Mwenzako hata kumgonga bado achia tu kumtongoza yupo kwenye stage awali we unakuja kuzungumza masuala ya bedMtoa mada bibie atakuwa ameshaona huna maajabu kwa bed anakuona umeshakuwa kero kwake maana navyowajua hawa viumbe wakielewa shoo simu huwa hazikauki kwa TRA
Mtoa mada bwege sanaMwenzako hata kumgonga bado achia tu kumtongoza yupo kwenye stage awali we unakuja kuzungumza masuala ya bed
Hata wewe?Muulize bank account number af uifanyie maajabu uone😃.
Shida yako unaleta mambo ya kizamani bro nani anataka kupotezeana mda
Ubwege wake uko vipi hapo?Mtoa mada bwege sana
😅ndio nani anataka mahojiano kupigiana simu masaaa et kujuana historia thats boaring😉Hata wewe?
Sasa mtakuaje kwenye mahusiano bila kujuana vizuri😅ndio nani anataka mahojiano kupigiana simu masaaa et kujuana historia thats boaring😉
Alikwambia nani ndugu yangu watu wanajuana vizuri kwa mazungumzo kwenye simu??Sasa mtakuaje kwenye mahusiano bila kujuana vizuri
Me nazungumzia kwenye kuchart au kwenye kuongeza liveAlikwambia nani ndugu yangu watu wanajuana vizuri kwa mazungumzo kwenye simu??
Huwezi kumjua mtu kutumia njia hizo pekee.Me nazungumzia kwenye kuchart au kwenye kuongeza live
Uwe unabadilisha reply mkuu..ongeza hta nyama kidogo...hawa vijana wanahitaji ushauri wenu zaid maana wameamua kukaza mafuvu...hawataki kuelewaPole sana, mambo yake muachie mwenyewe...
We unataka siku ya kwanza ufanyiwe vipi ili isiwe boring kwako?Huwezi kumjua mtu kutumia njia hizo pekee.
Na huyo mtu anaona unamzingua tu
Wacha nikuhabarishe tu, kuna umri ukifika mwanamke anakua kiakili ufahamu na hana tena muda kupoteza.
Mwanaume muongeaji sana kwenye simu na kuchat kuhojiana anakua hana mvuto tena
Unampenda kweli? Muonyeshe mapenzi kwa vitendo katika hivyo vitendo utapata nafasi kumjua vizuri
Ashakwambia bank account unauliza nini tena mkuu. Tuma hela usiwe boring ufaidi, ndio mtajuana etiWe unataka siku ya kwanza ufanyiwe vipi ili isiwe boring kwako?
We unataka siku ya kwanza ufanyiwe vipi ili isiwe boring kwako?
Ashakwambia bank account unauliza nini tena mkuu. Tuma hela usiwe boring ufaidi, ndio mtajuana eti
Kama ikiwa siku kadhaa unatakiwa umfanyie nini mwanamkeKwenye uzi umesema siku kadhaa au ni siku ya kwanza?
Kama ni siku ya kwanza muulize jina tu inatosha
Ukianza story nyingi ndio kukera kwenyewe huko
Una miaka mingapi kwanza? Na huyo kadadaa ni umri gani?Kama ikiwa siku kadhaa unatakiwa umfanyie nini mwanamke
20's na huyo yupo mwanamke kwenye 30'sUna miaka mingapi kwanza? Na huyo kadadaa ni umri gani?