Kwanini Askari Magereza wengi wanaishi maisha magumu?

Kwanini Askari Magereza wengi wanaishi maisha magumu?

Jeshi la Magereza ni kama limesahaulika hivi au ndio mimi sijui?

Askari magereza wengi hasa wa vyeo vya chini maisha yao ni duni sana kwanzia kazini mpaka huku uraiani tunapoishi nao.

Kwanza wengi wao uniform zao ni zimechakaa na kupauka tofauti sana na majeshi mengine.

Pili makazi yao duni sana hapa nazumgumzia kota za maaskari wa vyeo vya chini.

Kuna ambao tunakaa nao huku mtaani yaani wanatupiga sana vizinga hasa tarehe kama hizi.

Kwanini maisha yao yapo duni sio kama majeshi mengine?
Ila nazi hata mapolisi pia wanahali NGUMU SANA
 
Ni kweli Tamisemi ule ni mkosi.
Kwa magereza wapo chini ya Tume ya Polisi na Magereza, wenzao wa mahakama tume yao imeboresha maslahi na mazingira ya kazi kwa kiasi cha kuridhisha.
Inasikitisha na inaumiza haswa halafu kibaya zaidi wanawaona wenzao jwtz wana shine kila siku,jwtz wanajengwa makazi ya kisasa+allowance.
Magereza na Polisi bado wanakaa kwenye kota za mabati
 
Jeshi la Magereza ni kama limesahaulika hivi au ndio mimi sijui?

Askari magereza wengi hasa wa vyeo vya chini maisha yao ni duni sana kwanzia kazini mpaka huku uraiani tunapoishi nao.

Kwanza wengi wao uniform zao ni zimechakaa na kupauka tofauti sana na majeshi mengine.

Pili makazi yao duni sana hapa nazumgumzia kota za maaskari wa vyeo vya chini.

Kuna ambao tunakaa nao huku mtaani yaani wanatupiga sana vizinga hasa tarehe kama hizi.

Kwanini maisha yao yapo duni sio kama majeshi mengine?
Mmeamaliza ya walimu mmeahamia kwa magereza

USSR
 
Miradi ya magereza ilivyo mingi ukiwa mjanja unatoboa
Hatari sana.
Unaweza kukaa magereza kwa miaka 20 na usipate dili hata la buku 2.
Ukiingia magereza kama hujatumia akili nyingi mwanzoni mwa utumishi wako umekwisha. Umekwisha kabisa.
Afadhali police na wanajeshi wanakuwa na allowance za ku escort mali za umma, kusimamia warsha mbalimbali.
Nadhani Askari magereza ndiye mtumishi duni kuliko wote Tanzania
 
Back
Top Bottom