Kwani ninyi mnawafanyaga nini wanawake wa aina hii?

Kwani ninyi mnawafanyaga nini wanawake wa aina hii?

Mmmmmh maybe hajakuzoea maana hata mimi kama mtu sijamzoea HUWA siongei kabisa namsoma kwanza maana kuna wengine hawapendi wanawake waongeaji
 
Habari wandugu,

Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.

Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada ya kumuelewa kiaina. Nikaanza kuanzisha ukaribu nae kwa kuwasiliana nae mara kwa mara na hapo ndo nikakumbana na maswahibu.

Kwanza kabisa mwanamke hakutafuti mpaka wewe ufanye hivyo, pia wakati mnaongea inakuwa kama vile unamfanyia interview yani yeye anakuwa wakuitikia tu na hata ikitokea anaongea basi ni kwa ufupi sana, hii ni kwenye simu pia hata mkiwa live mwendo ni uleule.

Naombeni ushauri wakuu ninyi huwa mnafanya vipi kwa wanawake wa aina hii kwasababu Kuna muda huwa inafikia hatua wote tunakaa kimya tunabaki kuangaliana tu kama mabroiler.
Bonyeza mute button.
 
Anatupotezea muda tu dogo
Kuleteana dharau za namna hii sio nzuri kiafya hapa tupo kwaajili yakujengana we umenipinga njia yangu na ndio maana nikataka unipe njia zako lengo ndio lilikuwa hivyo
 
Kuleteana dharau za namna hii sio nzuri kiafya hapa tupo kwaajili yakujengana we umenipinga njia yangu na ndio maana nikataka unipe njia zako lengo ndio lilikuwa hivyo

Anatumia mtandao gani wa simu?
 
Habari wandugu,

Nimekutana na wanawake kadhaaa lakini sijawah kutana na mwanamke kama huyu ukweli ananipa changamoto sana.

Nimwanamke ambae nimekutana nae somewhere tukabadilishana namba baada ya kumuelewa kiaina. Nikaanza kuanzisha ukaribu nae kwa kuwasiliana nae mara kwa mara na hapo ndo nikakumbana na maswahibu.

Kwanza kabisa mwanamke hakutafuti mpaka wewe ufanye hivyo, pia wakati mnaongea inakuwa kama vile unamfanyia interview yani yeye anakuwa wakuitikia tu na hata ikitokea anaongea basi ni kwa ufupi sana, hii ni kwenye simu pia hata mkiwa live mwendo ni uleule.

Naombeni ushauri wakuu ninyi huwa mnafanya vipi kwa wanawake wa aina hii kwasababu Kuna muda huwa inafikia hatua wote tunakaa kimya tunabaki kuangaliana tu kama mabroiler.
Bado unataka a sign from heaven kua hakupend na ukifos atakula hela zako tuu
 
Ni ajabu kuona mpaka leo watanzania wanashindwa kuelewa binadamu tuko tofauti na hatufanani.
Humu kuna watu wanaanzisha nyuzi za Introverts na Extroverts lakini wengi bado hawajifunzi na wanaona kama utani au sifa fulani.
Huyo bila shaka atakuwa ni Introvert na ndio alivyo hivyo, kama hujawahi kukutana na watu wenye sifa hiyo basi hiyo itakuwa mara ya kwanza mkuu.

Wanawake wa aina hiyo mara nyingi wanakuwa smart kichwani sio mchezo hauwezi kulinganisha na hawa micharuko wanaopenda kuongea nonsense 24 hours a day kama wamemeza cassette.
Wana akili na wanajitambua sana na wanajua kukusoma yaani bila kuongea anajua kama una tatizo au kuna kitu unataka na hakuna siri kati yenu, kwa kutoa ushauri wenye akili ndio acha kabisa pia ni watafutaji wazuri na wanatulia sababu wanajua thamani yao na wanajua wanachokitaka.
For me that's what I call a perfect Woman, ni zaidi ya yule aliyemuimba Ed Sheeran. na bila shaka hamuendani mkuu.

Hiyo ni fursa inayojitokeza mara moja ndani ya maisha yako yote sababu hao wanawake wapo mmoja kati ya 1000 na ukibahatika kumpata mmoja then it's a gift from the God.
Eminem angekwambia this opportunity comes once in a lifetime.
Na inahitaji mtu mwenye akili na anayejua anachokitaka kuwatambua " kuzitambua those diamonds and golds in the rough",
Damn it! I wish hiyo opportunity ningeipata mimi, mkuu hao ndio wanawake wa kutengeneza nao maisha lakini bad news inaonesha hamuendani.

Binadamu unatakiwa kusoma wengine ili kuwa adaptable sababu sio kila mtu yupo kama wewe, na wengi mnashindwa hili.
 
Muulize bank account number af uifanyie maajabu uone😃.
Shida yako unaleta mambo ya kizamani bro nani anataka kupotezeana mda
Nikiwaambia watafute hela wale maisha WANABISHA.
Asante madam kwa kuwapa ukweli...

#YNWA
 
Huwezi kumjua mtu kutumia njia hizo pekee.
Na huyo mtu anaona unamzingua tu
Wacha nikuhabarishe tu, kuna umri ukifika mwanamke anakua kiakili ufahamu na hana tena muda kupoteza.
Mwanaume muongeaji sana kwenye simu na kuchat kuhojiana anakua hana mvuto tena
Unampenda kweli? Muonyeshe mapenzi kwa vitendo katika hivyo vitendo utapata nafasi kumjua vizuri
Na moja wapo ya vitendo ni kuingiza hela kwenye bank account?

#YNWA
 
Back
Top Bottom