Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

View attachment 3007905
Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum katika mkutano huo wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) ametoa muhadhara na kusisitiza viongozi wa kidini Tanzania hawana kabisa mashaka na serikali
Ndugu mimi nina mashaka makubwa na watendaji wa serikali.

Ndie nikieleta mada.

Tujadili kama huna dodoso huna haja ya kujibu au kuandika chchte
 
Ndugu uko vema. Naona kama imepoteza njia na uko nje ya mada kabisa.

Hebu soma tena kichwa cha habari. Kwa kukusaidia tu wapenda amani na kulinda umoja na maslahi ya nchi wanahisia kuwa Tanzania hakuna ugaidi. Bali kuna ugaidi wa kutengenezwa.

False flag Terror.

False flag​

False flag is a term used by conspiracy theorists to suggest that various world events and crises, such as terrorist attacks and mass shootings, were actually orchestrated by governments or sinister forces in furtherance of a political or social goal, such as gun control or sowing public fear. Historically, the term has been used to refer to a military or political operation carried out with the intention of blaming an opponent for it, often as a pretext for going to war.

Kutokana na dhana hii wamefikiria ufanyike utafiti ili kupata ukweli wa mambo.

Ili utafiti huo usije onekana una dodoso zinazopendelea wenye mashaka na majibu ya utafiti huo imekuja mbele yenye kutaka ninyi ndio mutoe hizo dodoso wao wanafanya utafiti na kuja na matokeo ambayo watayawasikisha serikali kwa hatua mstahiki yenye maslahi kwa taifa.

Tusaidiane kuorodhesha hizo dondoo.

Nadhani ndugu nimekutafunia. Uwanja ni wakwako leta dodoso.

ok ngoja nijifunze kwako.

Sample hizi zafaa.

Sample hizi nimezigawa ktk mafungu mawili.

Dodoso kwa raia
Dodoso kwa watendaji wa taasisi zinazoshughulikia kudhibiti ugaidi na washirika wao.

Mf polisi, kikosi maalum cha kupambana na ugaidi, balozi ya marekani.

1. Jina
2. Mkoa
3. Wilaya
4. Kata
5. Kitongoji/ mtaa/ shehiya
6. Dini yako
7. Dhehebu lako
8. Je unakunywa pombe
9. Je kuna umuhimu kwa serikali kuongozwa na imani
10. Je serikali ya Tanzania ina imani
11. Unaamini kuwa watendaji wa serikali kuna wakati wanaathiriwa na kufata hisia za imani ya dini yake katika kutekeleza majukumu na amri kama mtendaji wa serikali.
12. Unaamini dhana hii; 'UBORA /TASWIRA YA SERIKALI HUAMULIWA NA imani ya Watendaji wa Serikali.
13. Iwapo maamuzi ya mtendaji wa serikali yanaathiriwa na imani ya dini yake matokeo ya maamuzi hayo unadhani wanaweza kuwa ni ya kibaguzi.
14. Iwapo kundi moja kubwa la jamii halina imani na sheria mojawapo kuwa imetungwa kwa ajili yao, unadhani kunahitajika mjadala wa kitaifa juu ya sheria hiyo na ikibidi kufutwa.
15. Je pale imani ya serikali (ujamaa ni imani) inapokinzana na imani ya tabaka la walio wengi je raia anapaswa kufata imani gani.
15. Kama mtendaji wa serikali Je unaumia kusikia raia mmoja anamwita mwenzie kafiri
16. Unaelewa maana ya ugaidi
17. Unadhani Tanzania kuna magaidi
18. Unaelewa kuwa kuna Ugaidi wa kutengenezwa (false Flag)
19. Je Tz kuna ugaidi au kuna ugaidi wa kutengenezwa
20. Unaweza kumjua gaidi kwa muonekano wake
21. Ukiwa mtendaji wa serikali na ukiwa nje ya majukumu ya serikali je unaamini Uislam ni ugaidi
22. Katika mazingira ya sasa Kuwepo kwa tabaka moja la imani kuhodhi asilimia 99% ya mamlaka ya serikali, huku wanaotawaliwa wakikosa Imani na watendaji wa serikali linapokuja suala la kusimamia sheria zinaonekana kuwabagua unadhani nini kifanyike.
Xxxxxxxxx
Je maswali haya yote yafaa kuwa ni dodoso ya tafiti kusudiwa.
Nilijua kuwa dodoso litaakisi yale unayoyataka.Ahsante
 
Hili siyo tatizo la Tanzania pekee, bali ni la sehemu nyingi duniani na chanzo chake ni mafundisho ya kitabu husika..

MAANDIKO YA KORAN YANAYOHAMASISHA UGAIDI:

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”

“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”

“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”

“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
We mpumbavu huna ujualo...Aya moja ya Qur'an inaweza kuchambuliwa kutwa nzima, ni mafumbo mazito yaliyobeba maana nzito zilizo positive kwa maslahi na mustakabali salama wa maisha ya wanadamu wote. Chuki za kidini na kumezeshwa ujinga zitakuua ukiwa mbumbumbu na ukweli huujui.

Wasomi wakubwa wa kimataifa walioamua kuisoma na kujua vilivyomo kwenye Qur'an mwisho wa siku waliishia kulia na kusilimu, hivi leo ni washika dini kwelikweli! Huwaelezi kitu kuhusu uislam.

Ubaguzi, Uchoyo, Usengenyaji, Fitna, Umbea, Ukorofi, ushenzi, uhuni, ukatili n.k ni hulka na kariba ya mtu au jamii fulani ya watu. Ni damu itembeayo kwenye vinasaba, usitupie lawama moja kwa moja kwa Uislam. HAUFUNDISHI HIVYO! WANAOAMUA KWENDA AGAINST NI WENDAWAZIMU WAO TU!...

Uislam si ugaidi kama mnavyodanganywa na usitafsiri aya kutoka kwenye vitabu takatifu kwa maana rahisi rahisi... Ni dalili za utaahira!
 
Safi sana. Umeelewa mada na kujibu vema
Sio kuelewa Mada tu.

Dunia yote ilishuhudia Magaidi wa Boko Haramu walivyo wateka wasichana wa secondari huko Nigeria.

Kitu cha kwanza waliwasilimisha na kuwa Waislamu na walikuwa wanawatoa hadi kwenye video wakioneka wakifundisha hiyo dini huku wamevaa hijabu.

Somalia kuna kijiji cha
Al-Shababu. Kuna wilaya moja wameiteka na ipo chini yao kiutawala.

Hicho kijiji kinaongozwa na sheria na taratibu zote za dini ya Kiislamu yaani Sharia.

Nenda Youtube andika
A-Shaabab Village in Somalia.
Utakiona hicho kijiji.

Kama huviamini vyombo vya habari, vyombo vya ulinzi na usalama vya ndani na nje ya nchi, unatusibitishiaje sisi kuwa dodoso lako litaleta majibu ya uhakika ?

Dodoso linahusu mambo ya uhalifu wa Kigaidi.
Wewe unawadodosa watu ambao hawana elimu, ujuzi na uzoefu wa Ulinzi na usalama, huoni kuwa dodoso lako litakuwa na maoni tu ya watu wa kawaida na sio FACTS.

Magaidi wenyewe wanakiri kuwa ni Waislamu na mala nyingi wanabeba bendelea ya mtume wao ikiwa imeandikwa Shahada ya dini ya Kiislamu.

Walipo vamia chuo kikuu cha Kenya Garisa. Mashuhuda walisema waliwatenga wanafunzi Wakristo na Waislamu na kuwaua Wakristo huku Waislamu wakiachwa.

Ubarozi wa Marekani Kenya na Tanzania ulilipuliwa na Waislamu.

Magaidi wa MKIRU walijificha katika jamii ya Kiislamu na kule Tanga pia.

Ukweli ni kuwa hao Waislamu ni wenye msimamo mkali wanataka maisha yaendeshwe kwa sharia tu.

Waislamu wa kawaida, (moderate) hao ndio kama wewe. Hawana ile nia kubwa ya kuishi maisha ya Sharia. Hao hawapendi kabisa vitendo vya Kigaidi.
Na wanaumia sana Uislamu unavyo chafuliwa na Magaidi.
Kuna Aya nimesahau ilipo inasema,
"Hakuna kulazimisha mtu awe Mwislamu"
Magaidi hii Aya hawaifuati kabisa.

Sasa basi.
Kutokana na kueleweka kuwa Magaidi wengi wanao lipua lipua wananchi na mali zao kuwa ni wa Dini ya Kiislamu?

Kukitokea tukio la Kigaidi vyombo vya ulinzi na usalama vina anza kupata wazo kuwa, hapa huenda wahusika watakuwa walewale waislamu wenye msimamo mkali. (extremists)

Kama hivyo vyombo vya ulinzi na usalama havitakuwa na taaluma ya kutosha ya fani yao, kuna uwezekano mkubwa wa wasio na hatia kujumuhishwa kwenye washukiwa wa hilo tukio la kigaidi.
Yaani Waislamu wasio husika na hilo tukio.
Hivi ndivyo hali ilivyo.

Dodoso lako halitakuwa na mashiko kwakuwa watu watakao lijaza hawana taaluma wala uzoefu wa mambo ya ulinzi na usalama.

لَا إِكْرَاهَ فِي الدِّينِ ۖ قَد تَّبَيَّنَ الرُّشْدُ مِنَ الْغَيِّ ۚ فَمَن يَكْفُرْ بِالطَّاغُوتِ وَيُؤْمِن بِاللَّهِ فَقَدِ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَىٰ لَا انفِصَامَ لَهَا ۗ وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ


[ AL - BAQARA - 256 ]
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
 
Kuna taarifa zinazidi kuonesha yale mazoezi mnayofanya beach na kwenye shule au vyuo vyenu, mazoezi ya shorati na judos ni kwa minajili gani????

Kwenye dodoso lako la kujustify weka hilo swali maalimu????
 
We mpumbavu huna ujualo...Aya moja ya Qur'an inaweza kuchambuliwa kutwa nzima, ni mafumbo mazito yaliyobeba maana nzito zilizo positive kwa maslahi na mustakabali salama wa maisha ya wanadamu wote. Chuki za kidini na kumezeshwa ujinga zitakuua ukiwa mbumbumbu na ukweli huujui.

Wasomi wakubwa wa kimataifa walioamua kuisoma na kujua vilivyomo kwenye Qur'an mwisho wa siku waliishia kulia na kusilimu, hivi leo ni washika dini kwelikweli! Huwaelezi kitu kuhusu uislam.

Ubaguzi, Uchoyo, Usengenyaji, Fitna, Umbea, Ukorofi, ushenzi, uhuni, ukatili n.k ni hulka na kariba ya mtu au jamii fulani ya watu. Ni damu itembeayo kwenye vinasaba, usitupie lawama moja kwa moja kwa Uislam. HAUFUNDISHI HIVYO! WANAOAMUA KWENDA AGAINST NI WENDAWAZIMU WAO TU!...

Uislam si ugaidi kama mnavyodanganywa na usitafsiri aya kutoka kwenye vitabu takatifu kwa maana rahisi rahisi... Ni dalili za utaahira!
Umevurugwa
 
Kuna taarifa zinazidi kuonesha yale mazoezi mnayofanya beach na kwenye shule au vyuo vyenu, mazoezi ya shorati na judos ni kwa minajili gani????

Kwenye dodoso lako la kujustify weka hilo swali maalimu????
Dodoso lake halijataka kujua nini ni chanzo cha ugaidi na kwa nini watu wanahusisha uislamu na ugaidi wala halijataka kuhoji kwa nini likitokea shambulio la ugaidi viongozi wa kiislamu hawashutumu.
Halijataka kujua nani anarecruit vijana kuwa magaidi na wala thawabu kwa maana ya malipo ya vijana wanaojiunga na ugaidi yanafadhiliwa na nani.
Halijataka kujua dhima ya magaidi ni kujikomboa kutoka kwenye kukandamizwa au ni kutaka sharia za kiislamu zitumike ili kupata political legitimacy.
 
We mpumbavu huna ujualo...Aya moja ya Qur'an inaweza kuchambuliwa kutwa nzima, ni mafumbo mazito yaliyobeba maana nzito zilizo positive kwa maslahi na mustakabali salama wa maisha ya wanadamu wote. Chuki za kidini na kumezeshwa ujinga zitakuua ukiwa mbumbumbu na ukweli huujui.

Wasomi wakubwa wa kimataifa walioamua kuisoma na kujua vilivyomo kwenye Qur'an mwisho wa siku waliishia kulia na kusilimu, hivi leo ni washika dini kwelikweli! Huwaelezi kitu kuhusu uislam.

Ubaguzi, Uchoyo, Usengenyaji, Fitna, Umbea, Ukorofi, ushenzi, uhuni, ukatili n.k ni hulka na kariba ya mtu au jamii fulani ya watu. Ni damu itembeayo kwenye vinasaba, usitupie lawama moja kwa moja kwa Uislam. HAUFUNDISHI HIVYO! WANAOAMUA KWENDA AGAINST NI WENDAWAZIMU WAO TU!...

Uislam si ugaidi kama mnavyodanganywa na usitafsiri aya kutoka kwenye vitabu takatifu kwa maana rahisi rahisi... Ni dalili za utaahira!
🚮 🚮 🚮 🚮 🚮
Mbona wewe ndo mpumbavu og?!!
 
Sio kuelewa Mada tu.

Dunia yote ilishuhudia Magaidi wa Boko Haramu walivyo wateka wasichana wa secondari huko Nigeria.

Kitu cha kwanza waliwasilimisha na kuwa Waislamu na walikuwa wanawatoa hadi kwenye video wakioneka wakifundisha hiyo dini huku wamevaa hijabu.

Somalia kuna kijiji cha
Al-Shababu. Kuna wilaya moja wameiteka na ipo chini yao kiutawala.

Hicho kijiji kinaongozwa na sheria na taratibu zote za dini ya Kiislamu yaani Sharia.

Nenda Youtube andika
A-Shaabab Village in Somalia.
Utakiona hicho kijiji.

Kama huviamini vyombo vya habari, vyombo vya ulinzi na usalama vya ndani na nje ya nchi, unatusibitishiaje sisi kuwa dodoso lako litaleta majibu ya uhakika ?

Dodoso linahusu mambo ya uhalifu wa Kigaidi.
Wewe unawadodosa watu ambao hawana elimu, ujuzi na uzoefu wa Ulinzi na usalama, huoni kuwa dodoso lako litakuwa na maoni tu ya watu wa kawaida na sio FACTS.

Magaidi wenyewe wanakiri kuwa ni Waislamu na mala nyingi wanabeba bendelea ya mtume wao ikiwa imeandikwa Shahada ya dini ya Kiislamu.

Walipo vamia chuo kikuu cha Kenya Garisa. Mashuhuda walisema waliwatenga wanafunzi Wakristo na Waislamu na kuwaua Wakristo huku Waislamu wakiachwa.

Ubarozi wa Marekani Kenya na Tanzania ulilipuliwa na Waislamu.

Magaidi wa MKIRU walijificha katika jamii ya Kiislamu na kule Tanga pia.

Ukweli ni kuwa hao Waislamu ni wenye msimamo mkali wanataka maisha yaendeshwe kwa sharia tu.

Waislamu wa kawaida, (moderate) hao ndio kama wewe. Hawana ile nia kubwa ya kuishi maisha ya Sharia. Hao hawapendi kabisa vitendo vya Kigaidi.
Na wanaumia sana Uislamu unavyo chafuliwa na Magaidi.
Kuna Aya nimesahau ilipo inasema,
"Hakuna kulazimisha mtu awe Mwislamu"
Magaidi hii Aya hawaifuati kabisa.

Sasa basi.
Kutokana na kueleweka kuwa Magaidi wengi wanao lipua lipua wananchi na mali zao kuwa ni wa Dini ya Kiislamu?

Kukitokea tukio la Kigaidi vyombo vya ulinzi na usalama vina anza kupata wazo kuwa, hapa huenda wahusika watakuwa walewale waislamu wenye msimamo mkali. (extremists)

Kama hivyo vyombo vya ulinzi na usalama havitakuwa na taaluma ya kutosha ya fani yao, kuna uwezekano mkubwa wa wasio na hatia kujumuhishwa kwenye washukiwa wa hilo tukio la kigaidi.
Yaani Waislamu wasio husika na hilo tukio.
Hivi ndivyo hali ilivyo.

Dodoso lako halitakuwa na mashiko kwakuwa watu watakao lijaza hawana taaluma wala uzoefu wa mambo ya ulinzi na usalama.

لَا إِكْرَاهَ فِي الدِّينِ ۖ قَد تَّبَيَّنَ الرُّشْدُ مِنَ الْغَيِّ ۚ فَمَن يَكْفُرْ بِالطَّاغُوتِ وَيُؤْمِن بِاللَّهِ فَقَدِ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَىٰ لَا انفِصَامَ لَهَا ۗ وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ


[ AL - BAQARA - 256 ]
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
Nakuelewa sana.

Hata hivyo taaluma maana ni kufanya mambo ambayo akili inakubali kuwa una maarifa ya jambo hilo.

Kama uatangazwa kuna Tanzania lkn kamata kamata yao haionyeshi kuwa vyombo vya habari vina taalum hiyo, hauhitaji digree kujua ukamataji huo ni wa kosa la ugaidi wa kutengenezwa.

False Flag.

Ili uelewe zaidi hebu soma tukio la mlipuko wa bomu kanisani Arusha. Kijana aliyeonekana kurusha bomu hilo aliwa amevaa kanzu na kofia, na baada ya kulirusha akaanza kutimua maio. Wananchi wenye hasira wakamkamata, kabla hawajamchoma moto askari wakajitokeza na kumuoa kwenye mikono ya wananchi wenye hasira. Baada ya kuhojiwa alitambika jina la kijana huyo ni Victor Ambrose Calist. Image kwa tasirwa na hisia za haraka haraka, kijana aliyevaa kanzu ndie aliyerusha bomu. Huyo kijana wanakuwa ni wa dini gani. Lkn baada ya kuhojiwa ilikuja bainika kuwa alikuwa ni mkristo.

Lkn nini matokeo yake baada ya kukamatwa na kufikishwa mahalamani. Kulitokea Kamata kamata ya mashekhe arusha na walikaa ndani zaidi ya miaka 10. Na mwisho wa siku wameachiwa huru huku wengine wakitoka vilema. Huku yule aliyeshuhudiwa akirisha bomu hatujui hatima yake ilikuwaje.

Jamii ikiamini sheria ya ugaidi imetungwa kwa ajili ya waislam nitakuwa na makosa gani.

Jamii hiyo hiyo ukitaka ufanyike utafiti kubaini fact ya kwanini arusha waliokamatwa waislam na kuachiwa aliyeonekana akirusha bomu kwa kuwa alikuwa mkristo kuna kosa gani.

utalaamu bandia wa mambo ya kiuslama unamaana gani ktk kutafuta fact kupitia tafiti ndugu.

Zipo hisia kuwa wimbi la kukamatwa waislam kwa kosa la ugaidi ni kisasi kwa kuwa waislam huwaita makafiri. Neno ambao linawaudhi kupita maelezo. Na kwamba siku waislam watapoacha kuwaita wenzao makafiri ndio siku ambayo kamata kamata ya watuhumiwa wa ugaidi itakwisha
 
Nakuelewa sana.

Hata hivyo taaluma maana ni kufanya mambo ambayo akili inakubali kuwa una maarifa ya jambo hilo.

Kama uatangazwa kuna Tanzania lkn kamata kamata yao haionyeshi kuwa vyombo vya habari vina taalum hiyo, hauhitaji digree kujua ukamataji huo ni wa kosa la ugaidi wa kutengenezwa.

False Flag.

Ili uelewe zaidi hebu soma tukio la mlipuko wa bomu kanisani Arusha. Kijana aliyeonekana kurusha bomu hilo aliwa amevaa kanzu na kofia, na baada ya kulirusha akaanza kutimua maio. Wananchi wenye hasira wakamkamata, kabla hawajamchoma moto askari wakajitokeza na kumuoa kwenye mikono ya wananchi wenye hasira. Baada ya kuhojiwa alitambika jina la kijana huyo ni Victor Ambrose Calist. Image kwa tasirwa na hisia za haraka haraka, kijana aliyevaa kanzu ndie aliyerusha bomu. Huyo kijana wanakuwa ni wa dini gani. Lkn baada ya kuhojiwa ilikuja bainika kuwa alikuwa ni mkristo.

Lkn nini matokeo yake baada ya kukamatwa na kufikishwa mahalamani. Kulitokea Kamata kamata ya mashekhe arusha na walikaa ndani zaidi ya miaka 10. Na mwisho wa siku wameachiwa huru huku wengine wakitoka vilema. Huku yule aliyeshuhudiwa akirisha bomu hatujui hatima yake ilikuwaje.

Jamii ikiamini sheria ya ugaidi imetungwa kwa ajili ya waislam nitakuwa na makosa gani.

Jamii hiyo hiyo ukitaka ufanyike utafiti kubaini fact ya kwanini arusha waliokamatwa waislam na kuachiwa aliyeonekana akirusha bomu kwa kuwa alikuwa mkristo kuna kosa gani.

utalaamu bandia wa mambo ya kiuslama unamaana gani ktk kutafuta fact kupitia tafiti ndugu.

Zipo hisia kuwa wimbi la kukamatwa waislam kwa kosa la ugaidi ni kisasi kwa kuwa waislam huwaita makafiri. Neno ambao linawaudhi kupita maelezo. Na kwamba siku waislam watapoacha kuwaita wenzao makafiri ndio siku ambayo kamata kamata ya watuhumiwa wa ugaidi itakwisha
Wewe naye mzazi wako anasimama mbele ya wenzie anajisifu kuwa alisomesha!Hatari sana,
Kwamba kutokana na usomi wako unataka tujue kuwa ugaidi hakuna ila ni false flag eeeeh
Kwamba kila kinachofanyika kwa magaidi ni uzushi tuu wa mzungu na wakristu lakini magaidi ni waislamu wazuri waliopewa jina baya.
Kwamba ugaidi ni jina walilopewa waislam ili kuuchafua uislam kwa kuwa makafiri wanauonea wivu?
Unapata kabisa ujasiri wa kuongea na watu wenye uelewa ukiamini sisi tutauangalia uislam kwa macho yako na matamanio yako huku tukiwa na madonda ya kaka na ndugu zetu kuuwawa na magaidi ya Kiislam?
Na wewe unasimama kwa wenzio huko misikitini unaongea na wao wanakuona wewe ni msomi kabisa.
Kwa namna unavyotaka kufanya utafiti wako whether qualitative or quantitative nachelea kusema bila hofu kuwa kupitia wewe waislamu wamepigwa na wana hasara.
Methodology ya utafiti wako tu inanifanya nikucheke.
Anyway tuendelee kusubiri vichekesho vya mtu anayejitekenya halafu anacheka
 
Wewe naye mzazi wako anasimama mbele ya wenzie anajisifu kuwa alisomesha!Hatari sana,
Kwamba kutokana na usomi wako unataka tujue kuwa ugaidi hakuna ila ni false flag eeeeh
Kwamba kila kinachofanyika kwa magaidi ni uzushi tuu wa mzungu na wakristu lakini magaidi ni waislamu wazuri waliopewa jina baya.
Kwamba ugaidi ni jina walilopewa waislam ili kuuchafua uislam kwa kuwa makafiri wanauonea wivu?
Unapata kabisa ujasiri wa kuongea na watu wenye uelewa ukiamini sisi tutauangalia uislam kwa macho yako na matamanio yako huku tukiwa na madonda ya kaka na ndugu zetu kuuwawa na magaidi ya Kiislam?
Na wewe unasimama kwa wenzio huko misikitini unaongea na wao wanakuona wewe ni msomi kabisa.
Kwa namna unavyotaka kufanya utafiti wako whether qualitative or quantitative nachelea kusema bila hofu kuwa kupitia wewe waislamu wamepigwa na wana hasara.
Methodology ya utafiti wako tu inanifanya nikucheke.
Anyway tuendelee kusubiri vichekesho vya mtu anayejitekenya halafu anacheka
Ndugu nashukuru umeanza kujielewa. Na sample za dodoso zako nitazoongeza.

Bila kujuchisha fungua link ya gazeti ya kisha cha bola lililopuka kanisani arusha, mashuhuda waliomuona mrusha bomu, lkn badae wakaja kukamatwa waislam. Hawakuwepo kwenye tukio. Lkn muhusika na mtupa bomu hatujui imeishia wapi.


View: https://www.scribd.com/doc/244694287/ANNUUR-1148

 
Kuna ndugu yangu aliuawa kanisani Olasit Arusha. Na wahusika walikuwa Waislam. Sasa sijui wao ni magaidi au ni sehemu ya ibada walikuwa wanatekeleza.

Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kwa kweli
Hiyo kwao ni zaidi ya ibada bro,yaani kama alikuwa apate 60/100 hapo anaamini akifika kwa alahu atazawadiwa 100/100.

Waislam wa bongo ni wanafiki hujifanya hilo hawajaruhusiwa lakini wote huitamani hiyo nafasi.pole sana kwa msiba wa nduguyo
 
Sijasoma hata,lakini ni Dini ya hovyo haihubili Amani Wala upendo kwa Binadamu wote.Hivyo Wacha wanaozidisha upuuzi moto uwahusu.Nikiwa Rais mwenye Nia ya kuleta uvunjifu wa Amani hususani kwa jia ya Dini ni Shaba Haraka.
 
Nakuelewa sana.

Hata hivyo taaluma maana ni kufanya mambo ambayo akili inakubali kuwa una maarifa ya jambo hilo.

Kama uatangazwa kuna Tanzania lkn kamata kamata yao haionyeshi kuwa vyombo vya habari vina taalum hiyo, hauhitaji digree kujua ukamataji huo ni wa kosa la ugaidi wa kutengenezwa.

False Flag.

Ili uelewe zaidi hebu soma tukio la mlipuko wa bomu kanisani Arusha. Kijana aliyeonekana kurusha bomu hilo aliwa amevaa kanzu na kofia, na baada ya kulirusha akaanza kutimua maio. Wananchi wenye hasira wakamkamata, kabla hawajamchoma moto askari wakajitokeza na kumuoa kwenye mikono ya wananchi wenye hasira. Baada ya kuhojiwa alitambika jina la kijana huyo ni Victor Ambrose Calist. Image kwa tasirwa na hisia za haraka haraka, kijana aliyevaa kanzu ndie aliyerusha bomu. Huyo kijana wanakuwa ni wa dini gani. Lkn baada ya kuhojiwa ilikuja bainika kuwa alikuwa ni mkristo.

Lkn nini matokeo yake baada ya kukamatwa na kufikishwa mahalamani. Kulitokea Kamata kamata ya mashekhe arusha na walikaa ndani zaidi ya miaka 10. Na mwisho wa siku wameachiwa huru huku wengine wakitoka vilema. Huku yule aliyeshuhudiwa akirisha bomu hatujui hatima yake ilikuwaje.

Jamii ikiamini sheria ya ugaidi imetungwa kwa ajili ya waislam nitakuwa na makosa gani.

Jamii hiyo hiyo ukitaka ufanyike utafiti kubaini fact ya kwanini arusha waliokamatwa waislam na kuachiwa aliyeonekana akirusha bomu kwa kuwa alikuwa mkristo kuna kosa gani.

utalaamu bandia wa mambo ya kiuslama unamaana gani ktk kutafuta fact kupitia tafiti ndugu.

Zipo hisia kuwa wimbi la kukamatwa waislam kwa kosa la ugaidi ni kisasi kwa kuwa waislam huwaita makafiri. Neno ambao linawaudhi kupita maelezo. Na kwamba siku waislam watapoacha kuwaita wenzao makafiri ndio siku ambayo kamata kamata ya watuhumiwa wa ugaidi itakwisha
Umeona sasa.
Yule kijama pamoja na kutokuwa Mwislamu lakini alishikiliwa na Polisi.
Shida ni wananchi walimwona akirusha bomu ndio maana walimkimbiza.
Sio kwamba Magaidi wote ni Waislamu.
Ila hao lipua lipua wengi wanaratibiwa na waislam extremists.
Wapo Wakristo Wayahudi na dini nyingine wanao ajiriwa na makundi ya kigaidi hasa wenye taaluma za milipuko na ujuzi unaotakiwa.
Ila utalazimishwa usilimu ili wakuamini.
Waislamu wengi sana ni wastaarabu sana ila hao wachache wenye siasa kali ndio tatizo.
Na ndio wanaoleta fujo.
Na wenyewe ndio wanao jitanabahisha kuwa ni waislamu kamili.
Ili uwe mwislamu kamili ni lazima uishi katika taratibu za sharia na sio hiari.
Poleni sana waislamu wa kawaida kwa kuvumilia shutuma nyingi za kujumuishwa wote kwenye matendo ya Kigaidi.
Nawajua wengi wenu ni watu wema sana sana.🙏🌷
 
Umeona sasa.
Yule kijama pamoja na kutokuwa Mwislamu lakini alishikiliwa na Polisi.
Shida ni wananchi walimwona akirusha bomu ndio maana walimkimbiza.
Sio kwamba Magaidi wote ni Waislamu.
Ila hao lipua lipua wengi wanaratibiwa na waislam extremists.
Wapo Wakristo Wayahudi na dini nyingine wanao ajiriwa na makundi ya kigaidi hasa wenye taaluma za milipuko na ujuzi unaotakiwa.
Ila utalazimishwa usilimu ili wakuamini.
Waislamu wengi sana ni wastaarabu sana ila hao wachache wenye siasa kali ndio tatizo.
Na ndio wanaoleta fujo.
Na wenyewe ndio wanao jitanabahisha kuwa ni waislamu kamili.
Ili uwe mwislamu kamili ni lazima uishi karika taratibu za sharia na sio hiari.
Poleni sana waislamu wa kawaida kwa kuvumilia shutuma nyingi za kujumuishwa wote kwenye matendo ya Kigaidi.
Nawajua wengi wenu ni watu wema sana sana.🙏🌷
Shukran sana. Napenda kujadiliana watu kama wewe. Umeiacha akili yako huru.

Sasa ishu ya arusha kwetu ni case study. Kijana wa kikristo kakamatwa. Lkn hata hivyo hakukaa sana ndani. Na hadi leo hatujui hatima yake. Bali kuna dalili zote kuwa aliachiwa huru au hata kutoroshwa.

Tatizo ni kwanini walikwenda kukamatwa waumini wa kiislam. Wakawekwa ndani polisi/serikali ya ccm wakijua kabisa hawana ushahidi. Lkn kesi yao ikicheleweshwa kwa makusudi. Hadi wakakaa ndani miaka 10. Huku wakipewa adhabu kali, kuobiwa pesa na wengine kuumizwa na kusababushwa kuwa ulemavu. Juzi baada ya kuingia mama Samia na kuagiza watuhumiwa wote wa kesi za UONEVU waachiwe huru. Ndipo vyombo vyote vya serikali mahakama, dpp wakawafutia kesi.

Aina gani ya watendaji wa serikali tulionao. Ni wavuta bangi, wana chuki za kidini? Au tuwaeleweje.

Case study ni nyingi za kesi za ugaidi. Kule kilwa mashekhe walinyolewa ndevu kwa moto, mmoja akatolewa jicho.

Baada serikali ikawaachia huru.

Hivi tunaweza kusema serikali unafanya hivyo. Au ni watendaji wa serikali ndio wanazofanya hayo. Kama ni watendaji wanazofanya hayo kwa kupitisha ajenda zao binafsi zenye viashiria vya chuki na kibaguzi nini tufanye.
Iwapo jamii ya waislam hatuwaamini tena serikali nini kifanyike.

Ndio maana tunaona kuna haja ya kufanya tafiti. Lkn ili isionekane waathiriwa wa ugaidi wametengeza tafiti ya mchongi. Ndio maana nimeonelea kushirikisha jamii tupate dodoso za pamoja isiyoegemea upande wowote wa imani.

Je unadhani ina make sense utafiti huo. Unazo dodoso tuzijumuishe ktk utafiti huo. Ili kubaoni kama kweli Tanzania kuna magaidi, au kuna ugaidi wa kutengenezwa.


Ni majanga kuwa na serikali yenye watendaji kama watoto wa mtaani (wakora) namna hii
 
Hili siyo tatizo la Tanzania pekee, bali ni la sehemu nyingi duniani na chanzo chake ni mafundisho ya kitabu husika..

MAANDIKO YA KORAN YANAYOHAMASISHA UGAIDI:

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”

“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”

“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”

“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
Imani hii kupitia social media, forum za mitandao ya kijamii za wazi na siri pamoja na gaming apps wanawarubuni watu wa imani yao kufanya ugaidi kwa visingizio kibao.

Imani hii huwalenga watu kama waraibu wa madawa ya kulevya, watoto katika vituo vya mayatima au wasiona uwezo kiuchumi, raia wenye mtindio wa akili kuwarubini kutekeleza ugaidi

Nini kifanyike? Taasisi za kidini, familia zenye watu wenye uraibu wa madawa ya kulevya washirikiane na serikali ili ndugu zao wawekwe kwenye nyumba sahihi za sober House pia wale watakaogundulika na matatizo ya afya ya akili wapatiwe huduma za kiafya kabla hawajaingia katika mikono ya watu waovu magaidi watakaotaka kuwatumia watekekeze uovu.

taasisi za dini zilizoazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali zijikite
  • Kubaini wanaoshiriki kurubuni ili kuzuia tendo la kigaidi lisitokee
  • Taasisi za kidini kubaini na kuwalinda wale wanaolengwa kurubuniwa kujiunga na ugaidi
  • Viongozi wa kidini ni watu wa mwanzo kabisa wa kuweza kubaini watu wenye mrengo wa kurubuni katika jamii yao
  • Taasisi za kidini viongozi wao wote wapelekwe kwenye mafunzo chuo cha ulinzi wa taifa
  • Viongozi wa kidini kuwa macho na kuripoti serikalini vitendo vinavyoashiria uwepo wa baadhi ya waumini wao wenye mirengo ya hatari
Jinsi ya Kubaini watu wenye misimamo mikali inayoenda kinyume na utaifa wa Tanzania.

Watu hao hupaza sauti kupinga umoja wa kitaifa kwa kupanda mbegu za wale wao na sisi sisi. Hawana uvumilivu wa tofauti za kiimani zilizomo ndani ya taifa.

Watu hao huandika makala ya kufifisha uwezo wa ulinzi na kiusalama wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama mfano kuingiza ushawishi wa kiimani katika jeshi la ulinzi hivyo kushiriki katika kuhatarisha ulinzi wa mipaka na usalama wa ndani wa nchi .

Watu hao wenye misimamo mikali ya kiimani nchini Tanzania huchekelea pale mtumishi wa vyombo vya ulinzi anapopoteza maisha kwa kushambuliwa na mtu wa imani yao.

Watu hawa huwa wamekulia katika mazingira ya ukatili, upweke, familia zilizovunjika, wahalifu wanaodai wameongoka, makundi waliyopo yanawapa mbinyo watende vitendo viovu waweze kukubalika ndani ya kundi lao dogo la watu wachache, hawajiamini siku zote kulaumu wengine ...

Watu hao huapa na kula yamini kushirikiana na watu wa nje wa imani yake kuidhoofisha Tanzania kwa kila namna ikiwemo kuwakataza waumini wao kujiunga ktk vyombo vya ulinzi na usalama, kuleta ushawishi wa utengano kwa kufuata imani ktk vyombo vya ulinzi na usalama.

Watu hao hawalali kwa kupakua, kusambaza na kuchapisha makala ya kuchochea migongano ya kiimani .

Mohamed Abubakar anaonesha ni mtu anayehitaji msaada wa kuelimishwa na viongozi wa imani yake. Anaonesha dalili na chembechembe za kurubuniwa kwa kufahamu au kutofahamu.

Ni muda sahihi wa utafiti huo kuwalenga watu kama Mohamed Abubakar na kuwapa msaada sahihi wanaostahili ili asiendelee kutumbukia katika shimo la msimamo potofu.

Tuendelee kumsoma na kumpa nasaha sahihi za kuweza kumsaidia aweze kuzinduka kutoka kurubuniwa na watu wachache waovu wavunja nchi ili asishiriki katika dhambi hii ya kuvunja taifa.
Kuna mstari mwembamba Sana unaotenganisha kati ya Uislamu na Ugaidi
 
Hapana issue ikihusu marinda tu,hiyo ni ya Allah,Muhama,na abdools.
Wewe juzi yesu na papa si wamejitokeza hadharani hadi kwenye TV wameonueshwa wakiwaamrisha makafiri wote muwe mashoga? Hukuona ile video inawaonyesha wanatoana rinder live kanisani???
 
Back
Top Bottom