Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

Kuna wakati mtu unawaza ujinga ndio uislamu au uislamu ndio ujinga?

Mmehamisha ratiba ya kula mchana kwenda usiku, mnakula samoja, sanne mnakula tena na sakumi mnakula, Alafu bado ukimuona mtu anakula eti anakushawishi.

Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu cha mwisho.
 
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Zanzibar ni kupe wa Tanganyika.
 
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Hii inatakiwa kujibiwa kwa nguvu ileile, ujinga sana huu
 
Yani mtu anakula usiku bado mchana tena anatamani akiona mtu anakula! hakuna dini hapo.
Yani Kwamba mpaka watoto wafunge mama wajawazito wafunge na wasiotaka kufunga wafunge..kwani huyo mungu mnamwabudu yeye ndo anataka hivyo
 
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Na hii ndio shida ya Rais Mwinyi ataiharibu zanzibar kabisa! Ni lazima Zanzibar wachague kitu kimoja kuwa nchi ya kiislam kabisa na hawahitaji watu wengine au lah?
Wacha porojo znz nimakosa kula hadharani mchana wa Ramadhani
 
Hawa wapumbavu inatakiwa washughulkkiwe kisawa sawa,sio kuwakemea tu.

Ni waseng3 sana,aisee me wangenipiga huku mmoja wao ameipata pata
 
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani.

Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara? Ni watu baki au ni watu wasio na haki ya kukaa Zanzibar? Maana hapo ni ubaguzi wa wazi, kupanda mbegu ya chuki ambayo ni hatari kwa Taifa.

Kwani mtu ukifunga, ukaendelea na mfungo wako inakuathiri nini kwa asiyefunga kula?

Siyo sawa Kitendo cha kuwachapa au kuwafanyiwa vitendo mbalimbali vibaya watu wasiofunga mwezi wa Ramadhani.

View attachment 2947747

Soma pia:

1) Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya wahanga na kuzaa Gharika

2) Zanzibar: Akutana na kipigo baada ya kuonekana akila mchana!

3) PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Hivi Zanzibar ni dola ya kiisilamu ama? inatumia katiba ipi na ibara ipi ya katiba Yao insema kula wakati ramadhani ni jinai tuanzie hapo
 
Ni jamii ambayo bado ni primitive sana, yaani ipo nyuma mnooo!!!
Watu wamekumbatia udini na chuki mioyoni mwana, kiufupi bado wapo utumwani!
Liberation is needed in Zanzibar!!
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Tatizo hapo si dini hata kidogo.Tatizo hapo ni ubaguzi wa Wazanzibar dhidi ya watanganyika.

Mzanzibar hajaiwahi hata siku moja kujiona ni Mtanzania Mzanzibar anakuwa Mtanzania pale fursa za Tanganyika zinapomfaidisha tu.Akipata ajira,ardhi,biadhara na nk huku Tanganyika anajiona Mtanzania,kinyume cha hapo Tanganyika ni chukizo kwake.

Mtanganyika hajui kutetea maslahi yake ikiwemo ajira, ardhi na kila kitu chake kaviacha vichukuliwe na kuchezewa na Mzanzibar jinsi apendavyo. Ndio maana Hayati Jomo Kenyatta aliwahi kutuita sisi ni maiti.
 
Tatizo hapo si dini hata kidogo.Tatizo hapo ni ubaguzi wa Wazanzibar dhidi ya watanganyika.

Mzanzibar hajaiwahi hata siku moja kujiona ni Mtanzania Mzanzibar anakuwa Mtanzania pale fursa za Tanganyika zinapomfaidisha tu.Akipata ajira,ardhi,biadhara na nk huku Tanganyika anajiona Mtanzania,kinyume cha hapo Tanganyika ni chukizo kwake.

Mtanganyika hajui kutetea maslahi yake ikiwemo ajira,ardhi na kila kitu chake kaviache vuchukuliwe na kuchezewa na Mzanzibar jinsi apendavyo.Ndio maana Hayati Jomo Kenyatta aliwahi kutuita sisi ni maiti.
Nakumbuka alimwambia Nyerere kuwa anatawala maiti
 
Maisha ya raia wote wa taifa hili yanaongozwa na katiba ya JMT.
Hizo zako ni porojo tu znz wana katiba yao na pia sheria zao ndio maana kwa znz ni makosa kula hadharani mchana wa Ramadhani
 
Back
Top Bottom