mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Na waambia hivi jifunzeni kingereza, maana si mlijifanya hamwuogopi kuuaTunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!