Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Nakubaliana na wewe
 
Mwanamke akiwa na elimu kubwa, kazi nzuri au pesa nyingi wanakua na dharau ndio maana ni ngumu kuolewa. Uo mtu wa aina hiyo uone moto wake Hawa watu mungu anawajua kwakkweli,
 
Si uoe ndo uje na haya maneno yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…