Kwani mkiachana lazima muwe maadui?

Hongera sana , Wengi hatuwezi
 
Ooh sasa si mrudiane tu mkuuπŸ˜”
 
New experience to me.
Hongera mkuu.
Sasa si myamalize tu?
 
Ruhusu moyo upone.
Shida alifunuliwa...nawe umefunua sana.
Kubali muyamalize...umesema maisha mafupi na yamejaa ubatili
 
Kuna siku utamkula tu
 
Hainogi kuachana kwa amani, vita vya Ukraine na Urusi lazima iwepo kuchangamshana.

Nasisitiza kupiga penye mshonoπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Sasa watoto hawaulizi kwann mama Yao analala chumba cha wageni ?
 
Sio lazima
 
Tuachane kwa amani ili iweje, tukiachana ni timbwili tu ngendembwe yani....nakudai hadi boxa nlizokununulia, nikiondoka kwako nachukua hadi bulb ulale gizani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa kumbe anapashaga makabichi
 

U mwanaume wa tofauti wewe...

Uendelee na tabia hiyohiyo uiendeleze kwa watoto wako wa kiume, msimamo lakini wenye kuleta tija...πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…