Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Dawa ya moto ni moto au dawa ya mtu mshenzi ninkuwa mshenzi mara mbili yake!! Dawa ni Moja " huku Bara na nyie kamata Moja piga
 
Kwa akili za wazanzibari watavunja mlango tu wakutoe mzimamzima
Na kuna kesi moja maskini mama wa watu anapikia zake ndani anawapa bodaboda wanawapelekea wateja si wakamkamata. Huu kama si ukicha ni nini? Kwanza hajafanya hadharani lakini pengine mtu hana biashara nyingine tofauti na hiyo ya kumuingizia kipato na kuna wateja wasiofunga kwa sababu zao wanazozijua, ni vipi mtu kama huyu unaenda kumkamata?
 
Ujinga wa mtu mweusi kupigania dini ya mwarabu.
Na ndio maana siku zote waarabu hutudharau na kutuchulia kama vijakazi/watumwa

Kuna dharau kubwa kama ile ya mzungu kutoka zake huko Vatican na kuja kukulazimisha ufunge Kwa lazima ndoa uolewe upigwe mashine?

Yaani mwanaume kabs unalazimishwa uinamishwe,kuna dharau zaidi ya hapo?
 
Mkristo hampendi muislam na muislam hampendi mkristo huo ndo uhalisia.
Mkristo wa wapi ambaye happening muislam na muislam wa wapi asiyempenda Mkristo?

Mi nimeona katika familia ya Kiislam na mke wangu anaitwa Aziza na sasa amebadikisha Jina anaitwa Eliza huku akiwa a.etoka familia ya kishehe.

Tumezaliwa na kukulia katika maisha ya Ukristo, Baba yangu akiwa mzee wa Kanisa la Lutheran ila Dada yangu kabisa ameolewa na muislam na amebadilisha Dino sasa ni muislam. Watoto wake ambao ni wajomba zangu ni Waislam. Watoto wangu ni Wakristo huku Wajomba, Mama zao wakubwa na wadogo, mababu na mabibi ni Waislam. Sasa hapo chuki ipo wapi? Tunapendana, tunaheshimiana na kuvumiliana huku tukichukuliana ila nyie vijana wa hovyo humu JF kwa kutumia fake ID ndio mnatoa comments za kuchukiana ila kiuhalisia humu mitaani tu Binadamu na tu watanzania.
 
Mkristo wa wapi ambaye happening muislam na muislam wa wapi asiyempenda Mkristo?

Mi nimeona katika familia ya Kiislam na mke wangu anaitwa Aziza na sasa amebadikisha Jina anaitwa Eliza huku akiwa a.etoka familia ya kishehe.

Tumezaliwa na kukulia katika maisha ya Ukristo, Baba yangu akiwa mzee wa Kanisa la Lutheran ila Dada yangu kabisa ameolewa na muislam na amebadilisha Dino sasa ni muislam. Watoto wake ambao ni wajomba zangu ni Waislam. Watoto wangu ni Wakristo huku Wajomba, Mama zao wakubwa na wadogo, mababu na mabibi ni Waislam. Sasa hapo chuki ipo wapi? Tunapendana, tunaheshimiana na kuvumiliana huku tukichukuliana ila nyie vijana wa hovyo humu JF kwa kutumia fake ID ndio mnatoa comments za kuchukiana ila kiuhalisia humu mitaani tu Binadamu na tu watanzania.
Umeoa katika familia ambayo haina iman muislam kuondoka katika uislam na kwenda katika ukafiri ni kigezo tosha cha kuvunja undugu na ndugu zake.
 
Ndivyo wanavyo fundishwa hivyo kwenye vitabu vyao na hapo wamefanya nusu kuran inasema wauwe kabisa ni vile hawajapata saport nzuri ila kuuwa kwao ndo swawabu kuu..
 
Umeoa katika familia ambayo haina iman muislam kuondoka katika uislam na kwenda katika ukafiri ni kigezo tosha cha kuvunja undugu na ndugu zake.
Hakuna kitu kama hiko. Tunaoa popote tu, tungekuwa tunaruhusiwa kuoa wake wengi hata wewe ningekuoa tu😀😃😄😁😆😅🤣

Nakutania mkuu, ninachomaanisha panoja na yote hakuna chuki huku mitaani zaidi ya hizi comments zenu tu za kutumia fake ID.
 
Hii sio funga hii ni kushinda njaa jamaa wanasikia hasira kushinda njaa wenyewe wanalazimisha watu wote washide njaa mpaka watoto mpaka wagojwa mpaka wajawazito hii ni aibu na ujinga wa kiwango cha lami...
 
Hakuna kitu kama hiko. Tunaoa popote tu, tungekuwa tunaruhusiwa kuoa wake wengi hata wewe ningekuoa tu😀😃😄😁😆😅🤣

Nakutania mkuu, ninachomaanisha panoja na yote hakuna chuki huku mitaani zaidi ya hizi comments zenu tu za kutumia fake ID.
Kwahiyo kisa papa Francis karuhusu ndoa za kishoga unatamani kuoana na wanaume wenzako?
 
Back
Top Bottom