Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #101
AGOA haihusiani na mitumba...Ni kweli kasema hivyo, lakini Rais Magufuli alijaribu hilo la kuzuia mitumba nchini Mkataba wa AGOA ukambana. Labda Museveni atafanikiwa.
Niachie A2 dirishani.Seat number A1
Binti vipi? Mimi na mambo ya vyama wapi na wapi?Tulia wewe MwanaCCM
Bora watawale milele angalau wanaleta maendeleo na maendeleo yaonekanne.Watu wanataka mabadiliko makubwa. Hapa Africa usulutani hauwezi kuwepo kwa namna moja au nyingine.
Kwamba wewe mtoto wako na wajukuu wako mfaidi rasilimali za taifa kisa tu mlipewa dhamana za kuwa viongozi? Mbaya zaidi mnafaidi kwa ufisadi na uhuni wa kuwaona mnaowatawala wajinga na wapumbavu.
Mapinduzi ya kifikra na ya kuondoa viongozi mafisadi wasiofaa yameenea Africa nzima.
Ushahama chama chako cha lumumba?Binti vipi? Mimi na mambo ya vyama wapi na wapi?
Watu wakaanza kuheshimiana. Haki za binadamu na maendeleo yakaanza kuonekana.Kinachoendela Afrika ni sawa na kile kilichotokea Ulaya mwaka 1848. Mapinduzi yalitokea Ufaransa, Ujerumani, Austria, Ukraine, Poland nk na kulikumba bara zima. Watu walikuwa wakiamka na kujisikia tu, wanaenda kupindua mfalme.
Nimehamia kwa mamako.Ushahama chama chako cha lumumba?
Ulitaka njia gani itumike labda ikiwa maandamano ya Amani mnayaita uhaini sababu hampendi kuambiwa ukweli? 😂Hakuna njia nyingine ya kupambana na huo wizi wa kura wa CCM zaidi ya Mapinduzi???
"Mtu mweusi akishika wadhifa anaona ote wajinga.anakosa hofu, huruma, ustaalabu, anajiona yeye ndio anaakili kuzidi wengine ote.Hii ni ukweli mtupu, tunajiona tuko sawa kiakili ila hapana kwa kweli kuna tatizo mahali
Watawala wengi wa kiafrica wanatumia Demokrasia kama kiini macho cha kuwahadaa raia kwamba eti dola ibadilishwe kupitia sanduku la kura wakati ni hujuma tu zinafanyika ili chama tawala kiendelee kubakia madarakani kwa gharama zozote. Huu mtindo utaigharimu CCM siku si nyingi.Hakuna mfumo wa uchaguzi wa kumuondoa mtawala na chama kongwe au kilichotawala kwa muda mref ndani ya bara la Africa!! Wameona hiyo ndio solutions cha kushangaza wananchi wanasapoti jeshi kuchukua Nchi........... Think bout it!!
Unashangaaa nini wizi wa mali za taifa angalia pesa ziko Kwa ajili ya family zaoWalianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.
Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.
Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.
Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?
Mtaandamana kuikataa CCM wao wakiwa wanawaangalia tu? 😂 My friende amka usingizini utajikojolea hata mtoto kumuachisha nyonyo sio jambo rahisi sababu maziwa ni matamu.Kwa kweli Afrika sijui niseme nini, sasa hata kule Niger ECOWAS itazidi kupata kigugumizi cha kuwaondoa wale wanajeshi waliopindua serikali halali. Na hakuna ushahidi wanajeshi wataleta neema wananchi wanayodhani wataipata. Ni sawa tu na nchi nyingine kama Kenya, Tanzania nk. ambazo wananchi wanakuwa na mzuka kwa raisi fulani anapogombea kisha akikaaa kidogo madarkani wakibaini hawezi kutimiza zile shauku zao wanaanza kumchukia ghafla.
Mfano HAPO KENYA Ruto alidhaniwa ataleta neema ya kiuchumi lakini ilivyoonekana neema haipo kirahisi walewale waliomchagua wanaanza tena kuandamana. Sudani ni hivyohivyo walimtoa Albashiri nini sasa wamepata?
Ni bora wananchi wenyewe wangeandamana jeshi likawasapoti lakini siyo kujifanya linachukua madaraka huku haijulikani ni lini watayakabidhi kwa raia, wanajeshi ni binadamu kama walivyo hao maraisi kwahiyo tusishadidie sana jeshi kushika madaraka.
Nadhani kuna mkono wa Urusi hata kama siyo moja kwa moja lakini Putin na New Order yake ana agenda fulani ya siri na Afrika tusipoangalia tutageuka vibaraka wa Urusi sawa tu na tulivyokuwa vibaraka wa nchi za Magharibi. Tunapigana Vita vya Ukraine bila kujijua
Kuna mfano uliotukuka kuonesha kwamba kupindua Serikali kunaleta unafuu kwa wananchi??
Kuna kikundi cha raia wanadiriki kujiita "Wenye Nchi" katika ardhi ambayo inahubiri amani na demokrasia 🤣!!! Ni mambo ya kustaajabisha.Watu wanataka mabadiliko makubwa. Hapa Africa usulutani hauwezi kuwepo kwa namna moja au nyingine.
Kwamba wewe mtoto wako na wajukuu wako mfaidi rasilimali za taifa kisa tu mlipewa dhamana za kuwa viongozi? Mbaya zaidi mnafaidi kwa ufisadi na uhuni wa kuwaona mnaowatawala wajinga na wapumbavu.
Mapinduzi ya kifikra na ya kuondoa viongozi mafisadi wasiofaa yameenea Africa nzima.
Ukiona familia moja au ka chama kamoja kana ongoza nchi miaka nenda rudi bila kuachia madaraka ujue nyuma yake kuna support ya jeshi. Siku wanajeshi wanapo shindwa kuvumilia upuuzi licha ya kuhongwa sana na watawala ndio huamua kufanya yao. Mapinduziiii, daima.Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.
1. Kwa sababu hakuna uchaguzi huru na wa haki.Walianza Burkina Faso, wakaja Niger Sasa ni Gabon.
Sielewi ni Kwa nini Afrika inakuwa ni ngumu sana kuwaondoa viongozi "wabovu" wasiotakiwa Kwa njia ya kura, badala yake kazi hiyo hufanywa na wanajeshi.
Nakumbuka hata Mzee Robert Mugabe aliondolewa madarakani "kistaarabu" na jeshi baada ya kuonekana hataki kutoka madarakani ingawa uwezo wake wa kuongoza Zimbabwe ulikuwa unatia shaka.
Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?
Ahahahahaha!!!AGOA haihusiani na mitumba...
Nakubali ✔️Watawala wengi wa kiafrica wanatumia Demokrasia kama kiini macho cha kuwahadaa raia kwamba eti dola ibadilishwe kupitia sanduku la kura wakati ni hujuma tu zinafanyika ili chama tawala kiendelee kubakia madarakani kwa gharama zozote. Huu mtindo utaigharimu CCM siku si nyingi.
Tunahubiriana Amani ili wezi na mafisadi waendelee kuitawala nchi na kujineemesha wao na familia zao kilafi huku raia wakiteketea na umaskini. Hii sio sahihi kabisa.
Hiyo mifumo ya kiuchaguzi imekaa kiujanjaujanja tu (tume isiyo huru huku mwenyekiti akiwa mteule wa mmoja wa wagombea), isitoshe hata mifumo yenyewe haiheshimiwi na wenye mamlaka, rafuu za kila aina (wakurugenzi kukataa kupokea fomu za wagombea, mawakala wa upande mmoja tu kuruhusu vituoni), rushwa na mengine mengi tu.Tatizo ni nini kwa Afrika kutegemea majeshi kufanya mabadiliko ambayo kimsingi yanatakiwa yafanywe kupitia mifumo ya kiuchaguzi?