Kollebundle
Senior Member
- Nov 9, 2022
- 176
- 109
- Thread starter
- #201
Pole y'ako najua linawauma saana Arusha na moshi kuungana kuform ,the Arusha republic sababu mtakosa kujichotea revenue natax zinazoenda kujenga dar flyo over,barabara,bridges Hadi uswahilini kila kukicha sehemu ambalo hapana potential yeyote Tanzania hii zaidi yajua kalii ,joto Kali tu halafu sehemu potential km Arusha na Moshi pako vile vile tangu tupateuhuru Sasa iyo iyo elimu tuliyoipata imetukomboa km ww bado kanywe sumu ,Ila we na iyo serikali y'ako ya kibaguzi ya mkoloni mweusi mtake mctake iwaume isiwaume tuna form ,the Arusha republic imeishaaaah iyiooh overNaona ego anafanya kazi yake sio wewe, nakuomba muombe mhamie Kenya mtaishi kwa amani. Huko wanatambua haki zao. Ingia roads kuziomba mangi mbona unaongelea mtandaoni. Wewe mjanja umesoma una hela unafanya biashara kubwa kubwa tu na kila dunia upo sehemu yoyote. Nadhani hata sayari ya Jupiter mpo huko mnapigana. Hamieni huko tuacheni nchi yetu vyasaka na vishoia bana.
Mnatusumbua mno mlijua wengine hawatasomaga milele enzi umeme unapelekwa mpaka mgombani eti tumesoma kumbe mlifurahia kupendelews na viongozi wenu waliowekwa saivi wasomi nyomi adi kuku akasoma hakuna Tena unadai haki zako.
Huko mtwara unajua Wana shule ngapi,kigoma unajua wanafunzi ama wamama wajazito wanajifungulia mazingira gani. Ama upo na USA yako