Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

We endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe Ila ukweli unajulikana ,kwanza Arusha na Moshi soon tunaungana rasmi kuanzisha republic ya Arusha itaitwa(USA)~yaani United State of Arusha ,tujitegemee wenyew tuijenge Arusha na Moshi kwa mapato yanayotoka Arusha na moshi sababu tumechoka kutengwa na kubaguliwa tangu Uhuru mpaka Sasa hatukubali ujinga huu Tena mwisho unakuja
Si muungane ss mnamtangazia nan machoko nyie
 
Acha ujuha wewe
Isemee Arusha tu[emoji38][emoji38][emoji38]
kwani ulisikia wachaga wanalalamika?

Arusha ni kamji kalikojengwa na serikari kwa miaka mingi
Ila haina potential ya kuwa business hub hivyo imedumaa[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]

Ukitoa Arumeru, Arusha mjini, wilaya zilizobaki kama Longido, Loliondo na Monduli hakuna shughuli yoyote ya maana na watu wachache.

Unasema wewe Dar inajengwa kwa pesa toka Arusha?
Una akili wewe?
Hakuna mji unaonewa kama Dar ila Wana dar wenyewe ni baridi tu
Yote ni Tanzania, na sisi ndio wabongo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wana ionea wivu dar..nmepangwa kaz arushs ika cjapaelwqa kabsa nafanya mpango nhamie dar .mamtu majibga kwl yan arusha inaitwa geneva of africa na dar itsitwaje? Na miji ya south huko je dah
 
A
Resources nyingi za Arusha hazinufaishi arusha.

Na hiyo HAIKUBALIKI

Haiwezekani pesa zote zinazotoka huu mkoa halafu maji shida, barabara shida, vijana wetu na mama zetu wanaishi kwa shida.

Hiyo haikubaliki.
Andamaneni
 
Bangi mbaya sana
Acha kujichetua akili we mjinga dunia nzima inazitambua potentially resources ambazo zipo Arusha pekee ambazo sisi Wana Arusha tunauwezo wa kuzitumia tukaijenga Arusha ikawa newyork ya 2 na hata na ikawa jiji namba moja Africa kwanza hata Arusha Ni maarufu kuliko ata iyo dar yenu ni kwasababu ya izo unique and potential resources ambazo unajichetua akili kuwa huzifahamu na inajulikana dunia nzima kuliko ata iyo dar ambayo nyie washamba maona mkifika dar Ndio mmefika marekani kumbe Ni ushamba wenu tu na mnayoiona dar km ulaya kumbe Ni tz tu unalo la kusema
 
Upo sahihi sisi tunajitambua Ndio maana tunadai haki zetu ambazo tunaona wazi kuwa SERIKALI inazihujumu kimaksudi Tena mbaya zaidi kila kukicha serikali Ndio inazidi kufanya mikakati ya kuibagua na kututenga Arusha pekee ake na c mkoa mwengine Sasa uyu taahira ambaye hajitambui anataka akili zetu zifanane na zake za kijinga za kutozitambua haki zake pale anapoona wazi anahujumiwa ,over
Ss serkali gani itakayoweza kudeal na vichaa wakat kuna nambo meng ya kufanya...yan unaweza kwenda arusha center kabsa ukauluzia ktu kdg tu ukakusa nnaumia saba ba Dar😀😀😀😀😀
 
Utake uctake sisi Arusha Ni ma soldiers hatuogopi mtu anaitwa binadamu ,au kitu kinaitwa chombo Cha Moto kwetu sisi izo Ni uchafu sisi tunamwogopa Mungu pekee baasi hakuna kingine kitatuzuia ma soldiers wa Arusha kuitokomeza serikali ya kibaguzi ya mkoloni mweusi na kuunda ,The Arusha republic tupo tayar kupambana na yeyote atayejaribu kutuzuia kutimiza ndoto yetu ya ,the Arusha republic ama zetu ama zao,over soon ,over
Debe tupu.......😀😀😀😀😀
 
Ndio upo sahihi Arusha Ni nchi hata sisi wenyewe tunatambua hili Ndio maana hatuitambui serikali yenu ya mkoloni mweusi ambayo Ina ngangania kututawala kinguvu wakati sisi watu wa Arusha na Moshi tunaitambua Arusha republic (USA),,THE UNITED STATE OF ARUSHA huu utawala wa mkoloni mweusi wa kibaguzi mwisho wake unakuja soon tutaikomboa Arusha na Moshi kuwa moja na ma soldiers pekee kutoka Arusha na Moshi na sisi hatuitambui manyara km mkoa Bali Ni sehemu ya Arusha.
Ucsahau kumeza dawa...bipolar patient 😀😀😀😀😀
 
Pole y'ako najua linawauma saana Arusha na moshi kuungana kuform ,the Arusha republic sababu mtakosa kujichotea revenue natax zinazoenda kujenga dar flyo over,barabara,bridges Hadi uswahilini kila kukicha sehemu ambalo hapana potential yeyote Tanzania hii zaidi yajua kalii ,joto Kali tu halafu sehemu potential km Arusha na Moshi pako vile vile tangu tupateuhuru Sasa iyo iyo elimu tuliyoipata imetukomboa km ww bado kanywe sumu ,Ila we na iyo serikali y'ako ya kibaguzi ya mkoloni mweusi mtake mctake iwaume isiwaume tuna form ,the Arusha republic imeishaaaah iyiooh over
Tunawsjua watu wa kaskazn wabinafs sana ..c muungane ss kelele za nn machoko nyie..nmesoma mosh nafanya kaz arusha yan kwa ufup kaskazn n pa ovyo mno..nlpofka arusha nlkuwa very diassappointed..nafanya mchakato wa kuhamia dar cwez ishi limkoa la kisenge km hili
 
Mbona umeacha kusema wazi kuwa pia tumeamua kujitenga kuungana ndugu wa Damu Arusha na Moshi tuliokuwa tumetwnganishwa na hiyo serikali yenu ya kibaguzi ya mkoloni mweuc ili kuform the Arusha republic (USA),THE UNITED STATE OF ARUSHA ,ili tuijenge Arusha na Moshi kwa resources zetu wenyewe ,,inawwumaaa ewwh kanyweni sumu mfie mbali ,,,over
Acheni kutembeza mapumbu hapa hyo mikoa ya arusha na kimanjr tumeish hkuna cha ajabu na migum mno kiutafutaji kilaanayekuja kufanya kaz huku analakimbia
 
Nakuambia, resources zetu ndio zinajenga kwengine including zenji. Niliwahi kuwaza kwamba kwakweli sisi watu wa arusha hatuhitaji chochote kutoka kwingine tuendele. Tuna enough brain power and skilss kuendeleza kwetu. Natamani hata leo tungetoka Tanzania. Tunaongozwa na watu wa hovyo.
Hamn chuo kikuu cha kueleweka hata kimoja, hakuna zao linalokubal huku zaid ya bangi mnazolima miliman, hakuna madini yyte yapo manyara, hakuna ziwa,hakuna bahari, niendelee???
 
Haina haja yakushambuliana kisa huyu anatoka Mwanza, Dar Arusha au Katavi.

Adui wetu ni mmoja. Ujinga na umasikini.

Kumbuka hilo.

Watu waarusha tunataka maendeleo sasa hivi na si kesho wala kesho kutwa.

Watu wanaodhani watu waarusha tuna ubinafsi kwakudai huduma bora toka kwa watu wanaochukua kodi zetu basi wewe utakuwa unaungonjwa unaitwa schizophrenia.

Binafsi napendelea A town iwe jamuhuri kamili, tufanye mambo yetu.

Kuendelea kuwaamini watu wanaojiita serikali walioshindwa kwa zaidi ya MIAKA 50 kutupatia hata basic needs kama umeme, maji, barabara, hospitals hiyo ni BIG NO

Nina-support lengo la kuunda United States of Arusha (USA)

Wilaya za Arusha zinakuwa majimbo yenye kujiamulia mambo kulingana na mahitaji ya sehemu husika. Serikali kuu ya muungano wa majimbo itasimamia kazi zote za federation.

Na hii serikali lazima iwe ya watu. Hakuna umama umama ni maendeleo tu.
Kwanz hujui maana ya schizophrenia cjui uliisikia wap inatakwa ukakarr..cha pili bangi na ushoga vimewaharib sana nguvu za kulima hmn ndo mpaye wap nguvu z kujenga nchi nyie kajamben mnele hukoq
 
Kajambeni mbele huko mikitu mivivu afu unakuta zee zima heshima zero ndo mmpewe maendeleo gan nyie
Huduma bora za kijamii Arusha hiyo ni lazima.

Kama serikali inakusanya kodi basi LAZIMA irudishe fedha kwa wananchi wa sehemu husika kwa njia ya miradi ya kijamii.

Unanielewa lakini dada?

Tatizo lako unakiherehere. Lakini pia unamzuka sana hadi unakosa utulivu. Soon jirani yako atakuomba game.
 
Kaka hatujafeli tayari tumesha ungana kuform the Arusha republic (USA) ,THE UNITED STATE OF ARUSHA NA sisi na hatumwogopagi mtu anaitwa mwanadamu anayetembea km sisi Wala hatuogopagi taka taka inaitwa risasi au bomu tunamwogopaga Mungu tu sisi mapambano tunayapenda Sana tu kuikomboa Arusha na Moshi
Mbn kwny maandamano ya mangekimambi hamkuthubutu kitembeza mapumbu yenu kuandamana ss km hamuogop..ila bangi ndo mana znapigwa marufuk
 
Wewe wa kaskazini wa mchongo labda acha kukataa asili y'ako ya kishamba we Ni mr,MSUKUMA na izo Tania zenu za kishenzi za kunyea ziwa Victoria wanawake kwa wanaume narudia Tena hata msukuma apate elimu VP kamwe hawez kuwa curious na kuzitambua haki zake anaponyimwa na kuhujumiwa maksudi,,,over ,,over
Kwa hyo ziwa victorialinawauma?? Mkoa gan huo hauna hsta bwawa msenge ww
 
Back
Top Bottom