Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Umeambiwa na Nani? Mm hata ukinipa chumba bure mwenge siwez kuish uswahilin kama hapo. Karibu kijichi mkuuGoba pa kishua Sana aisee ni eneo flani hv uzungu mwingi , hakuna uswahili kule hata chembe , alaf kila mtu na time zake yaan , mpak unakutana na mbezi beach full kipupwe, sasa huko sjui mbagala , yaan Temeke yote pa kisenge mno, sishawishi mtu kwenda kule , huko ndo HQ ya panya road, ndo sehemu yenye joto Kali DSM nzima
Kwamba mtu auze nyumba/eneo lake Kariakoo, Ilala ama Magomeni kwa zaidi ya milioni 700 ama hata bilioni then ashindwe kwenda kununua kiwanja Mbezi, Madale ama Tegeta kwa bei ya milioni 30 ama 50?Watu wa hali ya chini walikupenda kwakua gharama za ujenzi kulingana na utambarare wake uwepo na maji pia hii ikasababisha kujaa watu wa hali ya chini na kushindwa kupanda hadhi....pia watu waliouza nyumba zao mjini na wakagawana wao wamechangia kuijaza mbagala mtu katoka keko au ilala umwambie akanunue kimara au mbezi mtihani.
Najua wanetu wa wilaya ya Temeke mtatokwa na povu lakini huo ndo ukweli
Kuna eneo lipo nilipita juzi juzi... Aisee ni moto wa kuotea kwa mbaaali... Kuna mijengo km sio mbagala dadek.
Mbweni inasubiri
Huyo atakuwa wa mkoani ndio maana hajaelewaWatanzania na hasa wakazi wa hapa Dar tunapokuwa kwenye mazungumzo yanayohusu makazi tunapotumia neno kwamba eneo fulani lina uswahili tunaelewana nini tunamaanisha, usipende kucomplicate mambo mkuu
Goba na Salasala ambapo ndo makao makuu ya vibaka?Kwa kifupi wilaya yote ya Temeke ardhi yake haina thamani. Uswahili mwingi sana na hali ya kipato pia na hali ya usalama hairidhishi
Huwezi kumshawishi mtu mwenye kipato chake kuishi wilaya ya Temeke na wakati anaona wilaya ya Kinondoni kuna maeneo kama Madale, Goba, Mivumoni, Salasala, Mbweni ni matulivu, yana usalama, yana hadhi na hakuna uswahili
Matusi ya nini kiongozi?. Tukiweka udini mbele tutatukana kila mtu. Hapa tunajifunza tuMwarabu ameshakunyonya nyuma. Akili huna
Nani kasema?. Mbagala ipo kwenye riski sabb watu wengi wa huku ni zao la pwani /kusini. Na huo ukanda wa kusini elimu ya kileo haijafika vizuri nd mana mpaka Sasa kuna tamaduni hazijaachwa. Mf. Wazaramo wameijenga mbagala kuwa sehem ya ngoma na mdundiko kila jumapili. Wamakonde wameijenga kuwa sehem yenye uchawi kias cha kuogofya kidogo.Kiufupi naomba niseme huku serikali ilikusahau sana.ndio ikapelekea kuwa hivi tofauti na sehemu nyingine ,huku wamachinga wana dharau za hali ya juu mno kiasi cha kupanga mikokoteni ya machungwa tikiti barabaran au nguo barababan wakati gari zinapita ,refer hapo mbagala rangi tatu pita muda wowote utaona hiyo hali,kiugupi watu wengi akili yao ni ya leo yao tu kesho hawaijui, unauziwa kiwanja ujenge unaambiwa njia ipo ,mwisho wa siku mwenzako na yeye anauziwa jiran mnakosa pakupita,kuna jiran yetu hapa katangaza viwanja milion 6 ni mpare huu unakatika mwaka hata mtu kuja kuuliza hakuna.na huyu hatouza kamwe mana hakuna mipango miji kila mtu anajenga anavyotaka
Mtu anajenga hana raman fundi ndio anamchora chini kupata ramani,hiyo sehemu itaendelea lini? Ila kwa sasa huku mbagala na viunga vyake watu ninwengi mno na wanazaliana sio mchezo ni rahisi kukuta darasa moja lina wanafunzi 400 shule ya msingi,yan huku ni vituko mwanzao mwisho sijui viongozi wa huku wanafanya makusudi ,miaka nenda rudi shule zile zile watu wanaongezeka,kwa nini kuwe na thamani wakati viongozi wa huku ni vichwa maji.?
Bei ya vyakula kuwa chini maana yake ni mzunguko mdogo wa pesa kumbe!Sababu kubwa ni mzunguko mdogo wa pesa na usalama..... mpaka leo hii unapata sahani ya wali kwa 500.......
Mambo ya kuvunjiana milango ni vitu vya kawaida sana kule.......
Kule vijana wengi ni wakabaji pindi jua linapozama.......kule ukipata break down ni Bora ukimbie kuliko kubakia hapo........ umaskini umewafanya watu kule kuwa wanyama......
Unazungumzia Goba ipi mkuu?Goba na Salasala ambapo ndo makao makuu ya vibaka?
Ama wewe mkuu umetoka mkoani juzi kuingia Dar? Hakuna eneo lenye vibaka wengi kama Goba.
Usalama wa Goba ni mdogo kulinganisha na maeneo mengi ya Dar. Vibaka wa Goba ndiyo wanaoenda kufanya uhalifu maeneo kama ya Kinyerezi, Segerea na Mbezi.
Umeambiwa wakiuza baafa ya ukoo kugawana Kila moja anasepa na zakeKwamba mtu auze nyumba/eneo lake Kariakoo, Ilala ama Magomeni kwa zaidi ya milioni 700 ama hata bilioni then ashindwe kwenda kununua kiwanja Mbezi, Madale ama Tegeta kwa bei ya milioni 30 ama 50?
Wewe ni mgeni wa Dar ulivyofikia kwa dada yako hapo Goba ukaona ndo eneo zuri zaidi. Jitahidi dada awe anakuachia nauli kidogo uzunguke maeneo mengi hasa Temeke ujionee mijengo yenye hadhi ya New York.Goba pa kishua Sana aisee ni eneo flani hv uzungu mwingi , hakuna uswahili kule hata chembe , alaf kila mtu na time zake yaan , mpak unakutana na mbezi beach full kipupwe, sasa huko sjui mbagala , yaan Temeke yote pa kisenge mno, sishawishi mtu kwenda kule , huko ndo HQ ya panya road, ndo sehemu yenye joto Kali DSM nzima
Watu was kusini Wana huo msimemo kuwa serikali imewasahau sana; mnapenda sana kusingizia serikali.Kiufupi naomba niseme huku serikali ilikusahau sana.ndio ikapelekea kuwa hivi tofauti na sehemu nyingine ,huku wamachinga wana dharau za hali ya juu mno kiasi cha kupanga mikokoteni ya machungwa tikiti barabaran au nguo barababan wakati gari zinapita ,refer hapo mbagala rangi tatu pita muda wowote utaona hiyo hali,kiugupi watu wengi akili yao ni ya leo yao tu kesho hawaijui, unauziwa kiwanja ujenge unaambiwa njia ipo ,mwisho wa siku mwenzako na yeye anauziwa jiran mnakosa pakupita,kuna jiran yetu hapa katangaza viwanja milion 6 ni mpare huu unakatika mwaka hata mtu kuja kuuliza hakuna.na huyu hatouza kamwe mana hakuna mipango miji kila mtu anajenga anavyotaka
Mtu anajenga hana raman fundi ndio anamchora chini kupata ramani,hiyo sehemu itaendelea lini? Ila kwa sasa huku mbagala na viunga vyake watu ninwengi mno na wanazaliana sio mchezo ni rahisi kukuta darasa moja lina wanafunzi 400 shule ya msingi,yan huku ni vituko mwanzao mwisho sijui viongozi wa huku wanafanya makusudi ,miaka nenda rudi shule zile zile watu wanaongezeka,kwa nini kuwe na thamani wakati viongozi wa huku ni vichwa maji.?
Kuwa serious kidogo mkuuKwa tuliozaliwa Dar me najionea sawa tu labda wanaoishi obey, masaki na upanga. Kuliko baki ni yaleyale tu.
Acha uongo jamaa. Kwa kifupi Goba vibaka hakuna kama wako basi no wachache. Ni mara chache sana kukuta vijana wamekaa vijiweni; labda kama **** goba nyingine.Goba na Salasala ambapo ndo makao makuu ya vibaka?
Ama wewe mkuu umetoka mkoani juzi kuingia Dar? Hakuna eneo lenye vibaka wengi kama Goba.
Usalama wa Goba ni mdogo kulinganisha na maeneo mengi ya Dar. Vibaka wa Goba ndiyo wanaoenda kufanya uhalifu maeneo kama ya Kinyerezi, Segerea na Mbezi.
Ngoja watoto wa shule muendelee kucomment. Lkn waulizeni wasanii wenu kwanini wanakuja kufanyia maigizo katika majumba ya huku, tokea jumba la dhahabu sijui Huba.... huko Goba hakuna mijengo ? Wanakuwa wajinga hadi anajikuta anakusalimia wakati wa.emwambia afanye action.Acha uongo jamaa. Kwa kifupi Goba vibaka hakuna kama wako basi no wachache. Ni mara chache sana kukuta vijana wamekaa vijiweni; labda kama **** goba nyingine.
Yule jamaa haijui Goba anaongeaongea tuAcha uongo jamaa. Kwa kifupi Goba vibaka hakuna kama wako basi no wachache. Ni mara chache sana kukuta vijana wamekaa vijiweni; labda kama **** goba nyingine.
Mbagala ni nchi ya wavuja jashoMiaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Kiazi kweli wwWewe ni mgeni wa Dar ulivyofikia kwa dada yako hapo Goba ukaona ndo eneo zuri zaidi. Jitahidi dada awe anakuachia nauli kidogo uzunguke maeneo mengi hasa Temeke ujionee mijengo yenye hadhi ya New York.