Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Unaongea ukiwa unakaribia kumwaga bao juu ya kifua cha malaya kwanini mnajitoa akili, ukiacha Dar kuna sehemu inakula shavu/mema ya nchi kama nyie na Dodoma au unataka nitaje vitu mlivyopendelewa?

Mkuu mbona una jazba sana vipi Chato international Airport zinatua Qatar aiwarys na air France sio??
Vipi mbuga ya burigi watalii huko na ule uwanja wa mpira chato umefikia hatua gani?
 
Yaan watu wa Arusha hata sijuagi wanashida gan na mwanza

Yaan mwanza huwaga haiwatoki midomon mwao sijui huwa wanaichukuliaje

Mbona watu wa mwanza hawahangaiki na ako ka Arusha kao?

Eti Arusha ina resource kuizid Mwanza haaahaaahaaa

Resource hizo kama zipi zaid ya mbuga ?
 
Kwa mbali naona bato linakuja Kati ya Arusha city na Mwanza(Rock City)
Bato la nn sasa kama wenyewe wa Arusha unawaskia hapo wanakwambia hawana kiwanja cha ndege, hawana stand ya kisasa, hawana pia soko labkisasa

Sasa hapo bato linatoka wap mkuu kama hivyo vyote Arusha hawana?


Ulishaskia Mwanza kuwa hawana hivyo vitu?

Mwanza zimeanza kuingia internation flight tangu enzi za mapanki ( sangara)

Mwanza wana stand za kisasa zaid ya moja

Mwanza wana soko la kisasa

Wilaya za mwanza zimeendelea na kufikia hadhi ya manispaa

Ni mwanxa na dar peke yake tanzania hii ndio wilaya zake zime meet hadhi ya manispaa

Bado anakuja ndezi 1 anataka kuifananisha Arusha na The rock city

Hata aibu hawaon
 
Resources za nyoko wakati GDP wanazidiwa na Morogoro na mbeya na wakikaa vibaya wataachwa mpk na kigoma, wamekalia fursa za utalii hawawazi nje ya box
 
Karibu kamanda tatizo huwa unapotea sana, jiji lao bado linalia na masoko na stendi sasa watu wa nzega walilie nini😂😂😂
 
Tembea uone mkuu acha kulialia

Hv we Arusha umeona kama mji wa maana sana eeh?

Mbona unajitia aibu?
 
Eti wewe ni [emoji304]
 
Sasa kama mmechoka kuhujumiwa na unasema hamkubal safar hii kelele za nn?

Fanyeni tu maamuzi ndio tujue kwel safar hii hamkubal

Sasa we unapigapiga kelele tuuuu kama mbwa koko bhana
 
Chaguen na rais wenu kabisa

Msitupigie makelele hapa Aushaaa Arusha

TUmeshachoka kukasikia hako ka Arusha

Sis tupo lindi uku korosho za kumwaga na serikali imetutenga na hata hatuliili

Nyie kupewa kambuga tu imekuwa tabu

Ebu tuondoleen upuuz wenu hapa
 
Watatembea wapi mashamba ya bangi watamwachia nani?
Yaan mpaka imekuwa kero , kila kukicha watu wa Arusha kuiongelea Mwanza

Kila kukicha ni Mwanza tu

Wanashindwa kufanya shughuli zao wao kuikalia mwanza tu

Mna nini nyie watu wa Arusha?

Halafu hata aibu hawaon kwamba mpaka leo hii jiji linalilia stand, kiwanja cha ndege na soko

Sasa hilo jiji gan halina hata soko au stand
 
Watatembea wapi mashamba ya bangi watamwachia nani?
Yaan mpaka imekuwa kero , kila kukicha watu wa Arusha kuiongelea Mwanza

Kila kukicha ni Mwanza tu

Wanashindwa kufanya shughuli zao wao kuikalia mwanza tu

Mna nini nyie watu wa Arusha?

Halafu hata aibu hawaon kwamba mpaka leo hii jiji linalilia stand, kiwanja cha ndege na soko

Sasa hilo jiji gan halina hata soko au stand
 
Zaid ya mbuga tu

Maana kama madin mwanza wanayo, kufuga mwanza nao wanafuga, zao la biashara wana chai mwanza wana pamba, bado mwanza wana uwanja mkubwa wa ndege arusha hakuna

Mwanza wana bandar Arusha hakuna

MWanza wana ziwa Arusha hakuna

Mwanza wana usafir wa majk, meli zipo kibao ziwan Arusha hakuna ,

Mwana wanavua samaki pendwa tanzania nzima na dunia Arusha hakuna

Mwanza wana bank kuu Arusha hakuna

Mwanza wana usafir wa tren ya kati na reli ya kisasa Arusha hakuna

Media kubwa tanzania hapa zipo mbili tu bas

Dar na mwenza wakati Arusha hakuna

Mwanza wanalima mazao yoote unayoyajua

Jiji la mwanza lina manispaa mbili wakati Arusha hakuna hata wilaya moja kati ya 6 iliyofikia hadhi ya manispaa

Mwanza wana stand ya kisasa sio moja ni zaid ya moja

Arusha hakuna kitu

Mwanza wana soko la kisasa Arusha hakuna kitu

Mwanza wana beach za kutosha

Arusha wanaoga mton

Halaf bado wanataka wajifananishe na mwanza hv hawa wana akili kwel?
 
Arusha wanalia kuhujumiwa wakati wo na dar ndio wanaongoza kwa kupendelewa.
 
Sio mara moja au mbili nimeshuhudia watu wazima wa Mwanza wakinya ziwani hasa Wanawake
 
Inaelekea ndio takwimu walizonazo wenye mtandao. Sasa kama Serikali na watu wake wa takwimu hawana hata habari kuhakikisha usahihi wa takwimu za mikoa au nchi kwa ujumla, hamna atakayewasahihisha.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…