knows
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,453
- 2,234
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daahAnakupanda? Kivipi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daahAnakupanda? Kivipi mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ausioMtoa mada bwege sana
Achana nae huyu mwanamke sio type yako ni venye tu haitaji kukutell true anasubili ujiongeze ukatafute type zakoHuyu alishakataa pesa ndiomaana nimeshindwa kumsoma vizuri niliomba meet naye akaja hiyo sehemu akakataa nimlipie bill akaniambia nilipe bill yangu mwenyewe ya kwake atalipa mwenyewe nikampa ya nauli 30k baada yakumaliza akasema anayo haina haja yakunipa kuna wakati alikuwa anaumwa basi nikamwambia nitumie ya matibabu akasema hela ya matibabu anayo na inatosha Wewe niombee tu kwa Mungu nipone haraka.Bidada kwa style hii inakuaje
Fata huu ushauriAchana nae huyu mwanamke sio type yako ni venye tu haitaji kukutell true anasubili ujiongeze ukatafute type zako
Kwanini unasema hivyo?Achana nae anakuchukulia kama mdogo wake hahitaji mapenzi
[emoji23][emoji23]Nimecheka balaaHabari wandugu,
Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.
Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada ya kumuelewa kiaina. Nikaanza kuanzisha ukaribu nae kwa kuwasiliana nae mara kwa mara na hapo ndo nikakumbana na maswahibu.
Kwanza kabisa mwanamke hakutafuti mpaka wewe ufanye hivyo, pia wakati mnaongea inakuwa kama vile unamfanyia interview yani yeye anakuwa wakuitikia tu na hata ikitokea anaongea basi ni kwa ufupi sana, hii ni kwenye simu pia hata mkiwa live mwendo ni uleule.
Naombeni ushauri wakuu ninyi huwa mnafanya vipi kwa wanawake wa aina hii kwasababu Kuna muda huwa inafikia hatua wote tunakaa kimya tunabaki kuangaliana tu kama mabroiler.
Muulize bank account number af uifanyie maajabu uone[emoji2].
Shida yako unaleta mambo ya kizamani bro nani anataka kupotezeana mda
Me nipo kwenye 20's huyo mwanamke yupo kwenye 30's haya naomba unipe muongozo
Suala la kuwaza hakupendi linaweza kuwa sio sahihi Ila sababu pia nafsi ya mtu anaijua mwenyewHabari wandugu,
Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.
Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada ya kumuelewa kiaina. Nikaanza kuanzisha ukaribu nae kwa kuwasiliana nae mara kwa mara na hapo ndo nikakumbana na maswahibu.
Kwanza kabisa mwanamke hakutafuti mpaka wewe ufanye hivyo, pia wakati mnaongea inakuwa kama vile unamfanyia interview yani yeye anakuwa wakuitikia tu na hata ikitokea anaongea basi ni kwa ufupi sana, hii ni kwenye simu pia hata mkiwa live mwendo ni uleule.
Naombeni ushauri wakuu ninyi huwa mnafanya vipi kwa wanawake wa aina hii kwasababu Kuna muda huwa inafikia hatua wote tunakaa kimya tunabaki kuangaliana tu kama mabroiler.
Hivi unajua maana ya Marioo tuanzie hapo kwanza?Duh! Kwahiyo unataka kuwa Mario?! Ana haki kuwa mkimya kakuona hujitambui.
Anakupanda? Kivipi mkuu?
Mpe mwenzako mbinu ya kumchangamsha bebe wake. Mzee wa muongozoPole sana, mambo yake muachie mwenyewe...
Dah mwanangu nipe mbinu maana kuna demu nimemsomesha bado haelewi kuna kipindi nilikuwa namcheki sana text na calls lakini yeye hafanyi hivyo nimekausha nae kakausha yaaani sina uzoefu na wanawake wa design hii ila namtaka sometimes nataka kumpiga chini ila naona nikomae tu hivo hivo ila sasa hivi simtafuti😂na mimi wangu alikuwa hivohivo baada ya kupata jibu la YES saa hii ni kama vile mimi ndo hakimu na yeye ni mtuhumiwa
Mambo yake muachie mweyewe...Mpe mwenzako mbinu ya kumchangamsha bebe wake. Mzee wa muongozo
Em mwambieMuulize bank account number af uifanyie maajabu uone[emoji2].
Shida yako unaleta mambo ya kizamani bro nani anataka kupotezeana mda