Kwani ninyi mnawafanyaga nini wanawake wa aina hii?

Kwani ninyi mnawafanyaga nini wanawake wa aina hii?

Habari wandugu,

Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.

Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada ya kumuelewa kiaina. Nikaanza kuanzisha ukaribu nae kwa kuwasiliana nae mara kwa mara na hapo ndo nikakumbana na maswahibu.

Kwanza kabisa mwanamke hakutafuti mpaka wewe ufanye hivyo, pia wakati mnaongea inakuwa kama vile unamfanyia interview yani yeye anakuwa wakuitikia tu na hata ikitokea anaongea basi ni kwa ufupi sana, hii ni kwenye simu pia hata mkiwa live mwendo ni uleule.

Naombeni ushauri wakuu ninyi huwa mnafanya vipi kwa wanawake wa aina hii kwasababu Kuna muda huwa inafikia hatua wote tunakaa kimya tunabaki kuangaliana tu kama mabroiler.
Huyo ni wakuchapa tu hana hisia na ww
 
kuna mawili bro
either hajakupenda/hana hisia na wewe au anakuogopa/hajakuzoea/sio muongeaji

kati ya haya moja ni jibu na njia ya kufika kwenye jibu ni kumpa muda.
Over am out.
Huyo hajavutiwa na jamaa.
 
Penyeza rupia kwanza kulainisha mdomo, atakuchangamkia mpaka umkimbie
 
Habari wandugu,

Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.

Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada ya kumuelewa kiaina. Nikaanza kuanzisha ukaribu nae kwa kuwasiliana nae mara kwa mara na hapo ndo nikakumbana na maswahibu.

Kwanza kabisa mwanamke hakutafuti mpaka wewe ufanye hivyo, pia wakati mnaongea inakuwa kama vile unamfanyia interview yani yeye anakuwa wakuitikia tu na hata ikitokea anaongea basi ni kwa ufupi sana, hii ni kwenye simu pia hata mkiwa live mwendo ni uleule.

Naombeni ushauri wakuu ninyi huwa mnafanya vipi kwa wanawake wa aina hii kwasababu Kuna muda huwa inafikia hatua wote tunakaa kimya tunabaki kuangaliana tu kama mabroiler.
Hujamvutia au anakuona sio type yake yaani upoupo tu ndio maana anakudharau
Mie nikionaga hivyo napiga kimya simtafuti tena
 
Uwe unabadilisha reply mkuu..ongeza hta nyama kidogo...hawa vijana wanahitaji ushauri wenu zaid maana wameamua kukaza mafuvu...hawataki kuelewa
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Muongozo;

Sio kwamba hakupendi wala kuvutiwa nawewe wala pesa, ni kwamba ndiyo hulka yake na wapo wengi wa hivyo.. very boring! Mimi nilidhani labda bado anautoto nikamwacha kwa muda lakini nlivyomrudia kuona maendeleo nikakuta vilevile..!

Ni wewe tu kuamua kuwa naye maishani au la maana hawezi kubadilika.
 
Kuwa karibu nae Mara kwa Mara mzoeane n vile tu hajakuzoea n hakufaham vzr ndo mana anakosa cha kuongea

Pia muwe mnashirikiana mambo muhm mtakua karibu zaidi
 
Habari wandugu,

Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.

Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada ya kumuelewa kiaina. Nikaanza kuanzisha ukaribu nae kwa kuwasiliana nae mara kwa mara na hapo ndo nikakumbana na maswahibu.

Kwanza kabisa mwanamke hakutafuti mpaka wewe ufanye hivyo, pia wakati mnaongea inakuwa kama vile unamfanyia interview yani yeye anakuwa wakuitikia tu na hata ikitokea anaongea basi ni kwa ufupi sana, hii ni kwenye simu pia hata mkiwa live mwendo ni uleule.

Naombeni ushauri wakuu ninyi huwa mnafanya vipi kwa wanawake wa aina hii kwasababu Kuna muda huwa inafikia hatua wote tunakaa kimya tunabaki kuangaliana tu kama mabroiler.

Vip umeshapata utelezi au bado tuanzie hapo kwanza
 
Ni ajabu kuona mpaka leo watanzania wanashindwa kuelewa binadamu tuko tofauti na hatufanani.
Humu kuna watu wanaanzisha nyuzi za Introverts na Extroverts lakini wengi bado hawajifunzi na wanaona kama utani au sifa fulani.
Huyo bila shaka atakuwa ni Introvert na ndio alivyo hivyo, kama hujawahi kukutana na watu wenye sifa hiyo basi hiyo itakuwa mara ya kwanza mkuu.

Wanawake wa aina hiyo mara nyingi wanakuwa smart kichwani sio mchezo hauwezi kulinganisha na hawa micharuko wanaopenda kuongea nonsense 24 hours a day kama wamemeza cassette.
Wana akili na wanajitambua sana na wanajua kukusoma yaani bila kuongea anajua kama una tatizo au kuna kitu unataka na hakuna siri kati yenu, kwa kutoa ushauri wenye akili ndio acha kabisa pia ni watafutaji wazuri na wanatulia sababu wanajua thamani yao na wanajua wanachokitaka.
For me that's what I call a perfect Woman, ni zaidi ya yule aliyemuimba Ed Sheeran. na bila shaka hamuendani mkuu.

Hiyo ni fursa inayojitokeza mara moja ndani ya maisha yako yote sababu hao wanawake wapo mmoja kati ya 1000 na ukibahatika kumpata mmoja then it's a gift from the God.
Eminem angekwambia this opportunity comes once in a lifetime.
Na inahitaji mtu mwenye akili na anayejua anachokitaka kuwatambua " kuzitambua those diamonds and golds in the rough",
Damn it! I wish hiyo opportunity ningeipata mimi, mkuu hao ndio wanawake wa kutengeneza nao maisha lakini bad news inaonesha hamuendani.

Binadamu unatakiwa kusoma wengine ili kuwa adaptable sababu sio kila mtu yupo kama wewe, na wengi mnashindwa hili.
Na wew bado hujawajua wanawake vizuri.hakuna mwanamke anaekuchangamkia mara tu uombapo namba.hata awe malaya
 
Akianza kutumia hii local tigopesa, mpesa airtel money mtumie hela.
Huyu alishakataa pesa ndiomaana nimeshindwa kumsoma vizuri niliomba meet naye akaja hiyo sehemu akakataa nimlipie bill akaniambia nilipe bill yangu mwenyewe ya kwake atalipa mwenyewe nikampa ya nauli 30k baada yakumaliza akasema anayo haina haja yakunipa kuna wakati alikuwa anaumwa basi nikamwambia nitumie ya matibabu akasema hela ya matibabu anayo na inatosha Wewe niombee tu kwa Mungu nipone haraka.Bidada kwa style hii inakuaje
 
Habari wandugu,

Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.

Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada ya kumuelewa kiaina. Nikaanza kuanzisha ukaribu nae kwa kuwasiliana nae mara kwa mara na hapo ndo nikakumbana na maswahibu.

Kwanza kabisa mwanamke hakutafuti mpaka wewe ufanye hivyo, pia wakati mnaongea inakuwa kama vile unamfanyia interview yani yeye anakuwa wakuitikia tu na hata ikitokea anaongea basi ni kwa ufupi sana, hii ni kwenye simu pia hata mkiwa live mwendo ni uleule.

Naombeni ushauri wakuu ninyi huwa mnafanya vipi kwa wanawake wa aina hii kwasababu Kuna muda huwa inafikia hatua wote tunakaa kimya tunabaki kuangaliana tu kama mabroiler.
bila shaka atakuwa msabato huyo
 
Huyu alishakataa pesa ndiomaana nimeshindwa kumsoma vizuri niliomba meet naye akaja hiyo sehemu akakataa nimlipie bill akaniambia nilipe bill yangu mwenyewe ya kwake atalipa mwenyewe nikampa ya nauli 30k baada yakumaliza akasema anayo haina haja yakunipa kuna wakati alikuwa anaumwa basi nikamwambia nitumie ya matibabu akasema hela ya matibabu anayo na inatosha Wewe niombee tu kwa Mungu nipone haraka.Bidada kwa style hii inakuaje
Achana nae anakuchukulia kama mdogo wake hahitaji mapenzi
 
Back
Top Bottom