Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Sasa si mfanye muondoke hapa dar muende kwenu au mnataka Yale mauaji ya kimbali...Tuwatafute tukiona meno ya kuoza ni mwendo wa parungu tu ...fanyeni muondoke maana watu wa ajabu sana jua lote mnavaa majackets Tena kweny mwendokasi ..[emoji23][emoji23][emoji23]

mji una idadi ndogo ya watu kumbe mko ugenini mkirudi kweny mnaweza kufika hata 3mil .ila hamtaki.

Kiuhalisia mji Mimi bila ya bahari hata ziwa moja siwezi kukubali sijui wanyama pori sina time nao na milima nije kutoka vigimbi vya miguu vya nn?

Rudini kwenu joto lipungue hapa Town.

Huduma bora za kijamii Arusha hiyo ni lazima.

Kama serikali inakusanya kodi basi LAZIMA irudishe fedha kwa wananchi wa sehemu husika kwa njia ya miradi ya kijamii.

Unanielewa lakini dada?

Tatizo lako unakiherehere. Lakini pia unamzuka sana hadi unakosa utulivu. Soon jirani yako atakuomba game.
 
👉😂😂😂Na bado kabisa niache kuvaa mikito ya maana nivae mashuka ambayo hata ukipiga perfume inadunda unabaki unanuka maziwa kama kitoto cha kondooo...Hata week huku town huwezi kuvaa Yale mashuka kama mganga wa radi mpaka ukirudi porini kwenu.

Na zile ngeu mbona meno ya mbele hamna ?
Kila kabila linatamaduni zake,meno ya mbele kutokuwepo ni tamaduni siku ukikua mkubwa utaelewa,siwezi kupa siri hii wewe bado mtoto nitakuova dozi
 
Huduma bora za kijamii Arusha hiyo ni lazima.

Kama serikali inakusanya kodi basi LAZIMA irudishe fedha kwa wananchi wa sehemu husika kwa njia ya miradi ya kijamii.

Unanielewa lakini dada?

Tatizo lako unakiherehere. Lakini pia unamzuka sana hadi unakosa utulivu. Soon jirani yako atakuomba game.
😂😂😂 Tatizo hoja hazina mashiko angalia hata viongozi wenu mara mbunge na mkuu wa mkoa hawapatani...mara sijui mkurugenzi na mbunge hawapatani ...nyie asili yenu ni ovyo kabisa ujuaji ila brain zero
 
Sasa wewe dada hao wanaojiita viongozi wakiserikali wanamuhusu nini mtoa mada?

Hao ndiyo hawatakiwi. Wanakusanya pesa za wananchi kwa wanachokiita kodi lakini bado huduma mbovu kama tupo mwaka 60.

Kama bado hujanielewa, nikusaidie. Huyo uliyemuweka kwenye picha yako yeye pia ni sehemu ya tatizo.
Kwanza kabisa wewe shoga elewa mimi sio dada. Wewe ni mkaguzi wa jinsia za watu humu? Arusha mnajihujumu wenyewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Tatizo hoja hazina mashiko angalia hata viongozi wenu mara mbunge na mkuu wa mkoa hawapatani...mara sijui mkurugenzi na mbunge hawapatani ...nyie asili yenu ni ovyo kabisa ujuaji ila brain zero

Wewe kenge unajichekesha nini hasa?

Au wewe ni mental case?

Unasema viongozi wangu?

Unaakili timamu wewe?

Hao unawaita viongozi ndiyo wameshindwa kutumia pesa za wananchi zinazotokana na kodi kuweka miundombinu ya Arusha sawasawa.

Pengine huelewi sana mantiki ya uzi huu.

Unataka nikuchape viboko vya matako unielewe?
 
Kwanza kabisa wewe shoga elewa mimi sio dada. Wewe ni mkaguzi wa jinsia za watu humu? Arusha mnajihujumu wenyewe.

Arusha inahujumiwa na genge la watu wanaojiita viongozi wa kiserikali.

Hauwezi kataa hilo dada.

Hubu fikiria hili, hao wanaoitwa viongozi wa kiserikali wanakusanya billions of shillings lakini bado miundombinu ni dhaifu. Au wewe unaona sawa tu?

Kingine, mimi sikuchukii dada, ungekuwa tu mstaarabu ungesema una mume tayari.
 
😂😂
Wewe kenge unajichekesha nini hasa?

Au wewe ni mental case?

Unasema viongozi wangu?

Unaakali timamu wewe?

Hao unawaita viongozi ndiyo wameshindwa kutumia pesa za wananchi zinazotokana na kodi kuweka miundombinu ya Arusha sawasawa.

Pengine huelewi sana mantiki ya uzi huu.

Unataka nikuchape viboko vya matako unielewe?
 
Wajinga sana!! Mkivuta bangi mnajiona ninyi si watanzania 😂😂 ninyi mtabaki bongo na hamchomoki tutaenda na nyie hivyo hivyo hata kama bangi zimeshawaboa ubongo.
Hata mtungananie VP we pamoja na iyo serikali y'ako ya kibaguzi ya mkoloni mweusi hatuwatambui na sisi watu wa Arusha na Moshi pia hatuitambui iyo serikali yenu ya kibaguzi sisi tayari tumesha ungana Ni nchi moja ,ndani ya ,the Arusha republic (USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA ,hii Ndio serikali yetu tunayoitambua iyo nyingine Ni ya mkoloni mweusi anayelazimisha kututawala lakini ataelewa tu soon ,dunia itaitambua ,the Arusha republic km serikali inayojitegemea mtake mctake sisi tumeshaikataaga iyo serikali yenu ya kibaguzi pia Wala hatuitambui
 
Arusha inahujumiwa na genge la watu wanaojiita viongozi wa kiserikali.

Hauwezi kataa hilo dada.

Hubu fikiria hili, hao wanaoitwa viongozi wa kiserikali wanakusanya billions of shillings lakini bado miundombinu ni dhaifu. Au wewe unaona sawa tu?

Kingine, mimi sikuchukii dada, ungekuwa tu mstaarabu ungesema una mume tayari.
Uyo atakuwa kagugu ya hao wakoloni weuc watakuwa Wana mbanjua watakavyo Ndio maana anawatetea mabwana zake kwahiyo mpotezee akili yake cyo curious
 
Hizi ni fantasy tu. Arusha kuna shughuli nyingi za uchumi kuliko Mwanza. Ndiyo maana wanalipa kodi kubwa kuliko Mwanza kwa karibu mara 2.

Arusha ni more metropolitan kuliko Mwanza. Mwanza washamba ni wengi mno hadi kero
Hayo mapato mbona hayawaletei maendeleo mpaka mnakuja kulilia na Njombe fadhila za serikali kuu?
Hata mtungananie VP we pamoja na iyo serikali y'ako ya kibaguzi ya mkoloni mweusi hatuwatambui na sisi watu wa Arusha na Moshi pia hatuitambui iyo serikali yenu ya kibaguzi sisi tayari tumesha ungana Ni nchi moja ,ndani ya ,the Arusha republic (USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA ,hii Ndio serikali yetu tunayoitambua iyo nyingine Ni ya mkoloni mweusi anayelazimisha kututawala lakini ataelewa tu soon ,dunia itaitambua ,the Arusha republic km serikali inayojitegemea mtake mctake sisi tumeshaikataaga iyo serikali yenu ya kibaguzi pia Wala hatuitambui
Hata sisi ni Wakaskazini, huu upuuzi baki nao wewe na familia yako.
 
Acha kukariri Geneva ya africa ni arusha giving unajua kwanini aicc imewekwa chugah??au kwanini arusha imeitwa Geneva of africa??
Uyu wakukurupuka kwanza hajui anachoongea Wala haijui Arusha kwa akili zake alizonazo hawez jua kuwa Arusha Ni moja ya potentialy very unique duniani
 
Hayo mapato mbona hayawaletei maendeleo mpaka mnakuja kulilia na Njombe fadhila za serikali kuu?

Hata sisi ni Wakaskazini, huu upuuzi baki nao wewe na familia yako.
We ni mkaskazini wa mchongo watu wa kaskazini tunajuana hata kwa kuchati tu bila kuonana live kwahiyo bila Shaka ww Ni mr,msukuma mshamba mmoja wa bujora mwanza kwahiyo hata msukuma apate elimu ya degree 600000,kamwe hawez kuwa curious Wala kuzitambua haki zake kwahiyo nyie hamtusumbui tunawafahamu
 
We ni mkaskazini wa mchongo watu wa kaskazini tunajuana hata kwa kuchati tu bila kuonana live kwahiyo bila Shaka ww Ni mr,msukuma mshamba mmoja wa bujora mwanza kwahiyo hata msukuma apate elimu ya degree 600000,kamwe hawez kuwa curious Wala kuzitambua haki zake kwahiyo nyie hamtusumbui tunawafahamu
Wa Kaskazini hatuna mambo ya kishamba, kuhubiri ukanda kwa nyakati hizi kumeishapitwa na wakati. Hiyo USA itaishia hapa hapa Jamii forum.
 
Wajinga sana!! Mkivuta bangi mnajiona ninyi si watanzania 😂😂 ninyi mtabaki bongo na hamchomoki tutaenda na nyie hivyo hivyo hata kama bangi zimeshawaboa ubongo
tumeshawaambia
sisi kitambo hatuitambui iyo serikali yenu ya mkoloni mweusi sisi tunaitambua serikali moja tu ya the Arusha republic (USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA ,nchi ya muunganiko wa Moshi na Arusha sababu hata tokea ukoloni ilikuwa Ni moja Ni hii serikali yenu ya kikoloni ndiyo ilitutenganisha na Hilo sisi tunalijua vyema Ndio nikatangulia kusema Arusha na Moshi Ni ndugu wa Damu tokea awali mnaumia nn sisi kuungana kuwa na jamhuri yetu Ndio maana tumerudia asili yetu ya kuungan kuwa na jamhuri yetu wenyewe the Arusha republic ,imekuuma kunywa sumu ufie mbali

Wajinga sana!! Mkivuta bangi mnajiona ninyi si watanzania 😂😂 ninyi mtabaki bongo na hamchomoki tutaenda na nyie hivyo hivyo hata kama bangi zimeshawaboa ubongo.
Ndio kwani ulikuwa hujui sisi tuna nchi yetu under one republic of Arusha mbona tumeshawaambia sisi kitambo hatuitambui iyo serikali yenu ya mkoloni mweusi sisi tunaitambua serikali moja tu ya the Arusha republic (USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA ,nchi ya muunganiko wa Moshi na Arusha sababu hata tokea ukoloni ilikuwa Ni moja Ni hii serikali yenu ya kikoloni ndiyo ilitutenganisha na Hilo sisi tunalijua vyema Ndio nikatangulia kusema Arusha na Moshi Ni ndugu wa Damu tokea awali mnaumia nn sisi kuungana kuwa na jamhuri yetu Ndio maana tumerudia asili yetu ya kuungan kuwa na jamhuri yetu wenyewe the Arusha republic ,imekuuma kunywa sumu ufie mbali
 
Na hawata amini macho yao wakizingua tunatebgeneza taifa letu la kasikazini
Roho inamuuma sababu Arusha na Moshi tumesha ungana kuform the Arusha republic kwahiyo anaumia Yale mapato ambayo iyo serikali y'ao ya kibaguzi ya mkoloni mweusi imekuwa ikiyachota Arusha na Moshi kwenda kuijenga dar watakuwa hawayapati Tena Ila sisi tunawaambia mtake mctake muumie msiumie tumesha ungana tumeform the Arusha republic ,(USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA,OVER,OVER
 
Mwisho upi? Utafanya nini? Nani alikwambia wamepasahau? Nyie mmekaliaga ubinafsi tu Wala hamna lolote la maana, mmejaa ukabila na ubinafsi afu mnakuja kulalamika, mi ninafanya kazi na nyie hapa hapa Arusha miaka zaidi ya 10,na huko makwetu tulikotoka mmekuja mmepewa viwanja mmejenga na mnaishinna familia zetu lakini bado hua mna ubaguzi na roho za gubu, washenzi nyie tena mnapaswa mtengwe mpotelee mbali
Pole Sana Hilo usemalo kamwe halitawezekana na hakuna mtu yeyote atakaye jaribu kwani kwa huluka yetu sisi tuna umoja usio yumbishwa na tunamsimamo na hatumwogopi binadamu yeyote Yule ata abebe ,risasi,cjui nnn tutapambana nae kuikomboa Arusha Geneva of Africa sisi wenyew Ni ma soldiers uwezo ,Nia tunayo kuikomboa Arusha na huu ubaguz wa kijinga unaoiandama Arusha kila kukicha jibu Ni moja tu the Arusha republic (USA)~United state of Arusha over,soon Mungu yupo nasi ,over
 
Nakuambia, resources zetu ndio zinajenga kwengine including zenji. Niliwahi kuwaza kwamba kwakweli sisi watu wa arusha hatuhitaji chochote kutoka kwingine tuendele. Tuna enough brain power and skilss kuendeleza kwetu. Natamani hata leo tungetoka Tanzania. Tunaongozwa na watu wa hovyo.
Big up Ndio maana tumesha ungana Arusha na Moshi under one republic (USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA ,Sababu tokea ukoloni sisi tuliokuwa sehemu moja Ndio hii serikali ya kibaguzi ya huyu mkoloni mweuc kuja kututenga undugu wetu pumbafuuuh tumesha jiunga Tena under one republic ili kusudi tuzijenge Moshi na Arusha wenyew kwa resources zetu wenyew ili hii serikali ya kibaguzi ikose mapato ambayo imezoea kuyachota Moshi na Arusha na kwenda kuijenga dar mabarabara,flyover ,kila kukicha na huko Zanzibar alafu sisi tunachiwa manyoya yaani huu ni upuuzi usiolezeka pia Ni utaahira unaofanywa na hii serikali ya kibaguzi ya huyu mkoloni mweuc
 
Back
Top Bottom