Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😂😂😂😂Sasa mbona mnapiga kelele kama vichaa huku ...malimbukeni mnajidanganyaHabari imewafikia wewe kichwa maji na SERIKALI y'ako ya kibaguzi ya mkoloni mweusi usiyejua haki zako Sasa sisi watu wa Arusha na Moshi haki zetu tunazitambua vyema kwahiyo hatutakubali Tena kuona tunahujumiwa na Hawa wakoloni weuc wanaongangania kututawala kinguvu wakati sisi hatuwatambui soon the Arusha republic (USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA,NI muunganiko wa Moshi na Arusha kuwa republic mtake mctake imeiiishaaah iyooooh ,,over
Ndio upo sahihi Arusha Ni nchi hata sisi wenyewe tunatambua hili Ndio maana hatuitambui serikali yenu ya mkoloni mweusi ambayo Ina ngangania kututawala kinguvu wakati sisi watu wa Arusha na Moshi tunaitambua Arusha republic (USA),,THE UNITED STATE OF ARUSHA huu utawala wa mkoloni mweusi wa kibaguzi mwisho wake unakuja soon tutaikomboa Arusha na Moshi kuwa moja na ma soldiers pekee kutoka Arusha na Moshi na sisi hatuitambui manyara km mkoa Bali Ni sehemu ya Arusha.Geneva Of Africa
Tatizo la watu wa Arusha ni kuichukulia Arusha km Nchi sio Arusha km Mkoa
Arusha sio Nchi mkiondoa hio mentality soon mtapata maendeleo ila mkibaki na hio mentality mtapitwa hata na Lindi sio Zanzibar tu,
We msukuma umia roho mpaka ufe kabisa Sawa eeh sisi watu wa Arusha hatuitambui serikali yenu ya mkoloni mweuc sisi tunaitambua Arusha na Moshi km nchi moja na sisi tunatambua manyara km sehemu ya Arusha kwahiyo manyara kuwa mkoa unaojitegemea km ambavyo iyo serikali yenu ya kibaguzi ya mkoloni mweuc inavyodai sisi Hilo hatuitambui sababu sisi Arusha Ni nchi na manyara Ni sehemu ya Arusha Hilo sisi Ndio tunalijua inakuumaaa msukuma eeeh ,,,overHizo percent umetoa wapi binti😃 manyara iko mkoa wa manyara ova..
Wape salaamu Arusha Ni nchi muunganiko wa Moshi na Arusha watake wactake soon ,the Arusha republic itatambulika internationallyKama unatokea Arusha ama kuishi au kuzaliwa gonga like Kisha tembeaawap
Mapato ya Arusha tunajenga stand simiyu ovaWe msukuma umia roho mpaka ufe kabisa Sawa eeh sisi watu wa Arusha hatuitambui serikali yenu ya mkoloni mweuc sisi tunaitambua Arusha na Moshi km nchi moja na sisi tunatambua manyara km sehemu ya Arusha kwahiyo manyara kuwa mkoa unaojitegemea km ambavyo iyo serikali yenu ya kibaguzi ya mkoloni mweuc inavyodai sisi Hilo hatuitambui sababu sisi Arusha Ni nchi na manyara Ni sehemu ya Arusha Hilo sisi Ndio tunalijua inakuumaaa msukuma eeeh ,,,over
Kafie mbele hukoMapato ya Arusha tunajenga stand simiyu ova
Sawa mkuu, endelea kuota na hio bange yako mkononiNdio upo sahihi Arusha Ni nchi hata sisi wenyewe tunatambua hili Ndio maana hatuitambui serikali yenu ya mkoloni mweusi ambayo Ina ngangania kututawala kinguvu wakati sisi watu wa Arusha na Moshi tunaitambua Arusha republic (USA),,THE UNITED STATE OF ARUSHA huu utawala wa mkoloni mweusi wa kibaguzi mwisho wakevublnakuja soon tutaikomboa Arusha na Moshi kuwa moja na ma soldiers pekee kutoka Arusha na Moshi na sisi hatuitambui manyara km mkoa Bali Ni sehemu ya Arusha.
Soon Arusha itakuwa newyork no,#2 na Arusha itakuwa jiji namba moja Africa nzima utake uctake ikikuuma saana msukuma mshambah wa mwanza kajinyonge na kamasi Kisha Kanye ziwa Victoria mtoni huko km mlivyoziea wanaume kwa wanawake kunya ziwani ushamba mwingi sanaaa,overKafie mbele huko
[emoji2][emoji2][emoji23]Geneva Of Africa
Tatizo la watu wa Arusha ni kuichukulia Arusha km Nchi sio Arusha km Mkoa
Arusha sio Nchi mkiondoa hio mentality soon mtapata maendeleo ila mkibaki na hio mentality mtapitwa hata na Lindi sio Zanzibar tu,
Upo sahihi kwanza Moshi Ni ya tatu sababu kaskizin Moshi na Arusha %80 ya watalii nchini Ndio wanaingia Arusha na Moshi Zanzibar huko Ni % ndogo iliyobaki kwahiyo Zanzibar haiwez kuizid Moshi labda kuwa Sawa au kuikaribiaMikoa yanayochangia Pato serikali Tz ni dar.. Arusha... Zanzibar.... Kilimanjaro..mikoa mingine inafuata, siijui
Subir soon utasikia rasmi ,the Arusha republic (USA) ,THE UNITED STATE OF ARUSHA ,Yaani Moshi na Arusha kuungana kuwa nchi moja hapo ndipo utazimia na mapato yote mliyozoea kutuibia Kanda ya kaskazini kwenda kujenga flyover ,barabara,madaraja ,Stendi kila kukicha huko dar hamtazipata Tena Sasa ztakuwa zinajenga Arusha na Moshi ,,,over imekuuma kunywa sumu ,,,over😂😂😂😂Sasa mbona mnapiga kelele kama vichaa huku ...malimbukeni mnajidanganya
Duniani kote Arusha inajulikana no#2 Sasa izo data zako za mchongo Ni kulingana na iyo serikali yenu ya mchongo ya bujora huku usukumani kwa washamba ,imekuuma kunywa sumu ufie mbali ,,,overMikoa yenye Pato kubwa ni hii?[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2413590View attachment 2413596
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabora watu 3M naa hela hawakusanyi sa wanaishije kuleAngalia hyo 11% ndo mikoa yote iliyobaki[emoji23][emoji23][emoji23]
Interesting stories,Mwanza iko diverse How?Potentialllity ya mkoa kiuchumi..hatupimi Kwa Kodi tu ..ni sawa mnashika namba mbili ,vipi kuhusu GDP yenu ..ikiwa mna GDP ndogo maana yake potential ya uimara wenu kiuchumi ni ndogo ..hizo Kodi mnapata mainly kwenye sekta ya utalii
Ikiwa uchumi wenu hauna diversity lazima mtayumba tu ,,ndo maana wakati wa corona Arusha Hali ilikuwa mbaya ....
Ukilinganisha na mwanza ,,, mwanza wao wanabebwa na vitu viwili population na GDP ... uchumi wa mwanza uko na diversity kubwa ukilinganisha na Arusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Fishing (90 % ya export ya samaki inatoka mwanzaInteresting stories,Mwanza iko diverse How?
Arusha kuna fursa za kilimo,biashara,services,tourism at large,mining and forests
CYO kweli usemayo kwahiyo Moshi pakisha jengwa Uwanja Arusha kujenga Tena Uwanja Ni dhambi eeh acha unafki hoja Haina mashiko ,Arusha Ni jiji very potential lazma iwe na Uwanja wa ndege wa kimataifa Tena mkubwa Africa nzima ili kusudi watalii wakija wanashukia direct Arusha ,km ambavyo wakienda Moshi wanashukia Moshi tatizo wivu u akusumbua bila shakawe utakuwa msukuma mshambah ,,,overKuhusu uwanja wa ndege ni kwamba haujengwi wa kisasa na mkubwa zaidi kwasababu ya uwepo wa KIA pale moshi. Ni sawa na mtu akilalamika kwanini pwani hapajengwi uwanja wa ndege wa kisasa ilihali uwanja wa aina hyohyo upo dar es salaam.
Kama zinaenda kujenga dar mbona hasira unaziweka mwanza? Mwanza ni jeshi la mtu mmoja halisubiri hela za wazungu km wavaa mashati makubwa ndo maana mnakaa kulialia, serikali iweke nguvu kwenye utalii we uipangie matumizi ya pesa??Acha uzumbukuku punguani mmoja inatosha kulitambua hili kwa kigezo Cha revenue ,and tax collection ,Arusha city Ni namba 2,baada ya Dar,na nyie mwanza kwanza Kilimanjaro tu inawakaribia bado kidogo Sana iwapite ,najua ukweli unaujua sema unajichetua Sasa jibu Ni hili izo mapato zote zinazokusanywa Arusha ,haziijengi Arusha ata tone je zinaenda kujenga wapi,Kama cyo dar,over