Kwanini Askari Magereza wengi wanaishi maisha magumu?

Kwanini Askari Magereza wengi wanaishi maisha magumu?

Oyooooh!! Mambo bampa tu bampa walimu watapumzika kidogo watu wamehamia kwa askari magereza ila masingle mama msijisahau muda wowote mtakumbukwa tena asee nini hiki?!! Naona katibu mwenezi w chama cha kataa ndoa ananivuta shati hapa anasema ana jambo lake hajamaliza kwa mbali namuona mwenyekiti wa wamiliki wa passo anakuja nafikiri kuna jambo pia sio bure ,stay tuned
 
Kutwa kuzungumzia maisha ya wengine. Mara walimu Wana shida,mara Askari magereza Wana shida. Hakuna thread nyingine za kuandika zaidi ya maisha ya watu tena wasiokuhusu?!!
 
Jeshi la Magereza ni kama limesahaulika hivi au ndio mimi sijui?

Askari magereza wengi hasa wa vyeo vya chini maisha yao ni duni sana kwanzia kazini mpaka huku uraiani tunapoishi nao.

Kwanza wengi wao uniform zao ni zimechakaa na kupauka tofauti sana na majeshi mengine.

Pili makazi yao duni sana hapa nazumgumzia kota za maaskari wa vyeo vya chini.

Kuna ambao tunakaa nao huku mtaani yaani wanatupiga sana vizinga hasa tarehe kama hizi.

Kwanini maisha yao yapo duni sio kama majeshi mengine?
Mapato... WaTanzania wengi kazini unao waona Wana maisha ya kati au maisha mazuri, inatokana na janja janja za ukwapuzi au pesa za safari za hapa na pale mikoani kikazi, lakini askari magereza ana mbinu gani za ujanja ujanja? Anasafiri kikazi kwenda wapi? Sababu kubwa ni hizo mbili tu
 
Kutwa kuzungumzia maisha ya wengine. Mara walimu Wana shida,mara Askari magereza Wana shida. Hakuna thread nyingine za kuandika zaidi ya maisha ya watu tena wasiokuhusu?!!
Kichambo cha asubusubuhi !!!!.
 
Back
Top Bottom