kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Nimeona video jamaa anapigwa kwa kula mchana,wanamuambia huku sio BaraKwamba Rais mpaka sasa haoni kile kinacho endelea Zanzibar ? Au kwa sababu ni watu wa imani yake na ndugu zake Wazanzibari ?
Mnataka mturudishe kwenye fujo za mabucha ya ng'ombe wakati wa Jakaya ?
Uislam ni kazi sana 😀😇