Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
Mwl Nyerere katuingiza chaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwl Nyerere katuingiza chaka.
Watanganyika rudini kwenuVideo hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
InshaallahUongo.
Mkristo wa leo ni Muislam wa kesho.
Mkuu wazanzibar hawautaki muungano, wanaoutaka tena kwa maslahi binafsi ni viongozi wa ccm, maana wanajua vyombo vya Dola vitatumika kuwaweka madarakani. Yaani kwa wazanzibar ni Bora Wakenya, Waganda nk kuliko watanganyika. Na hili jambo liko wazi kabisa.Hawa wazanzibar wanatukanyaga kichwani ,hili clip inatakiwa tuwarudishie majibu ! Kama wameuchoka muungano nao waondoke kwetu ! Hii clip ingekuwa huyo anaepigwa ni mzanzibar mambo yangekuwa si mambo lazima wangelipiza kwa kuwapiga watu wetu huko
Hizi dini za kipuuzi zimetuharibu sana waafrika.Uongo.
Mkristo wa leo ni Muislam wa kesho.
HUU NI UGAIDIVideo hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Hizi dini za kipuuzi zimetuharibu sana waafrika.
Kimsingi dini za shuruti hayo ndio matendo Yao.Nenda ukale njiani Zanzibar ndio utaelewa nani mpuuzi.
Unataka uwapangie yako watu na kwao?Kimsingi dini za shuruti hayo ndio matendo Yao.
Zanzibar kukemea ushoga na kinyume cha maumbile hawawezi, ila kuzuia watu kula wako faster balaa.
Huu ni upuuzi sana.
Tatizo ninaloliona hapa ni mtu kufuata utaratibu wa eneo husika...,ili kuepuka hayo fuata utaratibu. When you are in Rome do what Romans doVideo hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.
Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.
Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?
Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.
View attachment 2947747
Soma pia:
1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika
2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!
3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
eh wacha uongo wee!Ndivyo wanavyo fundishwa hivyo kwenye vitabu vyao na hapo wamefanya nusu kuran inasema wauwe kabisa ni vile hawajapata saport nzuri ila kuuwa kwao ndo swawabu kuu..
Kuamini dini ni dalili ya kutokufikiri Wala kuhoji. Hakuna uwezekano ukahoji na kufikiri ukaendelea kuamini hizi dini za kuletwa na majahahazi.Unataka uwapangie yako watu na kwao?
Kwani mmelazimishwa kushinda njaa?...maana nyie mazoba mnashinda njaa tu....Nenda ukale njiani Zanzibar ndio utaelewa nani mpuuzi.
Sasa unabisha nini mafundisho yenu yanasema unatakiwa umfanye nini mtu ambae sio mwanachama wa chama chenu ??tukiite chama mana hii sio dini kiukweli...eh wacha uongo wee!