Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Serikali imeshindwa kutoa hata basic needs hapa Arusha, kama vile barabara, maji, umeme, hospitali zenye vifaa tiba lakini pia vitendea kazi katika shule zetu.

Haya mambo hatuyachukulii kirahisi rahisi.

Wewe unatembea ukiwa umefumba macho na masikio yako?

Hoja yako ya population ya 500k haina mantiki yoyote. Ujinga ujinga tu.

Huduma bora LAZIMA hata kama watu ni wachache, ilimradi inayojiita serikali inachukua pesa kwa wananchi aka kodi.

Haya tuendelee kujadili kwa akili dada.

Nasubiri majibu yako.
Huduma mnazotaka hata huko Namtumbo, wanazihitaji. Arusha mna mapato ya ndani sidhani kama ni busara kulilia vifaa tiba?
 
Mbona mnasahau Mwanza ilivyonyanyaswa na majengo ya kimahame( kolokoloni)airport Mwanza ya tangu 1956, mbona wananchi wa huko hawasemi.Arusha imebebwa mno tangu enzi za mwalimu angalia KIA,EAC,Maji, barabara mbili, Mahoteli, Lango la kuingia Serengeti liko Arusha pia. Dar,Dodoma na Zanzibar ni majiji yamepaa yenyewe. Hata hivyo Tuache ukanda hauna tija.
Wewe hujui dar imejengwa kwa pesa za mikoa hii arusha,mwanza,moshi sasa hivi itajengwa dodoma dar itakuwa ya pili,dodoma wanaenda kushikilia taifa
 
😂😂😂Hata bunge lipo dodoma kweny ukame ...kuwa na akili eti kwa nn? Mbona hapana ikulu hata ndogo
Wewe ikulu haiwezi kukaa arusha kwa sababu arusha imepakana na kenya,ikulu inatakiwa ikae katikati ya nchi kwa masuala ya ulinzi,ndo maana mikoa yote iliyopo pembezoni mwa nchi lazima kuwe na kambi ya jeshi ili kusaidia taifa linapovamiwa
 
Acha mipasho basi dada.

Nini shida?

Hebu tujadili serikali kupuuza Arusha. Hilo ndiyo lengo la mtoa mada. Na mimi kama mwananchi wa United States of arusha nasema anayo hoja.

Sasa wewe badala yakuunga mkono lakini pia hapo hapo kuchomekea changamoto zilizopo hapo Dar unajisahau unaanza kulegeza sauti na kuacha mapaja wazi.
Sasa si mfanye muondoke hapa dar muende kwenu au mnataka Yale mauaji ya kimbali...Tuwatafute tukiona meno ya kuoza ni mwendo wa parungu tu ...fanyeni muondoke maana watu wa ajabu sana jua lote mnavaa majackets Tena kweny mwendokasi ..😂😂😂

mji una idadi ndogo ya watu kumbe mko ugenini mkirudi kweny mnaweza kufika hata 3mil .ila hamtaki.

Kiuhalisia mji Mimi bila ya bahari hata ziwa moja siwezi kukubali sijui wanyama pori sina time nao na milima nije kutoka vigimbi vya miguu vya nn?

Rudini kwenu joto lipungue hapa Town.
 
Wewe ikulu haiwezi kukaa arusha kwa sababu arusha imepakana na kenya,ikulu inatakiwa ikae katikati ya nchi kwa masuala ya ulinzi,ndo maana mikoa yote iliyopo pembezoni mwa nchi lazima kuwe na kambi ya jeshi ili kusaidia taifa linapovamiwa
😂😂😂😂Mna potential gan? Zaidi na zile mmejenga nying vil vyuo vyote bado population ni ndogo yaani watu waliomaliza mji haufai wanasepa ...mkoa gani hauna potential mpaka hata top ten hauingii kweny most populous regions in Tz.

Mapato ni hizo kampuni ambazo ni sera ya serikali kufanya kuwa sehemu ya utalii ..wananchi mnakimbilia either dar au Nairobi pesa ni ngumu iko kwa watu wachache ...Haina impact kwa mtu mmoja mmoja Maisha yapo juu...hata samaki mnawajua nyie?😂😂😂bado mjini wamasai wanatembea matako yako wazi yaani vioja kabisa.
 
Kama Ndio tunatengwa na kubaguliwa kiasi hiki itabidi tuizindue Republic of Arusha (USA)~United state of Arusha tujitegemee vizuri na Resources zetu za Arusha zinatutosha kabisa km serikali inatuhujumu kias hiki ,inakuwaje jiji la KITALII km wanavyo liita hata uwanja wa ndege wa kimataifa hakina lakini wakati huo huo viwanja vya ndege vinajengwa mikoa mingine kila kukicha hata stendi ,tu ya kisasa hakuna Ila Cha ajabu stendi inajengwa singida ,Arusha the hub of tourism panapotezewa tangu Uhuru mpaka Sasa km vile hawapaoni mwisho utafika tu tumechokaaa sisi
Kwani KIA hawaitoshi? Uwanja wenu terminal inapanuliwa, kweli unataka kila mkoa uwe na International Airport? Yaani at proximity ya 40km tuwe na International Airport nyingine?
 
Wacha uongo, muijenge DAR mje mlilie serikali kuwabagua maendeleo?????
sasa ndo utaona omba MUNGU akupe miaka mingi uliuone kwa macho yako dar inaenda kuwa jehanamu ya tanzania,kwanza shughulikieni tatizo la maji,napoteza mda wangu kwa watu hawajaoga week nzima,hivi leo umekunywa maji??sasa najiuliza chooni mnachambaje au mnatumia makaratasi??ndo maana kariakoo pana nuka mavi
 
sasa ndo utaona omba MUNGU akupe miaka mingi uliuone kwa macho yako dar inaenda kuwa jehanamu ya tanzania,kwanza shughulikieni tatizo la maji,napoteza mda wangu kwa watu hawajaoga week nzima,hivi leo umekunywa maji??sasa najiuliza chooni mnachambaje au mnatumia makaratasi??ndo maana kariakoo pana nuka mavi
Mimi nipo Chugaa, na sasa hivi nimesogea hapa kokorikoo
 
Wewe jamaa ni mjinga mno. Kajifunze kwanza maana ya district, region & city. Kwahiyo unataka wilaya za Ngorongoro, Monduli, Karatu, Longido na Arumeru zihesabike ziko ndani ya jiji la Arusha? Ni akili zako au bangi? Halafu Arusha kupata maendeleo ni ngumu kwasababu hapo viongozi wameendekeza majungu. Utakuta mara Mbunge ana bifu na Mkurugenzi wa jiji, au saa nyingine RC. Yaani viongozi wa juu wote wa Arusha hawako kitu kimoja. Miaka ya nyuma tulidhani ni upinzani ila kwasasa hali ndo mbaya baada ya kuwa CCM watupu wasioelewana.

Sasa wewe dada hao wanaojiita viongozi wakiserikali wanamuhusu nini mtoa mada?

Hao ndiyo hawatakiwi. Wanakusanya pesa za wananchi kwa wanachokiita kodi lakini bado huduma mbovu kama tupo mwaka 60.

Kama bado hujanielewa, nikusaidie. Huyo uliyemuweka kwenye picha yako yeye pia ni sehemu ya tatizo.
 
😂😂😂😂Mna potential gan? Zaidi na zile mmejenga nying vil vyuo vyote bado population ni ndogo yaani watu waliomaliza mji haufai wanasepa ...mkoa gani hauna potential mpaka hata top ten hauingii kweny most populous regions in Tz.

Mapato ni hizo kampuni ambazo ni sera ya serikali kufanya kuwa sehemu ya utalii ..wananchi mnakimbilia either dar au Nairobi pesa ni ngumu iko kwa watu wachache ...Haina impact kwa mtu mmoja mmoja Maisha yapo juu...hata samaki mnawajua nyie?😂😂😂bado mjini wamasai wanatembea matako yako wazi yaani vioja kabisa.
Sasa hapo kwenye kutembea uchi 😅😅😅😅 dada zenu wanatembeaje???kweli nyani haoni kunduleee
 
Huduma mnazotaka hata huko Namtumbo, wanazihitaji. Arusha mna mapato ya ndani sidhani kama ni busara kulilia vifaa tiba?

Unataka mwananchi ajinunulie vifaa tiba akienda hospitali iliyojengwa kwa pesa za kodi yake?

Mantiki yako ni nini?

Acha ujuha, watu wote wakiserikali mimi usinihusishe nao.

Si ndiyo hao wameshindwa kutoa basic needs?

Mapato ya ndani my ass, si ndiyo hizo pesa hao watu wa serikali wanaziiba kila siku?

Hao si watu wetu
 
Wacha uongo, muijenge DAR mje mlilie serikali kuwabagua maendeleo?????
😂😂😂mnavaa mashuka matatu ila bado makalia yako nje...
Kwa taarifa yako kama hujui,mimi ni maasai,ngoja nikuambie kwanini wamasai hawavai masuruale ya jeans,mwanaume anatakiwa kutokuvaa vitu vya kumbana nyeti zake,ili mashine ipumue na ikue zaidi,ndo maana wanavaa mashuka,na wamasai wanamashine hatari,sasa wewe upo dar joto kali bado unavaa boksa inabana uume wako,hivi siutakuwa kibamia tu 😆😆😆 ndo maana mnafangasi kwa sababu ya joto kali
 
Kwa taarifa yako kama hujui,mimi ni maasai,ngoja nikuambie kwanini wamasai hawavai masuruale ya jeans,mwanaume anatakiwa kutokuvaa vitu vya kumbana nyeti zake,ili mashine ipumue na ikue zaidi,ndo maana wanavaa mashuka,na wamasai wanamashine hatari,sasa wewe upo dar joto kali bado unavaa boksa inabana uume wako,hivi siutakuwa kibamia tu 😆😆😆 ndo maana mnafangasi kwa sababu ya joto kali
👉😂😂😂Na bado kabisa niache kuvaa mikito ya maana nivae mashuka ambayo hata ukipiga perfume inadunda unabaki unanuka maziwa kama kitoto cha kondooo...Hata week huku town huwezi kuvaa Yale mashuka kama mganga wa radi mpaka ukirudi porini kwenu.

Na zile ngeu mbona meno ya mbele hamna ?
 
Wacha uongo, muijenge DAR mje mlilie serikali kuwabagua maendeleo?????
Shughulikieni tatizo la maji ndo mje huku kutupigia kelele,maji ya nawashinda lakini bado mnasema dar panzuri,miundo mbinu ya maji hauna ndo maana kipindi cha mvua mnafungulia vyoo,ebu tatueni maji
 
Back
Top Bottom