The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
And a very dangerous one indeedUislam ni itikadi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And a very dangerous one indeedUislam ni itikadi kabisa.
Bakora ukikutwa unakula kitimoto mtoto wa Nguruwe 🐷 mchana huko visiwani wataanza kuchoma makanisaKunani tena?
Wewe ni mpumbavu akili zangu haziwezi fanana na zako shukuru hata nimekujibu.Kila sehemu ina sheria zake usiwe mjinga na mpumbavu ,unafikiria demokrasia ni kila mahali tafuta exposure unaonekana mjinga sana😅😅
Hii sio haki! Hata huku bara wapo waislamu, kwanini iwe kwao? Huu ujinga wa wao kujiona Superior kuliko watu wa bara lazima ukomeshwe haraka!Inasikitisha sana
Umeuliza swali au umetoa jibu?Nilikua nawaza hivi wakati wakristo wanaoishi zanzibar wanafunga huwa hakuna waislamu wanaokula hadharani!? Huwa wanakamatwa na kuwekwa Jela pia?
Sijawahi kuona Mzanzibari akifanyiwa hivi wakija baraInasikitisha sana kupigwa ovyo hivyo na kibaya zaid hana mtetezi hapo alipo.
Heshima ina kawaida ya kutolewa na kupokewa.Wewe umefunga kwa imani yako,vema. Unataka uheshimiwe,sawa.Na asiyekuwa wa imani yako na ambaye hafungi unapaswa kumuheshimu vilevile.Usawa uwepo.Kwani amekulisha au anakula chakula chake tu?Heshimuni imani za watu na kuweni wastaarabu.
Ushaona asilimia kubwa ya watu wa Zanzibar ni waislam na wanafunga kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Inakuaje wewe kwa kukosa ule mchana wazi wazi kila mtu akuone. Si ujifungie ndani ule ukimaliza toka nje. Simple tu.
Kwa hio unataka kusema wa kulaumiwa ni CCM sio Waislamu? Kwani Mimi nikatulia na vipande vyangu kadhaa vya kitimoto na juice yangu ya parachichi nakandamiza taratibu wewe unapata tabu gani mkuu?
Acha kujidanganya kuna Wakristo wafia dini wanaweza kuleta machafuko kwenye hii Nchi. Wafia dini wako pande zote mbili.Wakristo ni watu wenye hekima, busara, wastahimilivu na civilized sana nahisi pengine ni kwasababu ya mafundisho kwenye biblia.
Nilishawaambia uislamu ni kazi sana hamsikii 😀😀😀
Kwani unaushahidi aliokamatwa ni Mkristo?? Waacheni wajiamulie mamboyao sisi huku tunatia moto wezi wa kuku bila kujali dini zao..safisana Zanziber sheria ya Allah lazima ifuatwe.Huyo atakuwa ana shida kichwani naona wanataka kutupeleka Nigeria vita vya wakristo na waislam au zama za JK fujo ja mabucha ya ng'ombe na tindikali
😅😅😅Fuata sheria aiseeBakora ukikutwa unakula kitimoto mtoto wa Nguruwe 🐷 mchana huko visiwani wataanza kuchoma makanisa
Heshima ina kawaida ya kutolewa na kupokewa.Wewe umefunga kwa imani yako,vema. Unataka uheshimiwe,sawa.Na asiyekuwa wa imani yako na ambaye hafungi unapaswa kumuheshimu vilevile.Usawa uwepo.Kwani amekulisha au anakula chakula chake tu?
Wafia Dini unamaanisha Jihad Ile ya Waislamu au unamaanisha nini kuritad Adhabu yake kukatwa kichwa Si ndio?Acha kujidanganya kuna Wakristo wafia dini wanaweza kuleta machafuko kwenye hii Nchi. Wafia dini wako pande zote mbili.