Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Chomoa ujambe huko shoga ww usa ya nyoko
 
Kajambe mbele
 
 
Kwa hyo unatak kisemaje😀😀😀😀nyiemkipewa hiko kimkoa chenu sekal itakuta kimeshauzwa kenya kila mtu katambaa na mia😀😀😀nmeelewa kwa nn nyie hamfai kupewa nchi
 
Wana ionea wivu dar..nmepangwa kaz arushs ika cjapaelwqa kabsa nafanya mpango nhamie dar .mamtu majibga kwl yan arusha inaitwa geneva of africa na dar itsitwaje? Na miji ya south huko je dah
Kazi gani utapangiwa wewe mtu mwenywe kuandika na kuunda herufi Kuna kupiga chenga
 
Ulipata hata C ya geography kweli wewe?
 
Acheni ubinafsi na upumbavu mnatengwa kwa lipi au mnataka kila kitu kipelekwe kwenu je watu wa mikoa mingine wasemeje, mbona watu wa Mikoa mingine hawalii kama nyie, mnapenda sana mbeleko za kijinga.
Mkuu mbona Magufuli alipeleka kila kitu kanda ya ziwa??
Arusha haijawah mtoa rais kumbuka kitu gani unachokijua serikali iliwahi peleka Arusha?
 
Embu Taja
Hotel za serikali Arusha
Taja vyuo vya serikali vilivyopo Arusha
Nafikiri miradi ya serikali sana sana ya jumuiyq ya EAC
 
Eti USA mbona mnadhalilisha jf kwa kujitia great thinkers?? Hyo Ar hata uunganishe na Kilimanjaro ina hadhi ya kuitwa USA? Hadi mnatia aibu mnavojiona wa maana huku mkiandika urojo mtupu.
Aisee ikitokea Ar ikaunganishwa na kilimanjaro na bandari ya Tanga basi ndio itageuka Singapore au Taiwan wakat Tanganyika kwingine kutabaki congo na Sierra Leon
 
sio ARUSHA tu,ata MOSHI town inahujumiwa sana!!
 
Embu Taja
Hotel za serikali Arusha
Taja vyuo vya serikali vilivyopo Arusha
Nafikiri miradi ya serikali sana sana ya jumuiyq ya EAC
Promoted tourism city ...Hivyo vyuo mmejenga nyie wakazi wa Arusha?
 
Promoted tourism city ...Hivyo vyuo mmejenga nyie wakazi wa Arusha?
Vyuo vipi vimejengwa na serikali Arusha??
Au Arusha tech??
Nadhani technical college zipo kila mkoa. Utali ni uwekezaji binafsi serikali haifanyi biashara ya utalii.
vyuo Arusha ni
Nelson Mandela (binafsi?
Makumira (Lutheran)
Adventist college (wasabato)
Uhasibu Njiro (nadhan ya serikali)
Olmotonyi forestry college (serikali)
unatoa hoja huna mifano shida yako
 
Hivyo vyuo nu uwekezaji kutokana na sera za nchi ,mbona hujiulizi Dar kuna uwekezaji mkubwa wa private sectors?

Au wawekezaji wote ni wakazi wa Arusha Tu...Huzo hotel ni kwa vile mji umepewa sifa ya utalii hata uende kiduniani tyari ushakuwa promoted kuna ni sehemu ya utalii ,yeyote anaweza kuwekeza hata viwanda vipo vingi.
 
Mkuu mbona Magufuli alipeleka kila kitu kanda ya ziwa??
Arusha haijawah mtoa rais kumbuka kitu gani unachokijua serikali iliwahi peleka Arusha?
Unaongea ukiwa unakaribia kumwaga bao juu ya kifua cha malaya kwanini mnajitoa akili, ukiacha Dar kuna sehemu inakula shavu/mema ya nchi kama nyie na Dodoma au unataka nitaje vitu mlivyopendelewa?
 
Amewapa barabara njia nne, amewapa mradi wa maji wa bilion 520 ili meno yenu yasizidi kuungua kama kutu za mitaa tandale, amewapa mabarabara kwenye CBD yenu iliyokuwa imejaa matope na vumbi, amewafufulia train iliyokufa zaidi ya miaka 24, na mambo mengi au alitaka awasidie adi kuwagonga wake zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…