Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Kama Ndio tunatengwa na kubaguliwa kiasi hiki itabidi tuizindue Republic of Arusha (USA)~United state of Arusha tujitegemee vizuri na Resources zetu za Arusha zinatutosha kabisa km serikali inatuhujumu kias hiki ,inakuwaje jiji la KITALII km wanavyo liita hata uwanja wa ndege wa kimataifa hakina lakini wakati huo huo viwanja vya ndege vinajengwa mikoa mingine kila kukicha hata stendi ,tu ya kisasa hakuna Ila Cha ajabu stendi inajengwa singida ,Arusha the hub of tourism panapotezewa tangu Uhuru mpaka Sasa km vile hawapaoni mwisho utafika tu tumechokaaa sisi

Nakuambia, resources zetu ndio zinajenga kwengine including zenji. Niliwahi kuwaza kwamba kwakweli sisi watu wa arusha hatuhitaji chochote kutoka kwingine tuendele. Tuna enough brain power and skilss kuendeleza kwetu. Natamani hata leo tungetoka Tanzania. Tunaongozwa na watu wa hovyo.
 
Arusha maeneo yote wanayoringia hayapo mkoani kwao.

Walikuwa wanaringia Tanzanite na Mererani hili eneo lipo wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara

Walikuwa wanaitaja Serengeti hii mbuga ipo Mkoa wa Manyara, Mara na Simiyu.
Sasa hivi mageti ya kuingia hifadhini yanafunguliwa Simiyu, Mara.
Pakijengwa uwanja wa kisasa wa Ndege Mwanza ujue Arusha inazikwa.
Kwa sababu ni karibu zaidi kutoka Mwanza kwenda Serengeti kuliko Arusha.

Mlima Kilimanjaro upo mkoa Mwingine yaani Moshi.

Hivyo unagundua Arusha itazidi kunywea baada ya miaka 15 ijayo.

Watake wasitake

Labda wewe ndio unywee. Tumeendelea kabla yenu ; na huwezi kubisha hilo. Na tutazidi kuendelea. Washamba nyinyi
 
CYO kweli usemayo kwahiyo Moshi pakisha jengwa Uwanja Arusha kujenga Tena Uwanja Ni dhambi eeh acha unafki hoja Haina mashiko ,Arusha Ni jiji very potential lazma iwe na Uwanja wa ndege wa kimataifa Tena mkubwa Africa nzima ili kusudi watalii wakija wanashukia direct Arusha ,km ambavyo wakienda Moshi wanashukia Moshi tatizo wivu u akusumbua bila shakawe utakuwa msukuma mshambah ,,,over
Kutoka KIA hadi Arusha mjini ni drive ya 45Minutes hakuna haja ya International Airport Arusha
 
Pole y'ako najua linawauma saana Arusha na moshi kuungana kuform ,the Arusha republic sababu mtakosa kujichotea revenue natax zinazoenda kujenga dar flyo over,barabara,bridges Hadi uswahilini kila kukicha sehemu ambalo hapana potential yeyote Tanzania hii zaidi yajua kalii ,joto Kali tu halafu sehemu potential km Arusha na Moshi pako vile vile tangu tupateuhuru Sasa iyo iyo elimu tuliyoipata imetukomboa km ww bado kanywe sumu ,Ila we na iyo serikali y'ako ya kibaguzi ya mkoloni mweusi mtake mctake iwaume isiwaume tuna form ,the Arusha republic imeishaaaah iyiooh over
Duu haya bana. Jeshi si la kwako ingia msituni kamanda,ujenge legacy Kama akina ya savimbi
 
We mjinga usifikir km nyie uko usukumani kwenu mna mentality za uwogo Ndio mkafikiri ata watu wa Arusha wenye IQ kubwa Africa pia Ni waoga km nyie kwataarifa yako sisi watu wa kaskazini ukiitoa Tanga cyoh waoga Wala hatunaga roho ya uwoga sisi Ni ma soldiers Arusha na moshi hatuogopagi mtu anaitwa binadamu anayetembea km sisi ,Wala hatuogopagi kitu inaitwa risasi,bomu izo vitu kwetu tunaziona Ni takataka zinapotumika kutuzuia kufanya tunachokitaka iwapo tutakuwa tumeamua kufanya Jambo letu huwa hakunaga anayeweza kutupinga kwahiyo we kichwa maji na iyi serikali y'ako ya kibaguzi ya mkoloni mweuc msifikir kuwa ety mtaweza kutuzima kwa matisho ya ivyoh vi askari kanzu vyenu ambavyo hata huku mitaani tunavibomoa tu km kawa havina madhara wenyewe wanalielewa vagi letu tukiamua kuliamsha hawana uwezo wa kutusogelea na wakijaribu tunawafanya bucha na mto wa Damu,,,afu nikupe taarifa tu km hujui cyotujaribu tayari tumesha jaribu na hakuna aliye thubutu kutuzuia na hakuna mtu anaitwa binadamu au takataka yoyote inaitwa risasi,bomu inayowezakutuzui watu wa Arusha na Moshi kuform ,serikali yetu ya the Arusha republic (USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA ,UTake ctake Sawa Sawa eeeh
Dogo chuga tumekaa sana.

Afu punguza wenge, fanya kitu basi ka Majaliwa ukatoe povu lako bungeni huenda waTizii wakakuelewa huko

Umeisaidia nn chuga kimaendeleo hadi sasa hapa jf

Dogo wa ovyo sana ww kakojoe ulale
 
Ni kwasababu SERIKALI inaihujumu Arusha na kuichukia tu bila sababu za msingi Ndio maana haioni haibu kwenda kujenga Stendi mpya singida,chato,na kuiacha Arusha the second City kwa tax and revenue collector hivi kweli hii inaingia Akilini na badala yake SERIKALI inachojua Ni kukusanya mapato Arusha kwenda kujenga flyover,barabara dar na mwanza hatutakubali Tena tumechoka kuhujumiwa hatuoni wivu sehemu zengine kujengwa tunachoumia Ni Kwanini Wanatubagua Arusha pekee ake alafu ukizingatia Ni jiji potentially duniani ,na ki resources na kimapato ,ingetakiwa Arusha kuwe na stend kubwa ya kimataifa na Uwanja mkubwa wa kimataifa ili kusudi watalii wakitoka makwao wanashukia moja kwa moja Arusha na cyo kweli kuwa SERIKALI inashindwa kujenga Uwanja wa ndege wa kimataifa Arusha na Stendi kwa sababu mbona panaendelea kujengwa sehemu zengine lakin Arusha pekee ake Ndio panabaguliwa na kutengwa km vipi Kuna haja ya sisi kuunda Arusha republic ikiwa SERIKALI inaendelea kututenga ili tuijenge Arusha wenyewe
Punguza matumizi ya ule mmea korofi dogo

Haibu ndo kitu gani? Typing error(s) sote tunazijua acha ujuaji wa kusimuliwa

Pambana ka Majaliwa

Bangi wengine hazitufai tuachane nazo
 
Kutoka KIA hadi Arusha mjini ni drive ya 45Minutes hakuna haja ya International Airport Arusha

Kujenga Airport ya kisasa A town ni muhimu.

Air strip iliyopo sasa hivi ni ndogo sana. Mimi ninaishi hapa Burka jirani kabisa na Arusha air strip. Ninafahamu hili.

Wageni wanaotua KIA halafu waje A town hiyo si sawa sana.

Fikiria hili, kutoka KIA hadi hapa Arusha mgeni inabidi atoe 50 dollars kwa InDriver au huduma nyigine ya usafiri.
 
CYO kweli usemayo kwahiyo Moshi pakisha jengwa Uwanja Arusha kujenga Tena Uwanja Ni dhambi eeh acha unafki hoja Haina mashiko ,Arusha Ni jiji very potential lazma iwe na Uwanja wa ndege wa kimataifa Tena mkubwa Africa nzima ili kusudi watalii wakija wanashukia direct Arusha ,km ambavyo wakienda Moshi wanashukia Moshi tatizo wivu u akusumbua bila shakawe utakuwa msukuma mshambah ,,,over
Kubali au kataa,lakini ukitaka kujua hyo ndyo pointi kwanini hayo masuala hayajawahi kulalamikiwa popote?.Ni kweli Arusha inastahili hayo yote unayoyalalamikia lakini ukienda pale mwanza stendi zote mbili,yaani nyegezi na buzuruga hazina utofauti na hyo ya Arusha kwasababu mm naona suala ni watu wajue stendi ilipo na wapate huduma ya usafiri
 
Kubali au kataa,lakini ukitaka kujua hyo ndyo pointi kwanini hayo masuala hayajawahi kulalamikiwa popote?.Ni kweli Arusha inastahili hayo yote unayoyalalamikia lakini ukienda pale mwanza stendi zote mbili,yaani nyegezi na buzuruga hazina utofauti na hyo ya Arusha kwasababu mm naona suala ni watu wajue stendi ilipo na wapate huduma ya usafiri

Sasa dada unaona sawa bus station ya mwanza kuwa mbovu?

Namna yako yakufikiri ina mawaa.

As long serikali inakusanya kodi basi haina budi wajenge bus station inayokidhi viwango.

Inamaana waTz tumekuwa namna hii? Umasikini na huduma mbovu tunaona sawa tu?
 
Unaishi chuga ya mchongo mbanga mmoja ww bila shaka we ni MR,MSUKUMA WA BUJORA MOJA HATUKUTAMBUI ARUSHA SISI NENDA KANYIE ZIWA VICTORIA HUKO SABABU NDIO TABIA ZENU WANAUME KWA WANAWAKE KUNYIA ZIWA VICTORIA ,Narudia Tena msukuma hata apate elimu ya degree 100999999kamwe hawez kuwa curious na kuzitambua haki zake kawhiyo hunisumbui mshamba mmoja ww kanywe sumu ufie mbele km inakuuma Moshi na Arusha kuform republic Sawa
Nilidhani mmojawapo kumbe likewise, shame on you mazer duck!.

So itisheni kikao cha wanachuga wote muondoena kuwafukuza wananchi wote wasio wazawa wa arusha.

Unataka kufanya arusha haiwezi kukaliwa na kete kama wewe, bullshit!.
 
Wadau naombeni mnisaidie majibu Ni Kwanini Kila kitu ARUSHA CITY huwa inahujumiwa kwa maksudi kabisa ikiwemo,miradi ya maendeleo kama Stendi ya mabasi, Uwanja wa kisasa wa ndege, na mengine mengi na ukiangalia ARUSHA CITY Ndio city namba 2 kwa tax revenue collector baada ya Dar city na Ni sehemu unique ambayo Ni POTENTIAL yenye Resources Adimu sana Sana kwa nchi hii hata Mwanza haikaribii ARUSHA kimapato hata kidogo nadhani hili mwalifahamu uzuuri.

Natumai mu wazima nyote humu ndani poleni na majukumu , Naomba mrejee kichwa Cha habari hapo juu hiyo Ndio mada lengwa hivyo kwa leo naomba nianze na issue ya TAKWIMU (metro area population ya Arusha city Uki search Google itakuja na kuleta idadi ya watu 519,000, yaani idadi hii inayoleta Ni idadi ya watu ya ARUSHA DC tu yaani wilaya moja tu, Kati ya wilaya zote 7, Yaani siku zote uki-search na ukitafuta data population ya Arusha city sehemu yeyote ile utaletewa jumla ya idadi ya watu hao laki 519,000 ambayo ni ya wilaya moja tu ya ARUSHA DC, lakin idadi nyingine ya watu ya hizo wilaya 7 zingine za Arusha city huwa zinaachwa pembeni hazijumlishiwi na hizo idadi za ARUSHA DC ambazo ni laki 519,000 ili kuleta idadi kamili ya metro area population ya Arusha city km inavyofanywa kwa majiji mengine km Mwanza ,au Dar Sasa huwa najuiliza Kwanini ni Arusha city pekee yake metro area population yake huwa inachukuliwa ya wilaya moja tu ya Arusha DC na kuachwa wilaya zengine 6, lakini ukiangalia City Kama Zanzibar, Dar, Mwanza na majiji mengine Metro area population yake haichukuliwi ya wilaya moja tu zinachukuliwa idadi za watu kutoka wilaya zote ili kuleta jumla kamili ya metro area population ya Mwanza, Dar na Zanzibar city na majiji mengine lakini kwa ARUSHA ni tofauti Ndio maana naona wazi ARUSHA CITY inahujumiwa Sana tu na SERIKALI na pia watu wenye wivu na ARUSHA CITY ili tu kusudi isiwe na maendeleo isipate wawekezaji lakini mbinu zote izo za hujuma za kuihujumu ARUSHA hazitafanikiwa Sababu ARUSHA resources zake za ku attract wawekezaji wa KITALII zinaonekana kwa macho bahati nzuri hao watu wenye nia ya kuihujumu ARUSHA CITY watashindwa kuzificha Wealth resources ambazo zinaonekana kwa macho na zitafanya wawekezaji waje ARUSHA kuwekeza kwenye sekta ya UTALIII na nyinginezo watake wasitake pamoja na kwamba wanafanya hujuma kila kukicha kuihujumu ARUSHA CITY kimaksudi na kuipaisha MWANZA

NA SASA HIVI WAMEANZA KUIPASHA ZANZIBAR KWA TAKWIMU za uwongo ili ety Zanzibar population ionekane ina population kubwa kuliko ARUSHA CITY, icho Ni kitu ambacho HAKIWEZEKANIKI hata kwa dawa Zanzibar ikawa na population kubwa kuliko ARUSHA CITY ispokuwa kwa watu ambao wanafkiria bila kutafakari wataliamini hili ,yaani kusema eti kwa sasa ZANZIBAR NDIO CITY Ipo mbele ya ARUSHA CITY kwa wingi wa watu huo Ni UONGO mkubwa Kama ambavyo mtu atasema kwa sasa Geita Ndio mkoa wenye idadi kubwa ya watu kuliko DAR ES SALAAM, Lakini kwa Mimi nahisi malengo ya hujuma hii kwa ARUSHA CITY Ni ya kupangwa hayajaanza leo kitambo Sana kutokana na uchunguzi niliofanya yakinifu Ni kama nilivyo elezea Apo juu ingawa ningependa pia kusikiza maoni yenu Kwanini ARUSHA CITY inahujumiwa tukianza na issue ya TAKWIMU za uwongo za metro area population hii inatokea kwa ARUSHA CITY pekee ake huwezi kukuta mkoa au City nyingine imewekwa metro area population total ya hujuma/uwongo Kama nilivyo hainisha Apo juu ,ila wadau naombeni tulenge mada tusiende opposite Mimi Ni mtanzania halisi baba yañgu Mtanzania mama mtanzania pia Nawasilisha.

View attachment 2412647
1668187288188.png
 
Tatizo ni siasa, Arusha miaka mingi imekuwa ikionekana kama jiji la upinzani, hivyo serikali ya CCM huacha kupeleka maendeleo makusudi ili wapinzani waonekane hawana msaada wowote kwa wananchi.
Na hawata amini macho yao wakizingua tunatebgeneza taifa letu la kasikazini
 
Nyie mko wachache 😂😂😂sana hata population ya miaka ijayo mtabaki 2mil kamili..serikali ndo imejenga mji huo hamna kitu cha asili zaidi ya kujifanya nyie na Kilimanjaro ni mkoa mmoja.
Acha kukariri Geneva ya africa ni arusha giving unajua kwanini aicc imewekwa chugah??au kwanini arusha imeitwa Geneva of africa??
 
Geneva Of Africa

Tatizo la watu wa Arusha ni kuichukulia Arusha km Nchi sio Arusha km Mkoa

Arusha sio Nchi mkiondoa hio mentality soon mtapata maendeleo ila mkibaki na hio mentality mtapitwa hata na Lindi sio Zanzibar tu,
Wewe ndo hujui arusha inakuja juu sana.
 
Back
Top Bottom