Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Nchi ni yao wana haki kupanga sheria zao tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Mwanaume mmoja Zanzibar amekutana na kibano na kipigo baada ya kula mchana kipindi cha Ramadhan.

Mpaka sasa hakuna tamko lolote dhidi ya watu hao wanaojichukulia sheria mkononi ingawa jeshi la polisi la Zanzibar nalo limeweka wazi nia yao ya kukamata watu wanaoshindwq kufunga kipindi cha Ramadhan na kujikuta wakila mchana hadharani


View: https://www.instagram.com/reel/C5FxWbGtVoI/?igsh=cWFzejJzcDZsazhs
 
Kuna wakati mtu unawaza ujinga ndio uislamu au uislamu ndio ujinga?

Mmehamisha ratiba ya kula mchana kwenda usiku, mnakula samoja, sanne mnakula tena na sakumi mnakula, Alafu bado ukimuona mtu anakula eti anakushawishi.

Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu cha mwisho.
Wacha porojo znz ni makosa kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Wakristo wanakula mchana kutwa.

Waislamu wanakula Usiku kucha.
Halafu wanadai wamefunga kumbe wamebadirisha ratiba yabkula.


Waislamu wanataka wakristo wasile mchana.

DINI YA HOVYO KABISA.
 
Mwanaume mmoja Zanzibar amekutana na kibano na kipigo baada ya kula mchana kipindi cha Ramadhan.

Mpaka sasa hakuna tamko lolote dhidi ya watu hao wanaojichukulia sheria mkononi ingawa jeshi la polisi la Zanzibar nalo limeweka wazi nia yao ya kukamata watu wanaoshindwq kufunga kipindi cha Ramadhan na kujikuta wakila mchana hadharani


View: https://www.instagram.com/reel/C5FxWbGtVoI/?igsh=cWFzejJzcDZsazhs
 
Mtu anapigwa kisa kala chakula daah hizi mambo sijui wanakua wamefikiri kwa kutumia nini harafu iwe mwezi wa Ramadan na wanaopiga ukute eti nao wamefunga wanataka kwenda Peponi utani huo...
 
Wajiondoe kwanza kwenye muungano ili waendelee na mambo yao. Ni aibu kurudi kwenye enzi ya utumwa.
 
Kwamba Rais mpaka sasa haoni kile kinacho endelea Zanzibar ?

Mnataka mturudishe kwenye fujo za mabucha ya ng'ombe wakati wa Jakaya ?
 
Baadhi ya watu uwezo wa kufikiria yaani utambuzi Wao uko chini Sana
Uislam na ujinga
20240202_105621.jpg
 
Back
Top Bottom