Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo uzalendo wa huyu mzeeUzalendo ni kutumia majeshi kuua, kuteka na kutesa raia pamoja na kuiba kura.
wangejua wasingefanya hivyo! Hiyo ni kutapata kwa mfa maji, kwani inaonekana kama hawajuii Rome statute; polisi kutumia nguvu kuzuia watu wasivunja sheria halali siyo mojawapo ya mambo manne yaliyoko kwe statute hiyo.Unafikiri waliopeleka hawajui hilo?
Hakika,ICC ndiko kuna mfaa jiwe,
Inapotokea watu kama Pius Msekwa, Butiku, Sinde, Msuya, Mongela, Malecela, Anne Abdalah, Yusuph makamba, Mzee Mwinyi, Kikwete, wote wote wamenyamazishwa na conflict of interest taifa linaelekea wapi?Tunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!
Ndio wanateua majaji piaUmesema Africa Mashariki...Marais wake ni akina nani vile? Jiwe, Kagame, Nkurunzinza na Museveni..hawa si ndio wanatoa pesa za kuendesha hizi Mahakama...kama hujatumwa jiongeze...
Lazima uwe mpum.avu hasa kuulizia ushahidi wa watu waliouawa. Majina yametajwa, picha zimeoneshwa, watu wameshiriki mpaka maziko yao, matundu ya risasi yapo mwilini mwa marehemu, halafu eti unataka ushahidi!! Kichaa mkubwa wewe.Lete ushahidi bwashee au mbege imeshapanda kichwani?