Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli wa kuimba shahada sio?Ugaidi hautokoma kwa sababu hamjui ukweli, na sasa kuna AI ndio kabisa .
Nope si majina tu, na lengo la vikundi vyenyewe, wakiwa na lengo moja tu ku establish caliphate. but why? Je ili ku establish hiki kitu lazima tu commit murder?
Mfano kundi lina operate msumbiji linajiita Ansar al-Sunna, ni branch ya ISIS. Wanaoperate sana sana cabo delgado, and sometimes wana conduct cross border attacks kwenye mipaka ya tanzania
Lengo kuu ni ku establish dola ya kiislamu kwenye eneo husika. According to them
So narudi kwenye analog yako, lets say ni majibanya kiarabu lakini si uislam, kwa simple profile hiyo? Hao jamaa tunawaweka kundi gani?
Ukweli ni wafadhili wa genocide zote kutoka vaticanUkweli wa kuimba shahada sio?
Mkuu kila unapocomment kuhusu hawa watu mimi kazi yangu kukugongea like tu.Sema asilimia 100% sio 99.9%
Uislamu umekaa kigaidi gaidi, maandiko kwenye kurani yanaagiza asiyeamini akatwe kichwa.
Ni dini hatari sana kwa ustawi na usalama wa dunia.
Pia inaendekeza ngono sana, mara mtume aligegeda katoto ka miaka Tisa, mara mabikira 72.
Ukweli wa kuimba shahada sio?Ugaidi hautokoma kwa sababu hamjui ukweli, na sasa kuna AI ndio kabisa .
Kama hii Ayat sio.Kwa asilimia kubwa mafundisho ya quran tukutu yanazalisha magaidi
Salman Rushdie alikiita satan verse.
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli ugaidi upo na waliotuhumia na kukaa ndani zaidi ya miaka 5 kuna aliyekutikana na makosa hayo na kutumikia adhabu.
Jamii ya Kiislamu itaendelea kuuthibitishia umma kwa ni jamii isiyo na hatia kwa kuongozwa na:
• Kindness
• Trustworthiness
• Unselfish generosity
• Humility
• Great manners
• Self-awareness and courage
• Integrity and benevolence
Hata hivyo bado waislam wangependa kutafiti kisayansi kupitia tafiti kujustify kamata kamata ya waislam kwa tuhuma za Ugaidi kama kuna usahihi wowote au kuna chuki na ubaguzi.
Wakili msomi Maledeka kwa kutumia weledi na ubobezi kaamua kuwasaidia watuhumiwa na kuuthibitishia umma kuwa kuna hatari kama taifa kutumia hisia au hasira kutaka kuwadhibiti jamii kwa kutumia sheria zenye viashiria vya ubaguzi. Na matokeo yake nguvu kazi na pesa za walipa kodi inatumika kwa matumizi yasiyo na sababu.
Wakili msomi Madeleka amejaribu kutoa rai kuhusiana yenye maslahi mapana kwa taifa. Nasikia rai hiyo kuanzia dkk ya 7 ya clip hii.
View: https://youtu.be/72rIuu-GSf0?si=YgXX61_IVXyjaAxT
Lengo la tafiti hii ni kutaka Maridhiano ya kitaifa ili kama ukamataji wa watuhumiwa uko una justification sheria hii iendelee, lkn kama kuna mapungufu basi sheria hii ifanyiwe marekebisho au ifutwe kabisa ili sheria ya uhalifu itumike kama MBADALA.
Utafiti huu tuwahusishe wadau wakuu wa kusimamia na kudhibiti ugaidi kama idara maalum ya kuzuia ugaidi, jeshi la polisi, jeshi la kimataifa (Interpol), ubalozi wa Marekani, familia zilizoathiriwa na kamata kamata.
Naomba ushirikiano wako kwa kutueleza;-
1. Je, kisheria inaruhusia kwa taasisi ya kidini kuja na utafiti wa aina hii.
2. Unaweza dondoa ni maswali gani ya kuuliza kama dodoso katika utafiti huo.
Ili utafiti uje kutuletea majibu sahihi na thabit yenye kusaidia taifa
3. Nani anaishi katika mazingira ambayo jirani zake wamekamatwa kwa makosa ya ugaidi.
4. Je ungependa kushiriki kwa namna moja ktk tafiti hii.
Karibuni kwa michango yenye nia ya kujenga kwa maslahi mapana ya taifa
Unauliza swali lingine, unajibu majibu yasiyo lihusu hilo swali uliloulizwa.Ukweli ni wafadhili wa genocide zote kutoka vatican
Swali lip umeuliza mpakwa mafuta?Unauliza swali lingine, unajibu majibu yasiyo lihusu hilo swali uliloulizwa.
Mdivyo mnavyojitoa ufahamu mkiulizwa mambo ya msingi.
Hayo ndio madhara ya kukarishwa mistali ili upate Cha kubishia mbele za watu lakini hakuna unachoelewa 🚮🚮Luka 19:27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
Luke 22:38
The disciples said, "Lord, look! Here are two swords!" Then Jesus said to them, "That's enough!"
Matthew 10:34–36
Jesus telling the disciples that He came not to bring peace to the world, but a sword.
Matthew 26:52
Why then, did Jesus say, “Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword.”
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli ugaidi upo na waliotuhumia na kukaa ndani zaidi ya miaka 5 kuna aliyekutikana na makosa hayo na kutumikia adhabu.
Jamii ya Kiislamu itaendelea kuuthibitishia umma kwa ni jamii isiyo na hatia kwa kuongozwa na:
• Kindness
• Trustworthiness
• Unselfish generosity
• Humility
• Great manners
• Self-awareness and courage
• Integrity and benevolence
Hata hivyo bado waislam wangependa kutafiti kisayansi kupitia tafiti kujustify kamata kamata ya waislam kwa tuhuma za Ugaidi kama kuna usahihi wowote au kuna chuki na ubaguzi.
Wakili msomi Maledeka kwa kutumia weledi na ubobezi kaamua kuwasaidia watuhumiwa na kuuthibitishia umma kuwa kuna hatari kama taifa kutumia hisia au hasira kutaka kuwadhibiti jamii kwa kutumia sheria zenye viashiria vya ubaguzi. Na matokeo yake nguvu kazi na pesa za walipa kodi inatumika kwa matumizi yasiyo na sababu.
Wakili msomi Madeleka amejaribu kutoa rai kuhusiana yenye maslahi mapana kwa taifa. Nasikia rai hiyo kuanzia dkk ya 7 ya clip hii.
View: https://youtu.be/72rIuu-GSf0?si=YgXX61_IVXyjaAxT
Lengo la tafiti hii ni kutaka Maridhiano ya kitaifa ili kama ukamataji wa watuhumiwa uko una justification sheria hii iendelee, lkn kama kuna mapungufu basi sheria hii ifanyiwe marekebisho au ifutwe kabisa ili sheria ya uhalifu itumike kama MBADALA.
Utafiti huu tuwahusishe wadau wakuu wa kusimamia na kudhibiti ugaidi kama idara maalum ya kuzuia ugaidi, jeshi la polisi, jeshi la kimataifa (Interpol), ubalozi wa Marekani, familia zilizoathiriwa na kamata kamata.
Naomba ushirikiano wako kwa kutueleza;-
1. Je, kisheria inaruhusia kwa taasisi ya kidini kuja na utafiti wa aina hii.
2. Unaweza dondoa ni maswali gani ya kuuliza kama dodoso katika utafiti huo.
Ili utafiti uje kutuletea majibu sahihi na thabit yenye kusaidia taifa
3. Nani anaishi katika mazingira ambayo jirani zake wamekamatwa kwa makosa ya ugaidi.
4. Je ungependa kushiriki kwa namna moja ktk tafiti hii.
Karibuni kwa michango yenye nia ya kujenga kwa maslahi mapana ya taifa
Nani kanipaka hayo mafuta,Swali lip umeuliza mpakwa mafuta?
Muhimu tunataka dodoso.Ukweli wa kuimba shahada sio?
H
Kama hii Ayat sio.
[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
Rudia kusoma na urudi kwenye madaMbinguni kuna mabikira 70, mara ukifia dini utakwenda mbinguni na vitu kama hivyo ndivyo vinaleteleza waislamu kuwa magaidi
Rudi kwenye mada. Nimebeep tu ayah kama hizi zipo ndani ya qutanHayo ndio madhara ya kukarishwa mistali ili upate Cha kubishia mbele za watu lakini hakuna unachoelewa 🚮🚮
Rejea thread then jibu sawa na swali.Hakuna namna yeyote unayo weza ifanya kuutenganisha UISLAM na UGAIDI hawa ni ndugu wa damu kabisa
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli ugaidi upo na waliotuhumia na kukaa ndani zaidi ya miaka 5 kuna aliyekutikana na makosa hayo na kutumikia adhabu.
Jamii ya Kiislamu itaendelea kuuthibitishia umma kwa ni jamii isiyo na hatia kwa kuongozwa na:
• Kindness
• Trustworthiness
• Unselfish generosity
• Humility
• Great manners
• Self-awareness and courage
• Integrity and benevolence
Hata hivyo bado waislam wangependa kutafiti kisayansi kupitia tafiti kujustify kamata kamata ya waislam kwa tuhuma za Ugaidi kama kuna usahihi wowote au kuna chuki na ubaguzi.
Wakili msomi Maledeka kwa kutumia weledi na ubobezi kaamua kuwasaidia watuhumiwa na kuuthibitishia umma kuwa kuna hatari kama taifa kutumia hisia au hasira kutaka kuwadhibiti jamii kwa kutumia sheria zenye viashiria vya ubaguzi. Na matokeo yake nguvu kazi na pesa za walipa kodi inatumika kwa matumizi yasiyo na sababu.
Wakili msomi Madeleka amejaribu kutoa rai kuhusiana yenye maslahi mapana kwa taifa. Nasikia rai hiyo kuanzia dkk ya 7 ya clip hii.
View: https://youtu.be/72rIuu-GSf0?si=YgXX61_IVXyjaAxT
Lengo la tafiti hii ni kutaka Maridhiano ya kitaifa ili kama ukamataji wa watuhumiwa uko una justification sheria hii iendelee, lkn kama kuna mapungufu basi sheria hii ifanyiwe marekebisho au ifutwe kabisa ili sheria ya uhalifu itumike kama MBADALA.
Utafiti huu tuwahusishe wadau wakuu wa kusimamia na kudhibiti ugaidi kama idara maalum ya kuzuia ugaidi, jeshi la polisi, jeshi la kimataifa (Interpol), ubalozi wa Marekani, familia zilizoathiriwa na kamata kamata.
Naomba ushirikiano wako kwa kutueleza;-
1. Je, kisheria inaruhusia kwa taasisi ya kidini kuja na utafiti wa aina hii.
2. Unaweza dondoa ni maswali gani ya kuuliza kama dodoso katika utafiti huo.
Ili utafiti uje kutuletea majibu sahihi na thabit yenye kusaidia taifa
3. Nani anaishi katika mazingira ambayo jirani zake wamekamatwa kwa makosa ya ugaidi.
4. Je ungependa kushiriki kwa namna moja ktk tafiti hii.
Karibuni kwa michango yenye nia ya kujenga kwa maslahi mapana ya ta
Hawa wanaojilipua kila siku,hawa wanaochoma makanisa,hawa wanaoua watu,Nigeria,Kibiti,Marekani,Ujerumani na kwingineko duniani huku wakisema allahu akbar ni wakrist?Pengine ndilo kundi linaloteswa zaidi duniani kwa sababu ni tishio kubwa kwa uhai wa Ukristu feki.
Mwitikio wa kuteswa unaweza kuitwa ugaidi.
Kama ndivyo, basi maana ya ugaidi ichunguzwe upya.
Kwa nini wanaoua watu kila siku kote duniani huku wakilitaja jina la allah asilimia kubwa ni waislamu?Wapi wengine wameua wakimsifia Krishna au Yaweh?Kwa nini mazoezi ya mapigano yanafanyiwa kwa nyumba za ibada?Kwa nini muislam mlokole ni tofauti na mkristo mlokole kwa maana ya muislam mlokole anakuwa mshari zaidi,Rejea thread then jibu sawa na swali.
Tunahitaji dodoso. Kwa haya mnavyoongea yanaproof wenyezu walioko ktk public office wanavyoongiza serikali kwa kutumia mihemko baada ya kupata maelezo kutoka kwa viongozi wa imani zenu. Lkn si katiba, bila ya kuongozwa na maslahi ya nchi