Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Umewasahau na wanamuziki maarufu wa kike, hasa wa Injili. 😀 😀 😀
 
Ni kama vile mafanikio kwa mwanamke.. kisiasa, kielimu, kiuchumi huwa yanafukuza/kuharibu swala la ndoa au mahusiano kwa ujumla.
 
Usiandikie mate na wino upo, weka majina ya hao wanawake.
 
Sijasema wote nimesema walio wengi.
Wengine ok wana ndoa ila ndoa zao huwezi ona hata siku moja wamepiga picha hata na hao waume zao wamebakiza tu majina ya kuitwa Mrs.
Utao mke ambaye kila siku Yuko kwenye safari na vikao na wanaume hadi usiku wa manane? Yaani utapigiwa hadi uchanganyikiwe.
 
Toa takwimu za utafiti wako
 
Wanaume huwa hatujiamini kuwa na strong women
Yaani hawa wanawake viongozi/wanasiasa wa Tanzania ndio "strong women"!!!???
Basi Tanzania kuna maana tofauti ya "strong woman"..
Kitu kimoja nilicho na uhakika nacho na ambacho nimekishuhudia ni kwa viongozi/wanasiasa wanawake wengi kuwa na "kujimwambafai" kiasi cha kuwapanda waume zao kichwani.
Kitu kingine ni kwamba hao wake/dada/mama/shangazi/binti zetu ni "visusio" vya viongozi wa kiume.
Jambo lingine linalochangia kutokuonekana kwa mahusiano mema ya hawa viongozi -ke, ni ukilaza wa wengi wao,hivyo kupelekea kwa mwanaume aliye vyema kichwani kutokuwa "proud" na kuwa na mahusiano na kilaza.
 
Kama ni weak mbona mnashindwa
 
Je watawezana?
 
Wapo wapo🤣🤣
that statement already shows lack of conviction in wat u are saying....wewe bwana sie wanaume tunataka tako na sura hizo degree zenu kawapeni baba zenu waliowasomesha. kwetu uzuri kwanza elimu is a bonus, kwanza ata elimu yenye kuiweka kama bonus ni kuwapendelea tuu maana hela zenu mnazopata upitia hizo elimu zenu we never benefit.
 
Makubwa
Kwahiyo mtt wako wa kike humsomeshi mzeiyaaa?
 
Ujuaji
 
Kwa nini nisimsomeshe? Atasoma vizuri tuu tena nitampeleka shule nzuri kabisa maana kuna kila dalili za mtoto wangu wa kike kuwa na sura mbaya kama baba yake 🤣🤣🤣🤣. The uglier u r, the more books u shuld read!
🤣🤣🤣🙌
Itategemea umezaa na nani
Ukizaaa na mrembo atakua mrembo tu
 
Tuanze na yule wa uwt
 
Wanataka uhuru wa kufanya wanachotaka maana wao ndio wanapelekesha watu makazini
Ila hawataki mwanaume ampelekeshe
Amesoma mda wote ila wanakula sana dogo dogo hawakai bila mwanaume wa kubadili badili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…