Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Unapata wapi ujasiri wa kubishana na mtu ambaye akiona wazungu anamkimbilia mama yake akisema maa maaa nimeona wanyonya damu?
Moja kati ya wapumbavu hata wazungu wavae matambaa yake hawajui hata Kunawa na maji ni makarasi wakiacha Yale manguo nyie mnavaa eti ndo wanjanja wakati ni wajinga.
 
Moja kati ya wapumbavu hata wazungu wavae matambaa yake hawajui hata Kunawa na maji ni makarasi wakiacha Yale manguo nyie mnavaa eti ndo wanjanja wakati ni wajinga.

Mzungu ndo nani? Nyie wavaa marapurapu mnamatatizo sana! Ndo maana mnafirwa sana!
Naona unatumia nguvu kubwa kutangaza biashara yako ya kuguswa nyuma.? Kwa heri
 
Wewe una umbea na udaku kama Mwanamke, utafiri ulibebeshwa mimba na Mtu wa Arusha kisha akakutelekeza

Mimi naenda na Facts, wewe unaenda kimbea
Huna facts zozote wewe ni wale mnaoongea kwa kutumia bangi tu. Arusha mnajiendesha vipi bila msaada wa serikali hadi kuona mmetengwa? Hivi unafikiri Arusha kutengwa kuwa kituo kikuu cha utalii ni nyie wana arusha mliamua? Arusha haifaidiki na sekta hii ya utalii ambayo serikali iliwatengenezea kama fursa? Arusha kuwa makao makuu ya Africa mashariki hakuna faida mnayopata kwa ujio wa wageni hao, mliamua ninyi watu wa Arusha kuwa hivyo au serikali ndo iliwasogezea fursa hiyo?
 
Na ulivyo mrembo ukija ARUSHA utaishia kuiba waume za watu mrembo.
Washamba kwamba sehemu Haina watu wanawake wenu wanataka kuolewa mikoani ndo Kuna wanaume wa shoka😂😂😂Nyie mtaolewa na wazungu
 
Huna facts zozote wewe ni wale mnaoongea kwa kutumia bangi tu. Arusha mnajiendesha vipi bila msaada wa serikali hadi kuona mmetengwa? Hivi unafikiri Arusha kutengwa kuwa kituo kikuu cha utalii ni nyie wana arusha mliamua? Arusha haifaidiki na sekta hii ya utalii ambayo serikali iliwatengenezea kama fursa? Arusha kuwa makao makuu ya Africa mashariki hakuna faida mnayopata kwa ujio wa wageni hao, mliamua ninyi watu wa Arusha kuwa hivyo au serikali ndo iliwasogezea fursa hiyo?
Acha umbea Mama
 
Kwa hiyo hao walioingia top ten kutoka arusha walikuwa wanavuta bangi wakiwa wanaenda kwenye mitihani?
Amesema Watu wa Arusha hawana akili, nikamprove wrong kwenye areas zote za kiuchumi na kielimu

Naona umekuja kumsaidia shostito wako[emoji23]
 
Katiba katiba resources allocation isifanywe kwa matakwa ya mtu iwepo formula ya kugawanya resources za serikali, otherwise Kila mtu akiwa na nafas atapendelea kwao, enz hizo watu Wana nafasi zao miradi mingi ilipelekwa huko kaskazini, lkn baada ya kaskazini kujitoa kwenye nguvu ya maamuzi kwa kukumbatia upinzani hii ndio adhari yake.
 
Kama Ndio tunatengwa na kubaguliwa kiasi hiki itabidi tuizindue Republic of Arusha (USA)~United state of Arusha tujitegemee vizuri na Resources zetu za Arusha zinatutosha kabisa km serikali inatuhujumu kias hiki ,inakuwaje jiji la KITALII km wanavyo liita hata uwanja wa ndege wa kimataifa hakina lakini wakati huo huo viwanja vya ndege vinajengwa mikoa mingine kila kukicha hata stendi ,tu ya kisasa hakuna Ila Cha ajabu stendi inajengwa singida ,Arusha the hub of tourism panapotezewa tangu Uhuru mpaka Sasa km vile hawapaoni mwisho utafika tu tumechokaaa sisi
Kuhusu standi ya mabasi kipindi cha magu ilikua ijengwe, shida nyie ni waizi sana, eneo lililopendekezwa kujengwa ilikuja gundulika kiongozi wenu amewekeza huko na ndio anataka stendi ijengwe ili kuboost biashara zake! Japo sijaiweka vzr lakini hata hao watalii wanaishi kitaalaam tu sababu ya waizi. Hakuna hujuma kuanzia juu hadi wa chini ni waizi waizi tu! Samahani lkn.
 
Amesema Watu wa Arusha hawana akili, nikamprove wrong kwenye areas zote za kiuchumi na kielimu

Naona umekuja kumsaidia shostito wako[emoji23]
Taja hao top ten katika wasomi. Kama wamesoma shule za kata na wala sio wageni shule za vipaji kutoka sehemu tofauti..leta takwimu hta ya mgunduzi mmoja ambaye labda idea yake iko viral mi nakupa mfano jamaa wa Tala japo sio mtanzania halisi..
 
Ni kwasababu SERIKALI inaihujumu Arusha na kuichukia tu bila sababu za msingi Ndio maana haioni haibu kwenda kujenga Stendi mpya singida,chato,na kuiacha Arusha the second City kwa tax and revenue collector hivi kweli hii inaingia Akilini na badala yake SERIKALI inachojua Ni kukusanya mapato Arusha kwenda kujenga flyover,barabara dar na mwanza hatutakubali Tena tumechoka kuhujumiwa hatuoni wivu sehemu zengine kujengwa tunachoumia Ni Kwanini Wanatubagua Arusha pekee ake alafu ukizingatia Ni jiji potentially duniani ,na ki resources na kimapato ,ingetakiwa Arusha kuwe na stend kubwa ya kimataifa na Uwanja mkubwa wa kimataifa ili kusudi watalii wakitoka makwao wanashukia moja kwa moja Arusha na cyo kweli kuwa SERIKALI inashindwa kujenga Uwanja wa ndege wa kimataifa Arusha na Stendi kwa sababu mbona panaendelea kujengwa sehemu zengine lakin Arusha pekee ake Ndio panabaguliwa na kutengwa km vipi Kuna haja ya sisi kuunda Arusha republic ikiwa SERIKALI inaendelea kututenga ili tuijenge Arusha wenyewe
Apo kwenye tax Kwamba Arusha City inaishinda Mwanza City? 🤔🤔🤔🤔
 
Arusha ingekuwa nchi bangi ingekuwa zao la taifa
Nafikiri ufanyike mpango kila mkoa ujitawale kivyake wawe wanatoa % tu kwa central government..
Na wakuu wa mikoa wawe ni wagombea!
 
Back
Top Bottom