Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

 
Yaani wengi mumewatukana wazanzibari kwa kosa la wachache. Wengi wazanzibari hawana habari kama unakula au huli. Kwani hiyo serikali yenu ya CCM iko wapi?. Mbona hawchukui sheria kulingana na katiba ya nchi?. Labda ni hao hao ndugu zenu wanafanya hivi. Labda kwa kuwakumbusha musio juwa historia, Tanganyika ilikuwa ni sehemu ya zanzibari hadi miaka ya wazungu kuleta fitina zao.
 
Huo ni uvunjifu mkubwa wa amani na haki za raia katika hii Jamuhuri, hao wanaompiga huyo kijana ni watu mafedhuli sana wanaoonekana kuwa na akili finyu sana.
Eti yamefunga !!!takataka mkubwa Huyo,, Hiyo Ni fujo Au funga..
 
Wabara wapo wengi zanzibar tena wengine maimamu msikitini. Huyo mkiristo anataka kuleta ubishi kama ccm na uchadema. Ndio dawa yake hio bakora.
Umesikia jina analoitwa? Huo ni ukatili mkubwa sana.
 

Nenda kale sasa Zanzibar uone ukafir ulioko ni mkubwa kuliko wangu mimi. Waislamu wanaonekana Dunian ni makafir dini ya kikatili na kinyama sana
 
Hahahaha..wanamuonea wivu mwana anapiga zake ugali saaafi....
Hawa mabichwa bapa huwa ni mazezeta Big time..
Dini zingine takataka,, unampiga MTU Kwa Kosa lipi kwani kufunga Ni Lazima??? Aliyeleta Dini alaniwe
 
Wanaongoza wao TANZANIA UTASEMAJE NA RAIS YUPO ETI NAE MUISLAMU HOVYO SNA
 
wazanzibari wabaguzi Sana, Hakuna kiongozi yeyote aliyekemea suala hilo mpaka Sasa. Kama Mimi Siyo mwislamu unanilazimisha kufunga? Ndivyo Quran inavyofundisha ,bibi yetu wa JF njoo utufafanulie hili
 
Hawa watu ni wabaguzi sana. Mioyo yao imejaa na kusheheni chuki za wazi dhidi ya watu wa bara.

Na jinsi walivyojazana huku bara siku muungano ukivunjika sijui watajificha wapi
Mnawadhulumu ndio maana
 
Hakuna mzanzibar mwenye akili hii hujidhihirisha hata kwenye matokeo ya mitihani reasoning Yao ni ya hovyo mno
Kingine ni uvivu na unafiki uliopitiliza
Ndio wamejazana huku bara wengine mawaziri na wakuu mahali mahali upuuzi mtupu.
 
Ningeua mmoja hapo nao waniue mbuzi hao.
Mmeamua kushinda njaa mi inanihusu nini?
 
Zanzibar ni jamii ya mashoga na vichaa, masalia ya watumwa ni jamii za mashoga
Unaua nguvu ya hoja unapoleta matusi jitahidi kujenga hoja sio kutukana maana na wewe unakuwa umewazidi wao kwa ujinga
 
Hawa watu ni wabaguzi sana. Mioyo yao imejaa na kusheheni chuki za wazi dhidi ya watu wa bara.

Na jinsi walivyojazana huku bara siku muungano ukivunjika sijui watajificha wapi
Waafrika kibao wapo ulaya na amerika, vipi afrika imeungana na mabara hayo? Kuwa sehemu sio lazima muungano
 
Na hii ndio shida ya Rais Mwinyi ataiharibu zanzibar kabisa! Ni lazima Zanzibar wachague kitu kimoja kuwa nchi ya kiislam kabisa na hawahitaji watu wengine au lah?
Hiyo video ni kabla mwinyi hajaingia madarakani
 
Huku mboni wanakula km ni tamaduni acha uzuzu kengewee wapemba tunakula nao ugali Samaki muda huu hapa nilipo hakuna aliewashikia bakora
Kwasababu tamaduni yako hairuhusu kumfanyia hivyo...Halafu kumbe we ni Mgumu kuelewa as if watumia ubongo wa mbuzi...KIPOCHI MANYOYA Wewe
 
Hujalazimishwa kufuata Imani ni wajibu wako kufuata sheria za nchi, umeambiwa usile mchana wa ramadhan wazwazi ufanye hivyo otherwise utachezea tu mikwaji hakuna namna nyengine
Hiyo siyo sheria.....
Kwani Zanzibar si nchi ya kidini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…