Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nini kujamba, ataharisha njia nzima kuanzia Terminal 3 hadi Amsterdam, na kwenye treni ya kutoka Amsterdam hadi The Hague ataendelea kuwachafulia mazingira. Shenzi kabisaaaa.acheni kumjambisha jiwe hawezi kwenda huko icc
Bushiri hakutolewa kwenye Madaraka na ICC isipokua na wanainchi, so wanainchi ndio kila kitu na sio ICCAfrica Mashariki wana uwezo wa kumkamata Magufuli? Au hata Simon Sirro?
Al Bashir wa Sudan akiwa madarakani alijidai sana kama anavyojidai Magufuli sasa, na aliikejeli ICC kuwa si lolote si chochote, sasa habari yake kila mtu anayo, except Magufuli, I guess
Muwe mnaweka uzalendo kwanza kwenye kutenda haki, mnataka wengine wawe wazalendo wakati vyombo vya kutenda haki mmeshika nyie visitended sheria? Mahakama ya Africa ina tofauti gani na wale mazuzu wa waliosema kuiba kura ni uchaguzi Huru na wa haki?Tunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!
Unafikiri waliopeleka hawajui hilo?Wanataka kuonyesha wanaweza kuishitaka serikali kwenye mahakama za kimataifa; lakini yote ni ya mfamaji tu kwani ICC siyo mahakama inayopokea kesi kutoka kwa watu binafsi au kutoka vikundi vya kisiasa, bali inachukua kesi zinazoletwa na taasisi za kimataifa tu.
Hya matamako ya ICC yasikutishea kabisa
Kwa hoja yako hiyo, NANI HASA NI MZALENDO?Uzalendo ni kutumia majeshi kuua, kuteka na kutesa raia pamoja na kuiba kura.
Tunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!
Wanahangaika tu ICC haipo kwa ajili ya kusikiliza mashitaka dhidi ya chaguzi, kama ni hivyo Trump pia angepeleka malalamiko yake hukoTunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani wameshtaki kwamba uchaguzi haukuwa huru?Wanahangaika tu ICC haipo kwa ajili ya kusikiliza mashitaka dhidi ya chaguzi, kama ni hivyo Trump pia angepeleka malalamiko yake huko
Nkurunzinza amefufuka lini?Umesema Africa Mashariki...Marais wake ni akina nani vile? Jiwe, Kagame, Nkurunzinza na Museveni..hawa si ndio wanatoa pesa za kuendesha hizi Mahakama...kama hujatumwa jiongeze...
Nop, Uzalendo ni serikali kuuwa raia wake baada ya kujiweka madarakani kwa ngunvu.Tunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!
Wana haki kushitaki popoteTunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu, nilikuwa sijaona comment yako wakati naandika comment yangu. kama ume-copy kilicho ndani ya akili yangu.Uzalendo ni kutumia majeshi kuua, kuteka na kutesa raia pamoja na kuiba kura.
Jiulize na wewe,siku zote kushabikia maovu na uonevu,je ni uzalendo wa aina gani,uzalendo halisi au maslahi?Tunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!