Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

Kuna ugaidi na ugaidi wa kutengenezwa.

Nini kulitokea rufiji.

Aliye na jibu hili ni Azory lkn kuabudu anazo taarifa kuwa alikamatwa na wasiojulikana na kupotezwa.

Ili kujua aina ya ugaidi wa tz tunahitaji dodoso
Usijitoe ufahamu kutaka kutetea waislam wenzio wanaojiingiza katika vitendo vya ugaidi kwa mwamvuli wa kukandamizwa.Tunahitaji dodoso kujua wanaolipua watu huku wakiimba allahu akbar?Tunahitaji dodoso kujua ya Kibiti na Newala Mtwara ni matendo ya kigaidi,Tunahitaji dodoso kujua alshabaab,answar sunnar, Boko haram,Isis na makundi mengine mengi ya aina hiyo ni magaidi maislamu?
Kusudi utafiti wako uwe huru na ukubalike na watu na usiwe biased kwa maana ya kuyapaka magaidi ya kiislam mafuta lazima chombo kitakachofanya utafiti kiwe independent.Kwa namna unavyojibu hoja kwenye uzi huu nachelea kusema kuwa tayari findings za utafiti wako unazo.
 
Rudi kwenye mada. Leta Dodoso
Labda nikuulize unakubalina na wanaotumia vitisho na unyama kufanikisha mambo yao kwamba wanawakilisha Imani ya Kiislamu ?

Sababu kuna mawili either hoja yako ni kwamba wanasingiziwa au sio waislamu ni waharifu wanaoupa uislamu jina baya au unakubaliana na wanachofanya lakini wewe unakiita sio ughaidi
 
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli ugaidi upo na waliotuhumia na kukaa ndani zaidi ya miaka 5 kuna aliyekutikana na makosa hayo na kutumikia adhabu.

Jamii ya Kiislamu itaendelea kuuthibitishia umma kwa ni jamii isiyo na hatia kwa kuongozwa na:
• Kindness
• Trustworthiness
• Unselfish generosity
• Humility
• Great manners
• Self-awareness and courage
• Integrity and benevolence


Hata hivyo bado waislam wangependa kutafiti ya kisayansi na kupitia tafiti hiyo kujustify kamata kamata ya waislam kwa tuhuma za Ugaidi kama kuna usahihi wowote au kuna chuki na ubaguzi.

Ndugu mkumbuke majibu yenu yataakishi fikra za watendaji wa serikali wenye imani sawa na imani zenu.

Iwapo maamuzi yao yanaathiriwa na imani zao binafsi walizozaliwa na mafundisho ktk majumba yenu ya ibada.

Tunataka kuone mipaka ya kisheria dhidi ya watendaji wanazofanya maamuzi kwa kuongozwa na imani yake kwa migongo wa serikali.

Wakili msomi Maledeka kwa kutumia weledi na ubobezi kaamua kuwasaidia watuhumiwa na kuuthibitishia umma kuwa kuna hatari kama taifa kutumia hisia au hasira kutaka kuwadhibiti jamii kwa kutumia sheria zenye viashiria vya ubaguzi. Na matokeo yake nguvu kazi na pesa za walipa kodi inatumika kwa matumizi yasiyo na sababu.

Wakili msomi Madeleka amejaribu kutoa rai kuhusiana yenye maslahi mapana kwa taifa. Nasikia rai hiyo kuanzia dkk ya 7 ya clip hii.


View: https://youtu.be/72rIuu-GSf0?si=YgXX61_IVXyjaAxT

Lengo la tafiti hii ni kutaka Maridhiano ya kitaifa ili kama ukamataji wa watuhumiwa uko una justification sheria hii iendelee, lkn kama kuna mapungufu basi sheria hii ifanyiwe marekebisho au ifutwe kabisa ili sheria ya uhalifu itumike kama MBADALA.

Utafiti huu tuwahusishe wadau wakuu wa kusimamia na kudhibiti ugaidi kama idara maalum ya kuzuia ugaidi, jeshi la polisi, jeshi la kimataifa (Interpol), ubalozi wa Marekani, familia zilizoathiriwa na kamata kamata.

Naomba ushirikiano wako kwa kutueleza;-

1. Je, kisheria inaruhusia kwa taasisi ya kidini kuja na utafiti wa aina hii.

2. Unaweza dondoa ni maswali gani ya kuuliza kama dodoso katika utafiti huo.

Ili utafiti uje kutuletea majibu sahihi na thabit yenye kusaidia taifa

3. Nani anaishi katika mazingira ambayo jirani zake wamekamatwa kwa makosa ya ugaidi.

4. Je ungependa kushiriki kwa namna moja ktk tafiti hii.

Karibuni kwa michango yenye nia ya kujenga kwa maslahi mapana ya taifa

Utafiti unatakiwa kufanywa na chombo huru!Lakini kama ni taasisi inayoshitumiwa nachelea kusema kuwa utafiti huu hautakuwa balanced
 
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli ugaidi upo na waliotuhumia na kukaa ndani zaidi ya miaka 5 kuna aliyekutikana na makosa hayo na kutumikia adhabu.

Jamii ya Kiislamu itaendelea kuuthibitishia umma kwa ni jamii isiyo na hatia kwa kuongozwa na:
• Kindness
• Trustworthiness
• Unselfish generosity
• Humility
• Great manners
• Self-awareness and courage
• Integrity and benevolence


Hata hivyo bado waislam wangependa kutafiti ya kisayansi na kupitia tafiti hiyo kujustify kamata kamata ya waislam kwa tuhuma za Ugaidi kama kuna usahihi wowote au kuna chuki na ubaguzi.

Ndugu mkumbuke majibu yenu yataakishi fikra za watendaji wa serikali wenye imani sawa na imani zenu.

Iwapo maamuzi yao yanaathiriwa na imani zao binafsi walizozaliwa na mafundisho ktk majumba yenu ya ibada.

Tunataka kuone mipaka ya kisheria dhidi ya watendaji wanazofanya maamuzi kwa kuongozwa na imani yake kwa migongo wa serikali.

Wakili msomi Maledeka kwa kutumia weledi na ubobezi kaamua kuwasaidia watuhumiwa na kuuthibitishia umma kuwa kuna hatari kama taifa kutumia hisia au hasira kutaka kuwadhibiti jamii kwa kutumia sheria zenye viashiria vya ubaguzi. Na matokeo yake nguvu kazi na pesa za walipa kodi inatumika kwa matumizi yasiyo na sababu.

Wakili msomi Madeleka amejaribu kutoa rai kuhusiana yenye maslahi mapana kwa taifa. Nasikia rai hiyo kuanzia dkk ya 7 ya clip hii.


View: https://youtu.be/72rIuu-GSf0?si=YgXX61_IVXyjaAxT

Lengo la tafiti hii ni kutaka Maridhiano ya kitaifa ili kama ukamataji wa watuhumiwa uko una justification sheria hii iendelee, lkn kama kuna mapungufu basi sheria hii ifanyiwe marekebisho au ifutwe kabisa ili sheria ya uhalifu itumike kama MBADALA.

Utafiti huu tuwahusishe wadau wakuu wa kusimamia na kudhibiti ugaidi kama idara maalum ya kuzuia ugaidi, jeshi la polisi, jeshi la kimataifa (Interpol), ubalozi wa Marekani, familia zilizoathiriwa na kamata kamata.

Naomba ushirikiano wako kwa kutueleza;-

1. Je, kisheria inaruhusia kwa taasisi ya kidini kuja na utafiti wa aina hii.

2. Unaweza dondoa ni maswali gani ya kuuliza kama dodoso katika utafiti huo.

Ili utafiti uje kutuletea majibu sahihi na thabit yenye kusaidia taifa

3. Nani anaishi katika mazingira ambayo jirani zake wamekamatwa kwa makosa ya ugaidi.

4. Je ungependa kushiriki kwa namna moja ktk tafiti hii.

Karibuni kwa michango yenye nia ya kujenga kwa maslahi mapana ya taifa

Utakuwa haujui uislamu wewe. Hapo Zanzibar ikifika kipindi cha ramadhani mnabeba mafimbo kuchapa watu wanaokula au kupika. Kwanini funga yako iwe kero kwa wengine? Dini yako inanihusu nini mm?
Iran, binti wa kiislamu hajafunika kichwa, wamemuua.
*Bado unasema uislamu ni ya haki*kawadanganye wengine
 
Naongeza ni kote Ulimwenguni , kwanini hii siyo kwa Tanzania, Kenya, Uganda, Mozambique tu ni duniani kote Mashariki ya Kati wenye imani hii hufanya ugaidi ndani ya Mashariki ya Kati pia kuelekea Magharibi na Kusini ya Dunia kwanini ni imani hiyo tu inaonekana bila kupepesa macho wamejikita katika ugaidi ?

Dunia imegawanyika pande mbili mashariki ya kati kuelekea ulaya na Afrika na upande wa pili India kuelekea Japan .

Case study 2017 Mauaji ya Mkuranga, wenyeji wafunguka


View: https://m.youtube.com/watch?v=OPlHDPzoIzA

Mazito wananchi wa Mkuranga wafunguka SAKATA LA MKURANGA: Mauaji ya kutisha kiongozi mwingine yatokea Mkuranga mwaka 2017.


View: https://m.youtube.com/watch?v=NBBkJzNFFnU

19 January 2023
Dar es Salaam, Tanzania

NAO VIONGOZI WA BAKWATA WAONGEA

Hata Sheikh wetu nchini Tanzania, mwanazuoni Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania aliwahi kuonya juu ya dhehebu moja kuanza fitna, misuguano, kutishiana n.k dhidi la dhehebu jingine, wakati wote ni dini moja ya ki-Islamu..



SHEIKH ABUU - HATARI INAKUJA TUSIPOTOA TAHADHARI KWA HAYA YANAYOENDELEA



Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania ametoa tahadhari hiyo kwa kuwa inaweza kupelekea amani kuvunjika nchini Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi CV (wasifu) yake imesheheni nyadhifa kadha wa kadha sawia na maktaba yake binafsi iliyosheni mabuku juu ya mabuku ya elimu duniya na ilm ya dini pia ktk utumishi ulitukuka kwa dini na jamii.

Pia sheikh Abuu Iddi ni imamu mkuu msikiti wa Masjid Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam. Pia kwa miaka 16 amekuwa akiendesha kipindi ktk kituo cha televisheni cha Channel Ten kutoa daawa na darsa, mratibu Al Risala Foundation, Mratibu wa Kudumisha Amani katika mkoa wa Dar es Salaam, Mwandishi wa kitabu kinachokwenda kwa jina Misingi 15 ya amani, mwandishi wa makala katika gazeti kubwa la Mwananchi pia ni Mshauri wa dini na jamii wa Mufti Mkuu wa Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi ameelekeza tahadhari hii hususan kwa madhehebu ya Sunni Saudia na Shia linaloegamia Iran yanayo shambuliana kupitia propaganda kutoka maeneo mbalimbali ya dunia ya mitandao ya kijamii wakiongozwa na viongozi wao wa ndani na nje ya nchi kuchochea misuguano

Mtu baki akija kukuambia ndugu yako ni mchawi, anakuroga nawe ukaamini. Ukabeba panga na kwenda kumuua ndugu yako. Hapo anayeonekana kichaa ni nani?
1. Mtu baki aliyekushauri ukamuue ndugu yako
2. Wewe uliyeenda kumuua ndugu yako
Uislamu ni ugaidi
 
tunaanza kwanza kutoa jina baya kabla hatujamuaa mbwa mkorofi.

Ugaidi ni silaha ya mabeberu pale mbinu nyingine zinaposhindwa kuwacolonize watu, silaha iliaanza kutumika duniani kote hasa maeneo yenye waislamu wengi hasa baada ya kufanikiwa pale middle east.

Mashariki ya kati, ilipandikizwa silaha ya ugaidi ili kumlinda Israel na maslahi ya USA kama reserve ya mafuta, Lengo ilikuwa kudestibilize ule ukanda na kuwaacha majirani wakiwa busy kutatua matatizo yao wenyewe.

HAKUNA UGAIDI DUNIANI BALI NI OPERATION ZA CIA na mabeberu wenzie kulinda maslahi yao.
Uislamu unatumika kama chambo huku ndani very deep COW BOY mwenyewe anaremote kila kitu.
Kama ni CIA kwanini wawatumie waislamu kuua wasio hatia kwa kigezo cha dini?,kwanini hakuna muislamu anayelaani au wala aliyewahi kulaani hivyo vitendo hivyo hadharani?.
 
Kwa
Utafiti unatakiwa kufanywa na chombo huru!Lakini kama ni taasisi inayoshitumiwa nachelea kusema kuwa utafiti huu hautakuwa balanced
kwa tz taasisi huru ni ipi wakati 90% ya watendaji wa serikali ni wakristo, 90% ya watumishi wa umma ni wakristo.

Taasisihuru ni kama taasisi gn kwa mfano
 
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli ugaidi upo na waliotuhumia na kukaa ndani zaidi ya miaka 5 kuna aliyekutikana na makosa hayo na kutumikia adhabu.

Jamii ya Kiislamu itaendelea kuuthibitishia umma kwa ni jamii isiyo na hatia kwa kuongozwa na:
• Kindness
• Trustworthiness
• Unselfish generosity
• Humility
• Great manners
• Self-awareness and courage
• Integrity and benevolence


Hata hivyo bado waislam wangependa kutafiti ya kisayansi na kupitia tafiti hiyo kujustify kamata kamata ya waislam kwa tuhuma za Ugaidi kama kuna usahihi wowote au kuna chuki na ubaguzi.

Ndugu mkumbuke majibu yenu yataakishi fikra za watendaji wa serikali wenye imani sawa na imani zenu.

Iwapo maamuzi yao yanaathiriwa na imani zao binafsi walizozaliwa na mafundisho ktk majumba yenu ya ibada.

Tunataka kuone mipaka ya kisheria dhidi ya watendaji wanazofanya maamuzi kwa kuongozwa na imani yake kwa migongo wa serikali.

Wakili msomi Maledeka kwa kutumia weledi na ubobezi kaamua kuwasaidia watuhumiwa na kuuthibitishia umma kuwa kuna hatari kama taifa kutumia hisia au hasira kutaka kuwadhibiti jamii kwa kutumia sheria zenye viashiria vya ubaguzi. Na matokeo yake nguvu kazi na pesa za walipa kodi inatumika kwa matumizi yasiyo na sababu.

Wakili msomi Madeleka amejaribu kutoa rai kuhusiana yenye maslahi mapana kwa taifa. Nasikia rai hiyo kuanzia dkk ya 7 ya clip hii.


View: https://youtu.be/72rIuu-GSf0?si=YgXX61_IVXyjaAxT

Lengo la tafiti hii ni kutaka Maridhiano ya kitaifa ili kama ukamataji wa watuhumiwa uko una justification sheria hii iendelee, lkn kama kuna mapungufu basi sheria hii ifanyiwe marekebisho au ifutwe kabisa ili sheria ya uhalifu itumike kama MBADALA.

Utafiti huu tuwahusishe wadau wakuu wa kusimamia na kudhibiti ugaidi kama idara maalum ya kuzuia ugaidi, jeshi la polisi, jeshi la kimataifa (Interpol), ubalozi wa Marekani, familia zilizoathiriwa na kamata kamata.

Naomba ushirikiano wako kwa kutueleza;-

1. Je, kisheria inaruhusia kwa taasisi ya kidini kuja na utafiti wa aina hii.

2. Unaweza dondoa ni maswali gani ya kuuliza kama dodoso katika utafiti huo.

Ili utafiti uje kutuletea majibu sahihi na thabit yenye kusaidia taifa

3. Nani anaishi katika mazingira ambayo jirani zake wamekamatwa kwa makosa ya ugaidi.

4. Je ungependa kushiriki kwa namna moja ktk tafiti hii.

Karibuni kwa michango yenye nia ya kujenga kwa maslahi mapana ya taifa

Ndo asili yao.
 
Ni magaid

Ni magaidi in making,kulingana na mafuundisho ya dini yao.
Mafundisho ya dini haya amrishi kupigana au kuua pasipo sababu ya msingi.
Hiyo stereotype na mindset yako uliyomezeshwa na walanguzi wako ni sehemu tu ya kampeni dhidi ya haki ili uendelee kuwa wao wakupige pesa na uingie jahannam
 
Labda nikuulize unakubalina na wanaotumia vitisho na unyama kufanikisha mambo yao kwamba wanawakilisha Imani ya Kiislamu ?

Sababu kuna mawili either hoja yako ni kwamba wanasingiziwa au sio waislamu ni waharifu wanaoupa uislamu jina baya au unakubaliana na wanachofanya lakini wewe unakiita sio ughaidi
Naamini kuna ugaidi wa kutengenezwa. False Flag Terror. Wewe unaamini ktk hili.

Mf ni bomu kanisani arusha. Alionekana kijana akikimbia akiwa amevaa kanzu na balakashia. Wananchi wakamkanata. Ilikuja kujikana badae kuwa jina lake ni Ambrose Victor Calist
.Akafunguliwa mashiraka. Lkn hakuna anaejua hatima yake.

Wanaitumiwa ni vijana wenye shida za kiuchumi. Na wanafundishwa maneno kama allahu akbar.

halafu movie inaendelea kwa kufata script ilivyoandikwa
 
Usijitoe ufahamu kutaka kutetea waislam wenzio wanaojiingiza katika vitendo vya ugaidi kwa mwamvuli wa kukandamizwa.Tunahitaji dodoso kujua wanaolipua watu huku wakiimba allahu akbar?Tunahitaji dodoso kujua ya Kibiti na Newala Mtwara ni matendo ya kigaidi,Tunahitaji dodoso kujua alshabaab,answar sunnar, Boko haram,Isis na makundi mengine mengi ya aina hiyo ni magaidi maislamu?
Kusudi utafiti wako uwe huru na ukubalike na watu na usiwe biased kwa maana ya kuyapaka magaidi ya kiislam mafuta lazima chombo kitakachofanya utafiti kiwe independent.Kwa namna unavyojibu hoja kwenye uzi huu nachelea kusema kuwa tayari findings za utafiti wako unazo.
Nimeleta mada hii ili nipate dodoso kutoka kwenu. Na dodoso kutoka kwa jamii zitumike kupata findings. Niko too rational. Ajabu badala ya kuleta hizo sample munakuja na hukumu.

Nashindwa kuwaelewa watz kwakweli. Ungependa nifanye lipi kupata findings bila kuegemea upande iwapo mimi nimewataka ninyi kuleta dodoso.
 
Naamini kuna ugaidi wa kutengenezwa. False Flag Terror. Wewe unaamini ktk hili.
Mimi naangalia outcome kama kuna maafa / vitisho vimetokea basi kwangu mimi haya hayafai no matter nani amefanya awe muislamu, mkristu au rasta..., lakini issue ni kwamba hao waislamu, wakristu au ma rasta inabidi wawakane kwamba wanachofanya sio imani yao
Mf ni bomu kanisani arusha. Alionekana kijana akikimbia akiwa amevaa kanzu na balakashia. Wananchi wakamkanata. Ilikuja kujikana badae kuwa jina lake ni Ambrose Victor Calist
.Akafunguliwa mashiraka. Lkn hakuna anaejua hatima yake.
Umeuliza hatima yake ? Mimi it does not matter alikuwa ni nani what matters ni alichofanya kwahio ahojiwe kwanini amefanya na nani kamtuma inabidi ahojiwe na nyie waislamu inabidi mkemee kwamba kinachofanyika kwa yoyote yule sio sawa wala sio imani yenu
Wanaitumiwa ni vijana wenye shida za kiuchumi. Na wanafundishwa maneno kama allahu akbar.
halafu movie inaendelea kwa kufata script ilivyoandikwa
Na ni kwamba kuna loophole ya vijana hawa kuwa indocrinated cha maana narudia tena waislamu ni kuwakana na kuonyesha kwa dhati kwamba kutenda maovu sio sawa no matter unapigania nini...
 
Kwa

kwa tz taasisi huru ni ipi wakati 90% ya watendaji wa serikali ni wakristo, 90% ya watumishi wa umma ni wakristo.

Taasisihuru ni kama taasisi gn kwa mfano
Kwani taasisi lazima iwe ya umma?Yaani user institution ajifanyie utafiti halafu sisi tukubaliane na findings zake kweli?Tutafute consultancy ya kichina sasa.
 
Nimeleta mada hii ili nipate dodoso kutoka kwenu. Na dodoso kutoka kwa jamii zitumike kupata findings. Niko too rational. Ajabu badala ya kuleta hizo sample munakuja na hukumu.

Nashindwa kuwaelewa watz kwakweli. Ungependa nifanye lipi kupata findings bila kuegemea upande iwapo mimi nimewataka ninyi kuleta dodoso.
Majibu yako humu yanaonesha tayari unazo findings.Kwenye mass kinachotafutwa ni majibu ya questionaire. Wee set hypothesis yako vzr ulete dodoso sisi tupendekeze mtafiti
 
Majibu yako humu yanaonesha tayari unazo findings.Kwenye mass kinachotafutwa ni majibu ya questionaire. Wee set hypothesis yako vzr ulete dodoso sisi tupendekeze mtafiti
Nawachia kuweka dodoso na upendekeze mtafiti.
 
Kwani taasisi lazima iwe ya umma?Yaani user institution ajifanyie utafiti halafu sisi tukubaliane na findings zake kweli?Tutafute consultancy ya kichina sasa.
hii yaonyesha jinsi gn watz tusivyoaminiana. Vp sasa tuamaini watendaji wa serikali ambao wengi ni wa dini moja wanatenda uadilifu ktk kamata kamata ya watuhumiwa wa ugaidi. Suluhisho ni lipi. Nadhani tunapaswa kuundwa tume ya Maridhiano. Kama africa kusini na Rwanda walivyofanya.
 
Mimi naangalia outcome kama kuna maafa / vitisho vimetokea basi kwangu mimi haya hayafai no matter nani amefanya awe muislamu, mkristu au rasta..., lakini issue ni kwamba hao waislamu, wakristu au ma rasta inabidi wawakane kwamba wanachofanya sio imani yao

Umeuliza hatima yake ? Mimi it does not matter alikuwa ni nani what matters ni alichofanya kwahio ahojiwe kwanini amefanya na nani kamtuma inabidi ahojiwe na nyie waislamu inabidi mkemee kwamba kinachofanyika kwa yoyote yule sio sawa wala sio imani yenu

Na ni kwamba kuna loophole ya vijana hawa kuwa indocrinated cha maana narudia tena waislamu ni kuwakana na kuonyesha kwa dhati kwamba kutenda maovu sio sawa no matter unapigania nini...
Ni makutio ya ugaidi wa kutengenezwa (False Flag Terror) then unapendekeza waislm wakane.

Its make any sense.

Way forward ni kufanya tafiti. Lkn dodoso za tafiti hizo zipendekezwe na public ili isije onekana waathiriwa wajiandaa zilizoandaa justification ya faida kwao
 
Je ni kwanini Magaidi wanawatumia Waislamu.
Awe Muamerika au Muiran.
Matukio mengi ya Ugaidi tufanye yanayo ripotiwa na FBI watuhumiwa ni Waislamu.

Ubalozi wa Merekani Tanzania na Uganda ulilipuliwa na Waislamu.
Juzi Urusi Waislamu wameuwa watu na vilipuzi.
Yaani kuna maelfu vikundi vya kigaidi vinavyo tokea kwenye jamii za Kiislamu.
Baadhi yao hivyo vikundi vinavyo anzia na herufi "A" tu ni kama vifutavyo.
  • Abu Sayyaf Group (ASG)
  • Afghan Taliban.
  • Al-Nusrah Front.
  • Al-Shabaab.
  • Ansar al-Sharia.
  • Ansar Bayt al-Maqdis (ABM)
  • Al-Qa'ida Core (AQ)
  • Al-Qa'ida in the Arabian. Peninsula (AQAP)

  • Hapo sijafika kwenye Herufi B kwa akina Boko Haram.
  • Waislamu mnatakiwa kujitathmini.
  • Matukio ya MKIRU na Tanga wate tuliyashuhudia.
  • Wahusika ni Waislamu wakijificha katika jamii za Kiislamu.
  • Kuna shida fulani kwenye Uislamu ambayo haitaki kusemwa hadharani.
  • Mzee wetu yule wa Zanzibar anaongea vitu kwa hisia kubwa sana lakini hatumsikilizi kabisa.
Tuwe wazi ili tukabiliane na hili tatizo.
Shukran kwa kujielewa.

Siku zote elewa FBI hawatoi taarifa sahihi hata kidogo. Kwako kupita taarifa. Wako ktk vita inayojulikana information warfare.

Endelea kuwaamini
 
Imani hii kupitia social media, forum za mitandao ya kijamii za wazi na siri pamoja na gaming apps wanawarubuni watu wa imani yao kufanya ugaidi kwa visingizio kibao.
Imani hii huwalenga watu kama waraibu wa madawa ya kulevya, watoto katika vituo vya mayatima au wasiona uwezo kiuchumi, raia wenye mtindio wa akili kuwarubini kutekeleza ugaidi
Nini kifanyike? Taasisi za kidini, familia zenye watu wenye uraibu wa madawa ya kulevya washirikiane na serikali ili ndugu zao wawekwe kwenye nyumba sahihi za sober House pia wale watakaogundulika na matatizo ya afya ya akili wapatiwe huduma za kiafya kabla hawajaingia katika mikono ya watu waovu magaidi watakaotaka kuwatumia watekekeze uovu.
taasisi za dini zilizoazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali zijikite
  • Kubaini wanaoshiriki kurubuni ili kuzuia tendo la kigaidi lisitokee
  • Taasisi za kidini kubaini na kuwalinda wale wanaolengwa kurubuniwa kujiunga na ugaidi
  • Viongozi wa kidini ni watu wa mwanzo kabisa wa kuweza kubaini watu wenye mrengo wa kurubuni katika jamii yao
  • Taasisi za kidini viongozi wao wote wapelekwe kwenye mafunzo chuo cha ulinzi wa taifa
  • Viongozi wa kidini kuwa macho na kuripoti serikalini vitendo vinavyoashiria uwepo wa baadhi ya waumini wao wenye mirengo ya hatari
Jinsi ya Kubaini watu wenye misimamo mikali inayoenda kinyume na utaifa wa Tanzania.
Watu hao hupaza sauti kupinga umoja wa kitaifa kwa kupanda mbegu za wale wao na sisi sisi. Hawana uvumilivu wa tofauti za kiimani zilizomo ndani ya taifa.
Watu hao huandika makala ya kufifisha uwezo wa ulinzi na kiusalama wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama mfano kuingiza ushawishi wa kiimani katika jeshi la ulinzi hivyo kushiriki katika kuhatarisha ulinzi wa mipaka na usalama wa ndani wa nchi .
Watu hao wenye misimamo mikali ya kiimani nchini Tanzania huchekelea pale mtumishi wa vyombo vya ulinzi anapopoteza maisha kwa kushambuliwa na mtu wa imani yao.
Watu hawa huwa wamekulia katika mazingira ya ukatili, upweke, familia zilizovunjika, wahalifu wanaodai wameongoka, makundi waliyopo yanawapa mbinyo watende vitendo viovu waweze kukubalika ndani ya kundi lao dogo la watu wachache, hawajiamini siku zote kulaumu wengine ...
Watu hao huapa na kula yamini kushirikiana na watu wa nje wa imani yake kuidhoofisha Tanzania kwa kila namna ikiwemo kuwakataza waumini wao kujiunga ktk vyombo vya ulinzi na usalama, kuleta ushawishi wa utengano kwa kufuata imani ktk vyombo vya ulinzi na usalama.
Watu hao hawalali kwa kupakua, kusambaza na kuchapisha makala ya kuchochea migongano ya kiimani .
Mohamed Abubakar anaonesha ni mtu anayehitaji msaada wa kuelimishwa na viongozi wa imani yake. Anaonesha dalili na chembechembe za kurubuniwa kwa kufahamu au kutofahamu.
Ni muda sahihi wa utafiti huo kuwalenga watu kama Mohamed Abubakar na kuwapa msaada sahihi wanaostahili ili asiendelee kutumbukia katika shimo la msimamo potofu.
Tuendelee kumsoma na kumpa nasaha sahihi za kuweza kumsaidia aweze kuzinduka kutoka kurubuniwa na watu wachache waovu wavunja nchi ili asishiriki katika dhambi hii ya kuvunja taifa.

Mohamed Abubakar,

Semina Elekezi kwa Viongozi wa Kidini Mkoa wa Dar es Salaam leo 3 Juni 2024

1717410065349.png

Semina elekezi ya uongozi kwa viongozi wa JUMUIYA YA MARIDHIANO NA AMANI TANZANIA (JMAT) Mkoa wa Dar Es salam , Wilaya na Kata zake. Mgeni rasmi Mhe: Mizengo Pinda. Leo June 03 2024 ukumbi wa JINCC Posta jijini Dar es Salaam, Tanzania

Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum katika mkutano huo wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) ametoa muhadhara kuhusu kipengele muhimu cha uzalendo .... mwite mwenzie kwa kufur au kafiri n.k mwenyeezi Mungu anatukumbusha kuwa binaadamu ni jengo la Mwenyenzi Mungu.

Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum anaanza katika mada ya uzalendo .... udugu wa kiimani upo yaani wale wa msikitini ndugu zao ni wale wa imani yao na vivyo hivyo kwa kanisani ndugu zao ni wale wa imani yao LAKINI sasa wakitoka kwenye nyumba zao za ibada suala linakuwa mtambuka wote ni waTanzania Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum anakumbusha ...


Kuhusu akili Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum anasema lazima ihifadhiwe ndiyo maana hairuhusiwi akili kutikiswa na bangi, miraa, madawa ya kulevya na uraibu mwingine ....

Kuhusu kaisari yaani serikali kulipwa kodi Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum anaturudisha kwa Yesu na kunukuu maswali ya uhalali wa watu kulipa kodi kwa Kaisari kuwa swali hilo ni kujaribu kumjaribu wakati wanajua umuhimu wa serikali, Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum anazidi kuwapa dozi viongozi wa kiimani katika mkutano wao wa leo .... huu ni uzalendo.

Pia Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum anakumbushia jinsi Mtume alivyolazimika kuondoka Mecca kwenda Madina, Mtume alihuzunika sana kuucha mji wake wa Mecca pamoja na mambo yaliyokuwa yanaendelea wakati ule ....Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum anasisitiza huu ni mfano mwingine wa uzalendo. Hivyo ni muhimu sana watanzania kuwa na uzalendo wa kuipenda nchi yao na raia wenzake watanzania ...
 
Back
Top Bottom