana inayoendelea mpaka sasa Kati ya wafuasi wa Hayati Dr. Magufuli na wafuasi wa Rais wa sasa Mh. Mama Samia Suluhu huku wafuasi wa Mama Samia na wale wote ambao hawakuipenda Serikali ya JPM ukiwemo Upinzani, wanawaita wafuasi wa hayati JPM jina la "Sukuma Gang".

Tanzania ni nchi ya kipekee barani Afrika ambayo imejengwa kwa misingi mizuri ya kutokubaguana kimakabila. Lakini mpaka sasa imejengwa taswira kuonesha kwamba wasukuma ndio watu ambao hawakubaliani na mwenendo mzima wa serikali ya awamu ya 6 kitu ambacho si cha kweli kwasababu wafuasi wa JPM sio Wasukuma pekee wapo maeneo mengi ya Tanzania.

Jina la 'Sukuma Gang' likome! Ni bora kuita wafuasi wa serikali ya awamu ya tano kuliko kutaja kabila. Huu Upuuzi unatoka wapi kwa watu waliofanikiwa kuondoa ubaguzi wa kikabila?
 
Wewe ni sukuma gang.
 
Uko pekee yako
 
Kwa kuogopa kulia tena, sisi tulioitwa sukuma gang hatucheki wala kukejeli bali tunaangalia mchezo unavyochezwa!
Mtazidi kuumia sana nyinyi sukuma gang na siye tupo zetu mlingotini na mkojhani twala pweeza
 
Angetuundia tume yakuchunguza kifo cha magufuli kidogo sisi sukuma geng tungemuuelewa,hiii kupita hivi kimya kimya na anashuhudia magufuli akinangwa na wapumbavu wachache na hasemi chochote tunaumia sana.tunamuona naye ni walewale chawa
 
Yaani furaha yao na kejeli zao zimeyeyuka haraka kama barafu kwenye joto kali!

Baada ya miezi minne hatusikii tena maneno kama MATAGA na Sukuma gang kwenye majukwaa ya siasa!

Siasa za Tanzania zinaenda kwa kasi sana!
Mtaishia kumpigia makofi na vigeregere chakubanga lkn hakuna uteuzi
 
Kumwita "Mama" mtu ambae ufisadi ukipigwa kwenye serikali yake anaishia tu kudemka ni utahira🚶🚶🚶
 
Mama analiponya taifa by cdm voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…