Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''sukuma gang''; Je, kwa sasa ni zamu ya waliokuwa wanafurahia na kufanya sherehe!

Haya makundi yachunguzwe na mmoja mmoja kukamatwa na kuwekwa mahabusu huku uchunguzi ukiendelea ,Mwalimu Nyerere alisema tusimuonee haya mtu,hawa ni wazembe wanayoiua nchi kwa kutaka kujenga himaya yao,kwanza kujiita au kuwepo kitu Sukuma gang huu ni zaidi ya ugaidi ni uhaini ni kuigawa nchi kwa misingi ya ukabila ,kesho na kesho kutwa kutakuwepo na Makuwa gang .
wakamatwe na kufunguliwa mashitaka.
Mkuu Shocker, neno SUKUMA GANG is very divisive and dangerous kwasababu unawaweka wasukuma wote kwenye kundi moja, na hili ni jambo hatari sana. Nimekutana na wasukuma ambao walikuwa hawakubaliani kabisa na sera za Magufuli na hata CCM: Pia nimekutana na watu ambao ni Wahaya, Wachagga, Wanyakyusa na makabila mengine ambao wanaamini kabisa Raisi Magufuli alikuwa ni masihi.

Hivyo do not treat an entire group of people as a monolith for the sake of political expediency.
kama kuna Stupid ni wewe....

Wasukuma ni 25% ya Watanzania.... kama unatafuta civil war, utaipata.
Wewe nawe una matatizo makubwa sana, nani amezungumzia Civil War sasa ???
Haipati hiyo civil war maana tumeishamsitukia na Tunamjua!
Mkuu TUJITEGEMEE, you are a fanatic worshiper of state power. It's not healthy because it subjects your reason and intellectual faculties under fetters of everlasting nonage. Wake up!
 
Wakuu wa vyombo vya usalama wote ni kuondoa maana ni lile genge la Mwendazake.

Mama alifanya mistake kubwa sana kuwabakiza

Huu uhuru tulionao humu JF inapelekea baadhi yenu kuandika pumba na mashudu tupu

Msihangaike na kupambana na legacy ya Magufuli, huyu mtu katokea kukubalika sana kwa Watanzania walio wengi,,, aliyoyafanya kwa miaka yake michache yameonesha kiwango cha juu cha upendo, uzalendo kwa kupigania maslahi ya Taifa hili ili kila mmoja anufaike

Mfano mdogo tu kaondolewa Kalemani na kuwekwa January Watanzania walio wengi wameonekana kutokufurahishwa na hili ukizingatia miezi michache tu mbele tumeanza kupata shida ya umeme

Mwisho kabisa, Mamá Samia na Makamu wake Dr Mpango ni zao la Magufuli
 
kama kuna Stupid ni wewe....

Wasukuma ni 25% ya Watanzania.... kama unatafuta civil war, utaipata.
Sifurahii fikra za kufanya chochote kwa kuegemea ukabila.

Lakini nawe umekuwa miongoni mwa wajinga kiasi cha kushindwa kujua hata takwimu. Hiyo 25% kuwa ni wasukuma, unaota au umedanganywa na wajinga wenzako, na wewe kwa ujinga ukainuka nayo hivyo hivyo bila ya kuhakikisha.

WIKIPEDIA
The Sukuma are a Bantu ethnic group from the southeastern African Great Lakes region. They are the largest ethnic group in Tanzania, with an estimated 10 million members or 16 percent of the country's total population. Sukuma means "north" and refers to "people of the north." The Sukuma refer to themselves as Wasukuma (plural) and Msukuma (singular).
 
Hii ya kusema Magufuli alikubalika na Watanzania wengi, ni kauli ya kipuuzi isuyokuwa na uthibitisho wowote. Yawezekana alikubalika na watu wengi hapo kwenye jamii yako, siyo kwa Watanzania wengi. Yapo maeneo mengi na wapo watu wengi ambao wanamwona Magufuli ilikuwa ni laana kwa Taifa.
 
Je wanataka kumpindua Raisi na serikali yake kwa njia za Panya ? Sasa imekuwa si aibu wala siri hili genge linatajwa kila kona na linahusisha viongozi waandamizi ndani ya Chama Cha CCM.

Zinaweza kuwepo njia nyingi za kuipindua Serikali,zile za kizamani huwa hazina nguvu tena,ila hizi za kisasa ambazo tunaziona ni kuidhoofisha Serikali na kuifanya iwe hoi bin taabani ,kwa kuonekana kila inapoziba ufa kunatobolewa kwengine,tunasema kuisaboteji serikali,aidha kwa kutumia walio ndani ya serikali na hata walio inje ya serikali.

Ukienda Bungeni hali si shwari,ukiangalia polisi mambo varange ukiingia serikalini kila mmoja na kauli yake,kuna netiwaki hazipo sawa na zinavuruga kiaina kwa kutumia vichocheo vya hali ya uchumi na kuviza maendeleo.

Tunasikia kuna makundi ndani ya CCM na kila mmoja lina King Chawa wake ambae akiutwaa uRaisi mambo yatakuwa poa,Hivyo mapinduzi ya kileo hufanyika katika kumpata Mgombea Uraisi,mapinduzi daima ni kuwekwa kando Samia,kwa shinikizo kazi imemshinda,si mpiganaji na sababu lukuki na makubaliano kufikiwa kuwa asimamishwe mgombea mwingine,haya yaliyopo sasa ni mapigano ya kumzorotesha Samia ili achoke na atupilie mbali kutaka kugombea,ajiengue kabla ya kuenguliwa katika kikao ,ya kwamba wakiingia kwenye kikao basi tayari kazi imekuwa rahisi.

Haya makundi yachunguzwe na mmoja mmoja kukamatwa na kuwekwa mahabusu huku uchunguzi ukiendelea ,Mwalimu Nyerere alisema tusimuonee haya mtu,hawa ni wazembe wanayoiua nchi kwa kutaka kujenga himaya yao,kwanza kujiita au kuwepo kitu Sukuma gang huu ni zaidi ya ugaidi ni uhaini ni kuigawa nchi kwa misingi ya ukabila ,kesho na kesho kutwa kutakuwepo na Makuwa gang .
wakamatwe na kufunguliwa mashitaka.
Wafunguliwe mashtaka kwa makosa gani? Kikwete alikuwa na "Wanamtandao" enzi za Njomba Che Nkapa. Walikamatwagwa? Acheni siasa za Ushamba.
 
Kumekuwa na vita Kali sana inayoendelea mpaka sasa Kati ya wafuasi wa Hayati Dr. Magufuli na wafuasi wa Rais wa sasa Mh. Mama Samia Suluhu huku wafuasi wa Mama Samia na wale wote ambao hawakuipenda Serikali ya JPM ukiwemo Upinzani, wanawaita wafuasi wa hayati JPM jina la "Sukuma Gang".

Tanzania ni nchi ya kipekee barani Afrika ambayo imejengwa kwa misingi mizuri ya kutokubaguana kimakabila. Lakini mpaka sasa imejengwa taswira kuonesha kwamba wasukuma ndio watu ambao hawakubaliani na mwenendo mzima wa serikali ya awamu ya 6 kitu ambacho si cha kweli kwasababu wafuasi wa JPM sio Wasukuma pekee wapo maeneo mengi ya Tanzania.

Jina la 'Sukuma Gang' likome! Ni bora kuita wafuasi wa serikali ya awamu ya tano kuliko kutaja kabila. Huu Upuuzi unatoka wapi kwa watu waliofanikiwa kuondoa ubaguzi wa kikabila?
 
Kwa wale wakongwe wa Jamiiforums wananifahamu kuwa mimi ni mmoja wa watu tulikuwa nyuma ya aliyekuwa Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tano, Rais Magufuli tokea kwenye mchakato wa kumpata mgombea Urais ndani ya CCM mpaka alipoitwa na Mwenyezi Mungu. Rais Magufuli amenifundisha mengi sana mazuri na mabaya lakini kikubwa zaidi alichonifundisha ni Ujasiri na kujiamini katika kufanya maamuzi na ameacha mijadala ambayo haitaisha sio nchini pekee bali hata nchi za nje.

Kifo cha Rais Magufuli kama vifo vya wapendwa kwanza kilianza kwa kutia mshangao, baadaye kuhudhunisha na mwishoni kuukubali ukweli na kuangalia ya mbele. Mbele niliyoiangalia ni utawala ujao baada ya Rais Magufuli huku nikijua vizuri siasa za nchi yetu zilivyo.

Baada ya Rais Samia kuingia madarakani na kuanza kupanga ''safu yake'' ya uongozi huku akitoa maagizo ya hapa na pale. Wale tulikuwa tunaitwa MATAGA wakati wa utawala wa Rais Magufuli tukaongezewa jina jingine na kuanza pia kuitwa ''sukuma gang''.

Kwa wasiozijua siasa za nchi hii walituona kama ''laughing stock'' huku wakimhimiza Rais Samia kuhakikisha ''anatufagia'' katika serikali yake na tukilalamika tunaambiwa tuende Chato kwa “mungu” wetu ambaye ameshakufa.

Tulikuwa tunaambiwa “mama” anaponya majeraha...furaha imerejea nchini...”mama” anafuta legasi za mwendazake..

Nilijua ni muda tu hizi pongezi kwa Rais Samia zikiambatana na kicheko, kejeli na matusi kwa wanawaita MATAGA na sukuma gang zitapotea kwa sababu hawajui kitakachowakuta mbele ya safari yao ya kisiasa!

Miezi minne baada ya kifo cha Rais Magufuli wale waliokuwa wanatucheka na kutukejeli kwa sasa wanalia na hata yale majina ''waliotubatiza'' kwa sasa wameyasahau na yamepotea kwa haraka sana!

Waliokuwa wanatucheka na kutukejeli mpaka wakaanza kuchora katuni za kejeli lakini hawakujua kama ''atakapotumaliza sisi'' basi watafuata wao! Wahenga walisema, kulia kupokezana!

Sisi kwa sasa hatucheki wala kukejeli bali tunashangaa na kuuangalia huu mchezo wa kisiasa mpaka dakika za mwisho!

Kwa sasa najiuliza, kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''MATAGA'' na ''sukuma gang''?

Siasa za nchi hii zinakwenda kwa haraka sana!

Tusijekushangaa sana watakapoanza kumkumbuka Marehemu Magufuli huko mbele ya safari ya kisiasa!

View attachment 1870346
Wewe ni sukuma gang.
 
Mkuu, kwa hilo hauko peke yako, tuko wengi na hatutorudi nyuma. Hata tukikosa mengine yote, basi tutamuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli kwa kusimamia ujasiri aliotufundisha na kujiamini kuwa tunaweza.
Rest in peace uncle Magu, till we meet again [emoji1548]
Uko pekee yako
 
Kwa kuogopa kulia tena, sisi tulioitwa sukuma gang hatucheki wala kukejeli bali tunaangalia mchezo unavyochezwa!
Mtazidi kuumia sana nyinyi sukuma gang na siye tupo zetu mlingotini na mkojhani twala pweeza
 
Angetuundia tume yakuchunguza kifo cha magufuli kidogo sisi sukuma geng tungemuuelewa,hiii kupita hivi kimya kimya na anashuhudia magufuli akinangwa na wapumbavu wachache na hasemi chochote tunaumia sana.tunamuona naye ni walewale chawa
 
Yaani furaha yao na kejeli zao zimeyeyuka haraka kama barafu kwenye joto kali!

Baada ya miezi minne hatusikii tena maneno kama MATAGA na Sukuma gang kwenye majukwaa ya siasa!

Siasa za Tanzania zinaenda kwa kasi sana!
Mtaishia kumpigia makofi na vigeregere chakubanga lkn hakuna uteuzi
 
Kumwita "Mama" mtu ambae ufisadi ukipigwa kwenye serikali yake anaishia tu kudemka ni utahira🚶🚶🚶
202112.jpg
 
Kwa wale wakongwe wa Jamiiforums wananifahamu kuwa mimi ni mmoja wa watu tulikuwa nyuma ya aliyekuwa Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tano, Rais Magufuli tokea kwenye mchakato wa kumpata mgombea Urais ndani ya CCM mpaka alipoitwa na Mwenyezi Mungu. Rais Magufuli amenifundisha mengi sana mazuri na mabaya lakini kikubwa zaidi alichonifundisha ni Ujasiri na kujiamini katika kufanya maamuzi na ameacha mijadala ambayo haitaisha sio nchini pekee bali hata nchi za nje.

Kifo cha Rais Magufuli kama vifo vya wapendwa kwanza kilianza kwa kutia mshangao, baadaye kuhudhunisha na mwishoni kuukubali ukweli na kuangalia ya mbele. Mbele niliyoiangalia ni utawala ujao baada ya Rais Magufuli huku nikijua vizuri siasa za nchi yetu zilivyo.

Baada ya Rais Samia kuingia madarakani na kuanza kupanga ''safu yake'' ya uongozi huku akitoa maagizo ya hapa na pale. Wale tulikuwa tunaitwa MATAGA wakati wa utawala wa Rais Magufuli tukaongezewa jina jingine na kuanza pia kuitwa ''sukuma gang''.

Kwa wasiozijua siasa za nchi hii walituona kama ''laughing stock'' huku wakimhimiza Rais Samia kuhakikisha ''anatufagia'' katika serikali yake na tukilalamika tunaambiwa tuende Chato kwa “mungu” wetu ambaye ameshakufa.

Tulikuwa tunaambiwa “mama” anaponya majeraha...furaha imerejea nchini...”mama” anafuta legasi za mwendazake..

Nilijua ni muda tu hizi pongezi kwa Rais Samia zikiambatana na kicheko, kejeli na matusi kwa wanawaita MATAGA na sukuma gang zitapotea kwa sababu hawajui kitakachowakuta mbele ya safari yao ya kisiasa!

Miezi minne baada ya kifo cha Rais Magufuli wale waliokuwa wanatucheka na kutukejeli kwa sasa wanalia na hata yale majina ''waliotubatiza'' kwa sasa wameyasahau na yamepotea kwa haraka sana!

Waliokuwa wanatucheka na kutukejeli mpaka wakaanza kuchora katuni za kejeli lakini hawakujua kama ''atakapotumaliza sisi'' basi watafuata wao! Wahenga walisema, kulia kupokezana!

Sisi kwa sasa hatucheki wala kukejeli bali tunashangaa na kuuangalia huu mchezo wa kisiasa mpaka dakika za mwisho!

Kwa sasa najiuliza, kwani ''Mama'' amemalizana na sisi tuliokuwa tunaitwa ''MATAGA'' na ''sukuma gang''?

Siasa za nchi hii zinakwenda kwa haraka sana!

Tusijekushangaa sana watakapoanza kumkumbuka Marehemu Magufuli huko mbele ya safari ya kisiasa!

View attachment 1870346
Mama analiponya taifa by cdm voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom