Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

tunaanza kwanza kutoa jina baya kabla hatujamuaa mbwa mkorofi.

Ugaidi ni silaha ya mabeberu pale mbinu nyingine zinaposhindwa kuwacolonize watu, silaha iliaanza kutumika duniani kote hasa maeneo yenye waislamu wengi hasa baada ya kufanikiwa pale middle east.

Mashariki ya kati, ilipandikizwa silaha ya ugaidi ili kumlinda Israel na maslahi ya USA kama reserve ya mafuta, Lengo ilikuwa kudestibilize ule ukanda na kuwaacha majirani wakiwa busy kutatua matatizo yao wenyewe.

HAKUNA UGAIDI DUNIANI BALI NI OPERATION ZA CIA na mabeberu wenzie kulinda maslahi yao.
Uislamu unatumika kama chambo huku ndani very deep COW BOY mwenyewe anaremote kila kitu.
Haya ya Kibiti haukuwa ugaidi?
 
Hawa wanaojilipua kila siku,hawa wanaochoma makanisa,hawa wanaoua watu,Nigeria,Kibiti,Marekani,Ujerumani na kwingineko duniani huku wakisema allahu akbar ni wakrist?
Rudi kwenye mada tuweke dodoso gn ili tujue si wakristo.
 
Wenye akili timamu wachunguze vizuri sifa za wanayemwabudu, jina sio sababu
 
Kwa nini wanaoua watu kila siku kote duniani huku wakilitaja jina la allah asilimia kubwa ni waislamu?Wapi wengine wameua wakimsifia Krishna au Yaweh?Kwa nini mazoezi ya mapigano yanafanyiwa kwa nyumba za ibada?Kwa nini muislam mlokole ni tofauti na mkristo mlokole kwa maana ya muislam mlokole anakuwa mshari zaidi,
Kwa nini jumuiya ya waislamu wengi hukandamiza sana wasio wa dini yao?
Kwani hitler aliwafanyia kitu gn wayahudi kabla hajanza kuwatesa. Walichokifanya ndicho wanachofanyiwa waislam; False Flag terror
 
Imani hii kupitia social media, forum za mitandao ya kijamii za wazi na siri pamoja na gaming apps wanawarubuni watu wa imani yao kufanya ugaidi kwa visingizio kibao.

Imani hii huwalenga watu kama waraibu wa madawa ya kulevya, watoto katika vituo vya mayatima au wasiona uwezo kiuchumi, raia wenye mtindio wa akili kuwarubini kutekeleza ugaidi

Nini kifanyike? Taasisi za kidini, familia zenye watu wenye uraibu wa madawa ya kulevya washirikiane na serikali ili ndugu zao wawekwe kwenye nyumba sahihi za sober House pia wale watakaogundulika na matatizo ya afya ya akili wapatiwe huduma za kiafya kabla hawajaingia katika mikono ya watu waovu magaidi watakaotaka kuwatumia watekekeze uovu.

taasisi za dini zilizoazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali zijikite
  • Kubaini wanaoshiriki kurubuni ili kuzuia tendo la kigaidi lisitokee
  • Taasisi za kidini kubaini na kuwalinda wale wanaolengwa kurubuniwa kujiunga na ugaidi
  • Viongozi wa kidini ni watu wa mwanzo kabisa wa kuweza kubaini watu wenye mrengo wa kurubuni katika jamii yao
  • Taasisi za kidini viongozi wao wote wapelekwe kwenye mafunzo chuo cha ulinzi wa taifa
  • Viongozi wa kidini kuwa macho na kuripoti serikalini vitendo vinavyoashiria uwepo wa baadhi ya waumini wao wenye mirengo ya hatari
Jinsi ya Kubaini watu wenye misimamo mikali inayoenda kinyume na utaifa wa Tanzania.

Watu hao hupaza sauti kupinga umoja wa kitaifa kwa kupanda mbegu za wale wao na sisi sisi. Hawana uvumilivu wa tofauti za kiimani zilizomo ndani ya taifa.

Watu hao huandika makala ya kufifisha uwezo wa ulinzi na kiusalama wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama mfano kuingiza ushawishi wa kiimani katika jeshi la ulinzi hivyo kushiriki katika kuhatarisha ulinzi wa mipaka na usalama wa ndani wa nchi .

Watu hao wenye misimamo mikali ya kiimani nchini Tanzania huchekelea pale mtumishi wa vyombo vya ulinzi anapopoteza maisha kwa kushambuliwa na mtu wa imani yao.

Watu hawa huwa wamekulia katika mazingira ya ukatili, upweke, familia zilizovunjika, wahalifu wanaodai wameongoka, makundi waliyopo yanawapa mbinyo watende vitendo viovu waweze kukubalika ndani ya kundi lao dogo la watu wachache, hawajiamini siku zote kulaumu wengine ...

Watu hao huapa na kula yamini kushirikiana na watu wa nje wa imani yake kuidhoofisha Tanzania kwa kila namna ikiwemo kuwakataza waumini wao kujiunga ktk vyombo vya ulinzi na usalama, kuleta ushawishi wa utengano kwa kufuata imani ktk vyombo vya ulinzi na usalama.

Watu hao hawalali kwa kupakua, kusambaza na kuchapisha makala ya kuchochea migongano ya kiimani .

Mohamed Abubakar anaonesha ni mtu anayehitaji msaada wa kuelimishwa na viongozi wa imani yake. Anaonesha dalili na chembechembe za kurubuniwa kwa kufahamu au kutofahamu.

Ni muda sahihi wa utafiti huo kuwalenga watu kama Mohamed Abubakar na kuwapa msaada sahihi wanaostahili ili asiendelee kutumbukia katika shimo la msimamo potofu.

Tuendelee kumsoma na kumpa nasaha sahihi za kuweza kumsaidia aweze kuzinduka kutoka kurubuniwa na watu wachache waovu wavunja nchi ili asishiriki katika dhambi hii ya kuvunja taifa.
Unakabia juu sana mkuu
 
TANZANIA UKIFUGA TU NDEVU UNAONEKANA GAIDI HII YOTE NI KUWA PROPAGANDA ILISHAENEZWA VYAKUTOSHA NA CHUKI IMESHA MEA KATIKA MIOYO YA WENZETU HAWA
 
Maswali ya dodoso lako yako wapi ili tuyajibu ?
Tuko ktk pilot. Kutafuta hayo maswali. Unadhani ni dodoso zipi za kuwauliza walengwa yakiwemo taasisi zinazohusika kukamata na familia lilizoathiriwa na zoezi hili.

Lkn watu wengine ambao wanawajua watu wenye kuhamasisha vitendo vya ugaidi kutokea na moja na waandishi wanaondika Jabari za kiuchungu. Kuwapatie dodoso zp wazijibu.
 
Maswali ya dodoso lako yako wapi ili tuyajibu ?
Tuko ktk pilot. Kutafuta hayo maswali. Unadhani ni dodoso zipi za kuwauliza walengwa yakiwemo taasisi zinazohusika kukamata na familia lilizoathiriwa na zoezi hili.

Lkn watu wengine ambao wanawajua watu wenye kuhamasisha vitendo vya ugaidi kutokea na moja na waandishi wanaondika Jabari za kiuchungu. Kuwapatie dodoso zp wazijibu.
 
Hitler alisema Bwana Yesu asifiwe kabla ya kuua Mayahudi?
hata mimi naweza kusema yesu asiwe nikajirekodi nikiwa nimefika uso.

Kikundi cha waasi uganda munapigana kwa jina la yesu kinaitwa lord resistance army. Ushawahi kusikia waliitwa magaidi.

Kule Africa ya kati kuna Anti Baraka kikundi cha kigaidi africa ya kati lkn ushasikia wanaitwa magaidi.

Anyway turudi ktk mada
 
Ilib
Tuko ktk pilot. Kutafuta hayo maswali. Unadhani ni dodoso zipi za kuwauliza walengwa yakiwemo taasisi zinazohusika kukamata na familia lilizoathiriwa na zoezi hili.

Lkn watu wengine ambao wanawajua watu wenye kuhamasisha vitendo vya ugaidi kutokea na moja na waandishi wanaondika Jabari za kiuchungu. Kuwapatie dodoso zp wazijibu.
Ilibidi mtoa mada uje na sample ya maswali yako, halafu wengine wange yaongeza au kuyarekebisha au kuyabadilisha kwa kuyatoa baadhi yake na kuyaweka mengine.

Kwa mfano.
1.Ushasikia neno Ugaidi ?
2. Kwa mtazamo wako nini maana ya Ugaidi?
3. Ni jamii ipi inahusishwa sana kwenye ugaidi na ni kwanini?
4. Nani mfadhiri wa vitendo vya kigaidi na kwanini awe yeye ?
5. Suluhisho la kudumu la vitendo vya kigaini ni nini?
Nk.
 
Haya ya Kibiti haukuwa ugaidi?
Kuna ugaidi na ugaidi wa kutengenezwa.

Nini kulitokea rufiji.

Aliye na jibu hili ni Azory lkn kuabudu anazo taarifa kuwa alikamatwa na wasiojulikana na kupotezwa.

Ili kujua aina ya ugaidi wa tz tunahitaji dodoso
 
Ilib

Ilibidi mtoa mada uje na sample ya maswali yako, halafu wengine wange yaongeza au kuyarekebisha au kuyabadilisha kwa kuyatoa baadhi yake na kuyaweka mengine.

Kwa mfano.
1.Ushasikia neno Ugaidi ?
2. Kwa mtazamo wako nini maana ya Ugaidi?
3. Ni jamii ipi inahusishwa sana kwenye ugaidi na ni kwanini?
4. Nani mfadhiri wa vitendo vya kigaidi na kwanini awe yeye ?
5. Suluhisho la kudumu la vitendo vya kigaini ni nini?
Nk.
Safi sana. Umeelewa mada na kujibu vema
 
Sema asilimia 100% sio 99.9%
Uislamu umekaa kigaidi gaidi, maandiko kwenye kurani yanaagiza asiyeamini akatwe kichwa.
Ni dini hatari sana kwa ustawi na usalama wa dunia.
Pia inaendekeza ngono sana, mara mtume aligegeda katoto ka miaka Tisa, mara mabikira 72.
Everything happen for a reason,. hata kwenye huo quran na ayah unazozidai zinasema kwa mfano wa madai yako ziliteremka kwa sababu.
Na kama utataka kuthibitisha ukweli wa vita ama aina yoyote ya mapigano yaliyowahi kutokea wakati wa mtume muhammad basi rudi kwenye historia na uangalie vita hivyo vilipiganwa dhidi ya akina nani.

sikuambii ili uende kujifunza na kuacha porojo.
 
Ni magaid
Hata hao majirani zako, workmate wako na hata rafiki zako pia ni magaidi???

Unafiki na chuki mliyo nayo ni hatari zaidi ya ugaidi feki wa waislamu.
Ni magaidi in making,kulingana na mafuundisho ya dini yao.
 
Je ni kwanini Magaidi wanawatumia Waislamu.
Awe Muamerika au Muiran.
Matukio mengi ya Ugaidi tufanye yanayo ripotiwa na FBI watuhumiwa ni Waislamu.

Ubalozi wa Merekani Tanzania na Uganda ulilipuliwa na Waislamu.
Juzi Urusi Waislamu wameuwa watu na vilipuzi.
Yaani kuna maelfu vikundi vya kigaidi vinavyo tokea kwenye jamii za Kiislamu.
Baadhi yao hivyo vikundi vinavyo anzia na herufi "A" tu ni kama vifutavyo.
  • Abu Sayyaf Group (ASG)
  • Afghan Taliban.
  • Al-Nusrah Front.
  • Al-Shabaab.
  • Ansar al-Sharia.
  • Ansar Bayt al-Maqdis (ABM)
  • Al-Qa'ida Core (AQ)
  • Al-Qa'ida in the Arabian. Peninsula (AQAP)

  • Hapo sijafika kwenye Herufi B kwa akina Boko Haram.
  • Waislamu mnatakiwa kujitathmini.
  • Matukio ya MKIRU na Tanga wate tuliyashuhudia.
  • Wahusika ni Waislamu wakijificha katika jamii za Kiislamu.
  • Kuna shida fulani kwenye Uislamu ambayo haitaki kusemwa hadharani.
  • Mzee wetu yule wa Zanzibar anaongea vitu kwa hisia kubwa sana lakini hatumsikilizi kabisa.
Tuwe wazi ili tukabiliane na hili tatizo.
 
Luka 19:27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.


Luke 22:38

The disciples said, "Lord, look! Here are two swords!" Then Jesus said to them, "That's enough!"

Matthew 10:34–36

Jesus telling the disciples that He came not to bring peace to the world, but a sword.

Matthew 26:52

Why then, did Jesus say, “Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword.”
Hahahaha huyu shehe chenga sana.
Ni ujinga au umeamua kupotosha makusudi?
 
Back
Top Bottom