King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,077
- 2,705
Kwanza nipende kusema mleta mada umeandika uongo huenda ulikua unajua au hujui chochote, nipende tu kukwambia mgabe hakupinduliwa kama unavyozania wew, ndio maana unapaswa kujiuliza baada ya hayo mapinduzi feki ni kwanini marekani na umoja wa ulaya hawakuondoa vikwazo vya kiuchumi kwa zimbabwe.
Kingine demokrasia ni jini ambalo linatafuna haki ya waafrika katika kufikia maendeleo yaliyo bora sababu inamapungufu mengi hata kwa waliyoileta huko ulaya na marekani mfano ni chaguzi za marekani hilary clintoni alimzidi kura Trump mwisho wa siku Trump akawa raisi, ukija kwa biden nae alimzidi Trump na tukaona Trump followers wa republican walivamia bunge kufanya vurugu kwa kupinga matokeo.
Hapa ndio utajua kuna watu nyuma ya pazia wameishikiria marekani na wanaamua nani awe raisi kwa wakati upi na nani asiwe raisi, jambo hili hata hapa nyumbani Tanzania tumeliona mwaka 2020. Ndio maana nasema ni upumbavu kupanga mstari kwenda kupiga kura wakati kiongozi alishajulikana ni yupi.
Tukija kwenye mada yako, mie naona ni ulimbukeni kwa wanaoshabikia (coup d'etat) mapinduzi ya kijeshi zidi ya viongozi wa kiafrika waliokuwa si waadilifu kwa nchi zao.
Sababu haitaweza kuondoa matatizo mengi yanayozikumba nchi za afrika hasa tatizo la umaskini. Nimalizie tu kwa kusema time will tell.
Kingine demokrasia ni jini ambalo linatafuna haki ya waafrika katika kufikia maendeleo yaliyo bora sababu inamapungufu mengi hata kwa waliyoileta huko ulaya na marekani mfano ni chaguzi za marekani hilary clintoni alimzidi kura Trump mwisho wa siku Trump akawa raisi, ukija kwa biden nae alimzidi Trump na tukaona Trump followers wa republican walivamia bunge kufanya vurugu kwa kupinga matokeo.
Hapa ndio utajua kuna watu nyuma ya pazia wameishikiria marekani na wanaamua nani awe raisi kwa wakati upi na nani asiwe raisi, jambo hili hata hapa nyumbani Tanzania tumeliona mwaka 2020. Ndio maana nasema ni upumbavu kupanga mstari kwenda kupiga kura wakati kiongozi alishajulikana ni yupi.
Tukija kwenye mada yako, mie naona ni ulimbukeni kwa wanaoshabikia (coup d'etat) mapinduzi ya kijeshi zidi ya viongozi wa kiafrika waliokuwa si waadilifu kwa nchi zao.
Sababu haitaweza kuondoa matatizo mengi yanayozikumba nchi za afrika hasa tatizo la umaskini. Nimalizie tu kwa kusema time will tell.